Mume kuitwa baba na mke wake

Mume kuitwa baba na mke wake

picha tafadhali
1475730647761.jpg
 
Namwita mke wangu mama nikimaanisha mama Ibrahim na yeye ananiita baba kwa maana ya baba Ibrahim bali hatumaanishi wazazi wetu na pia tunawafundisha watoto kutuita hivyo, tukiwa wenyewe hatutumii majina hayo
 
Jinsi nyinyi mtakavyoitana, na watoto wenu wataita vivyo hivyo....! Mkiitana BABA na MAMA, au DADY na MAMY, na watoto wataita hivyohivyo....!
 
it's very common, nahisi ni kwa sababu ya watoto
 
Mie sioni sawa,mbona majina matamu yako tele unaweza muitaka na akajisikia RAHA,yani Babangu nimuite Baba na yeye nimuite baba,wanawe wamuite Baba Jamani nahisi kama namzeesha mapema,
 
Lakini neno halibadilishi uhalisia km vile mtu akuite wewe nyani haikubadilishi wewe kuwa nyani
Lakini kumbuka watu wanarespond kutokana na tafsiri ya neno ndio maana baadhi ya majina hayapendelewi zaid kwenye public kutokana na tafsiri zake.
 
Mie sioni sawa,mbona majina matamu yako tele unaweza muitaka na akajisikia RAHA,yani Babangu nimuite Baba na yeye nimuite baba,wanawe wamuite Baba Jamani nahisi kama namzeesha mapema,[/QUOTE
Ndoa yenu changa
 
Mie binafsi magelo furendi wangu huwa wananiita Baba!!
 
mimi sijaoa ila naitwa baba, niasidieni wakuu,, hapo anakua anamaanisha nini?
 
Mie mumewangu ananiita mama nami namwita baba na maisha yanaenda
Hata mimi namwita mama naye ananiita baba na hiyo inafanyika ili kutowachanganya watoto na majina haya ya ajabu ajabu ya kuchepukia sijui honey, sweet, sugar, baby nk.
 
mi namwita jina lake full stop...hakuna cha mama nanilihii wala nn
 
Ni heshima inayoleta ladha flani hivi,can't you feel it...
 
Nadhani inategemeana na tone atakayoitumia mwanamke. Akiita baba ile ya kavu tunayoitumia kumuitia baba kwa upande wangu sisaport mume kuitwa hivyo,ila kama ni ile baba inayotamkwa kwa tone ya maidoido nzuri sana hata mie namuitiaga hubby smtms
 
Back
Top Bottom