Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Hahahahahaaaaa.... Sawa sawa kiongozi grafani11 .... coment yako imenichekesha sana aisee
Mkuu huyu mama hajachepuka, maana toka alipoleta uzi hapa ningekuwa nimesharekebisha upungufu uliojitokeza, lakini hang'oleki...hahahaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
kaeni na muongee kuhusu hilo kama kuna tatizo msaidiane kuna tiba mbadala. ila ucjaribu kumtamkia kuwa ana nyumba ndogo utaharbu kabsa. hilo wazo la kutaka kutoka nje halifai, kipi bora kutofika kileleni au kvpata maambukiz ya HIV? Akili ya kuambiwa changanya na yako.
 
Nakushauri angalia pia vyakula unavyomuandali baba chaja wako mpikie dona, vyakula vya asili ni vizur .mtengenezee juisi ya tende na maziwa pia juisi ya watermelon ni nzuri pia.alafu hakikisha baba chaja anafanya mazoezi ya kutosha .na msizoee staili moja kila mara.wakati mwingine kina baba chaja wakiwa na stress wanapoteza nguvu.kuchepuka sio suluhu .mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenywe.
 
Huyu naye atafute kazi tu! Kuwa idle na kukaa tu nyumbani kunamfanya afikirie ngono too much. Ila akipata ile 9 to 5 hata u bank teller tu, akirudi watoto awaandae sijui chakula nakadhalika, huo mda wakutaka zaidi ya goli 3 kila siku kwa wiki atatoa wapi?

Tafuta kazi mwanamke mjijenge na familia yako, maisha na mahusiano sio kungoneka tu!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment.

atumie ujuzi wangu ntakaompa wa juisi ya mchanganyiko wa tangawizi na maji kwa uwaino maalunu gharama za maelekezo yangu ni tsh 5000 tu pamoja na majibu ya maswali yake 0712505049
 
raundi moja ndio mpango wa aliye juu,yeyote anitajie mnyama,ndege au vitambaavyo wanao enda zaidi ya raundi moja?ukizidisha ni ulafi,wanawake akili zenu wekeni kitandani sio dukani kwa mangi mtatuua
 
raundi moja ndio mpango wa aliye juu,yeyote anitajie mnyama,ndege au vitambaavyo wanao enda zaidi ya raundi moja?ukizidisha ni ulafi,wanawake akili zenu wekeni kitandani sio dukani kwa mangi mtatuua

Hapa kuna dalili za upungufu wa umeme muda wowote unakata kabisaa...
 
Back
Top Bottom