Mume kuitwa baba na mke wake

Mume kuitwa baba na mke wake

Mie sioni sawa,mbona majina matamu yako tele unaweza muitaka na akajisikia RAHA,yani Babangu nimuite Baba na yeye nimuite baba,wanawe wamuite Baba Jamani nahisi kama namzeesha mapema,
Kumbe ww ke
 
mimi sijaoa ila naitwa baba, niasidieni wakuu,, hapo anakua anamaanisha nini?
Inaelekea ww unamtunza kwa vitu vingi so anaona akupe heshima hio Ila kuwa makini maana upepo hubadili mwelekeo usijelizwa
 
Nadhani inategemeana na tone atakayoitumia mwanamke. Akiita baba ile ya kavu tunayoitumia kumuitia baba kwa upande wangu sisaport mume kuitwa hivyo,ila kama ni ile baba inayotamkwa kwa tone ya maidoido nzuri sana hata mie namuitiaga hubby smtms
We ni noma Ila upo sawa, Lamda kma mkiitana Babaa na Mamaa
 
Ni heshima sana kuitwa baba na mke wako!!!!!! its a sign of appreciation of our normal responsibilities as a husband and extra commitment to the family at large.
 
Wadau,

Hasa mlio katika ndoa, Je hili jambo la baadhi ya wanawake kuwaita wame zao baba je ni heshima iliyotukuka au ni uoga?

Ndoa inahitaji ubunifu WA hali ya juu hivyo wanaweza kuitana vyovyote as long as it keeps them happy together
 
Inaongeza kinogesho hasa mkiwa katika poz flan hivi la kimaongezi mororo.( kubembelezana)
 
nimeolewa 9/9/99 imeshaota mizizi na nimeshapitia tfaran za kila aina mkuu..
 
Jamii za waarabu na wapemba wanaoana shangazi kwa mjomba.unakuta mke amezoea vile vile kumwita mumewe kaka
 
Wadau,

Hasa mlio katika ndoa, Je hili jambo la baadhi ya wanawake kuwaita wame zao baba je ni heshima iliyotukuka au ni uoga?
Binafsi naona kama jina hili linatumika sivyo...watu wanaichukulia kama ni heshima lakini hapana what i know and believe ni kwamba baba yangu ndio nastahili kumuita hivyo na mume atabaki kuwa baba wa wanae
 
ni mojawapo ya sababu inayonifanyaga nimmiss mpenz wang
 
Back
Top Bottom