Mume hanifikishi kisawasawa


ubarikiwe! Tena baada ya Arv unapewa siku chache tu za kusema kwaherini bandugu!
 
Hawa dada zetu saa zingine huwa wanakuwa wanashida sana eti utakuta
ume do na mumeo hujaridhika husemi unagugumia,
unataka ku do husemi/haufunguki,
kitandani ushirikiano hamna umetulia ka gogo,
kinachotakiwa ni kujichunguza kwanza wenyewe ndipo akae meza moja na mumewe
maana mkigundua tatzo lipo wapi ni nusu tiba/suluhu
lbda kuna mauzi,masengenyo,lugha yako sio nzuri kwake, au usafi au umenepa mno hamu imekuwa ndogo kwake n.k
huwezi eti umwache kwa miez kadhaa umwangalie kama hali bado utajua anatoka nje ya ndoa du! Usidhalilishe upeo wako kwa hili dada mf🙁mwanao kazidiwa sasa hivi unasema ngoja nikae mpaka jioni nione kama bado basi atakuwa na maralia, we mtu au hamnazo)
je kama tatzo la nguvu za kiume limeanza kutokana na kazi nyingi,mchoko nk.? Na hilo tatizo kujiludi kukaa sawa kunahitaji ukarbu,uvumilivu na upendo wa hali ya juu

acha kutishia eti kuna wanaume wengi wanao kufuatilia NO, ondoa hiyo dhana kabisa kila mwenyesketi mtaani anapgiwa mluzi sembuse wewe, siku hizi wahuni hawana adabu hata bibi wanabaka ijekuwa wewe kuitwa mchana kweupe?
Watu wanandoa zao lkn kona za uwanja wa fisi huwakos iwe ngumu kukuita wewe mke wa mchana.;
kumbka ubaya haulipzwi kwa ubaya aliye kutendea ubaya mtendee wema, zidisha mapenzi kwake yeye mwenyewe mwisho wa siku ajiona
bonge la ---- kutoka nje ya ndoa.
Jieheshimu iheshimu ndoa na mlindie mumeo heshima,
nimalizie tu kwa kusema kama wazuri walioolewa na wasioolewa
walipapatikiwa sana tukiwa tunawaaona
sasa wamefuria ------ hawana yamebanda ka dereva mbaula wamerud kwa wazazi wao watoto kwa bib
Ukimwi upo active dada
utakuja kuomba ushauri tatzo kubwa zaidi hili mara mia



 
Eti unampenda? Unajua maana ya upendo wewe? We sema tu unataka kutoka nje usijikanyage.
 
pole sana OTI, unakosa kitu muhimu sana katika maisha, maana hiyo ndiyo raha ya muhimu duniani, labda huko Mbinguni kwa kuwa sijawahi kufika. Angalia kwanza CHANZO CHA TATIZO, ndio utatue tatizo, bila kuelewa chanzo ni nini itakuwa kazi bure. Jiangalie kwanza wewe, hapo awali ulikuwaje, angalia kwa makini mambo yafuatayo: 1. Angalia UMBILE lako la sasa, linaweza kuwa tatizo, maana hujui mwanzo ulikuwa unamdatisha kwa kitu gani. 2. Angalia KAULI zako za sasa, inawezekana umekuwa BAUNSA wa kauli. 3. MAPISHI pia linaweza kuwa tatizo, cheki hiyo nayo kwa makini 4. CHECK YOUR PERFOMANCE , inawezekana umeshuka TBS 5. Inawezekana pia baaba ya kuolewa umemfanya MWAJILI WAKO, kwa maana SHIDA zote za nyumbani kwenu umehamishia kwake, that is BIG NO. 6. Fanya MASAHIHISHO, usikaliie kumlaumu mume, then PIA ANGALIA MATATIZO YA UPANDE WAKE. LASTLY, angalia hayo kwanza, YAFANYIE KAZI KWA MUDA, then fuatilia kama kuna mabadiliko. Mwisho kama hali itaendelea, UZA GAME. Fof that option, ni PM.
 
Umeanza vizuri sana..lakini ulipomaliza vile kwenye red basi huu ushauri wa mwanzo umekufa kibudu..
Nadhani omba naye game tu badala ya kuzunguka sana mkuu...isitoshe yeye mwenyewe tayari ana options zake mkononi...

 
vunja ukimya zungumza nae! (kwa hisani ya watu wa marekani)



Teh! Teh! Teh! Uuuuwiiiii mbavu zangu, ndicho kinachowakwamisha af wanaenda kutatulia shida zao saloon mambo ya ndani ni siri(hasa ya ndoa) au kwa rafik,au mama yake au dada/wadogo zake n,k
imagnation ndogo tu kama mambo ya ndo yamefika huku Jf ndo iwe ngumu kwa ndg, jamaa, na marafik??
huu ulimwengu dot com/globaraizesheni a.k.a digitale!!!! Mh!!!! Sijui
 
Dada Hiyo ni kawaida ktk ndoa nyingi,hufika wakati mnakua kama dada na kaka bila sababu ya msingi!vumilia
 
not a women to marry, kwanini anakuja kutangaza......walipokua wanatongozana alituambia. weka kwa Dustbin
 

Wanandoa wa dizaini hii wanatufanya tuone ndoa hazina maana kumbe sivo.......!!!!!!!!!
 
nilijua tu!hakuna mwanamke anajua maana ya ndoa na heshima yake kama mke anaweza kupost huu upuuzi!


Narudia kusema ndo yaleyale maofisini, saloon nk.
''Ooh mme wangu sijui ....ninini....''
''sjui hanifikish mara ....ooh ana nanihi ndogo'' anaeongea hivi ni mwandoa huyo
sasa hapo hajashauriwa kutoka nje ya ndo???
 
Rukaruka tu kwanza umedhalia kuiba ruti lakini ushauri mzuri ni huu
Mwaka jana Madabida alishikwa pabaya na dawa zake sasa hujayasikia?
Ridhika na Mumeo laaaa! Sivyo utaumia,makalio na utetezi wako ni bure kbs.
 
aah Fideee bwan.. mbona wanikumbusha mbali ..? Si umeniambia ... nimezuzuliwa na makalio .. tuko pamoja... sasa niambie vipi ? wapi?

Mwanangu nipo kwenye mfungo inaonyesha huyu mama kalio lake balaa kama kiloba cha mchele yeye mwenyewe anajijua analo usiombe upite nae manzese au k.koo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…