Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Upande wa pili:
1. Je, mume wako amebadilisha kazi, au kuongezewa majukumu au kupanda cheo? - manake stress zimeongezeka
2. Je, kuna mtoto ambaye ameshaanza shule? - manake ADA zimeanza, kipato cha uhakika zaidi kinahitajika, STRESS zimeanza
3. Je, wewe mwenyewe umeshaongeza staili mpya ngapi (UBUNIFU) tangu upate mtoto wa kwanza, na huyo wa pili? - manake baadhi ya vigezo alivyotumia mume wako kukupenda pale mwanzao KWA SASA HUNA, and never try to force.

JIPANGE. Yakikushinda wapo watakaokusaidia, na ngoma ipo inasubiri ufanye maamuzi ya kijinga uhangaike nayo.

...Juzi tu hapa nilipita kwenye kiwanda cha ARV nikakuta wanapanua kiwanda.

ubarikiwe! Tena baada ya Arv unapewa siku chache tu za kusema kwaherini bandugu!
 
Hawa dada zetu saa zingine huwa wanakuwa wanashida sana eti utakuta
ume do na mumeo hujaridhika husemi unagugumia,
unataka ku do husemi/haufunguki,
kitandani ushirikiano hamna umetulia ka gogo,
kinachotakiwa ni kujichunguza kwanza wenyewe ndipo akae meza moja na mumewe
maana mkigundua tatzo lipo wapi ni nusu tiba/suluhu
lbda kuna mauzi,masengenyo,lugha yako sio nzuri kwake, au usafi au umenepa mno hamu imekuwa ndogo kwake n.k
huwezi eti umwache kwa miez kadhaa umwangalie kama hali bado utajua anatoka nje ya ndoa du! Usidhalilishe upeo wako kwa hili dada mf🙁mwanao kazidiwa sasa hivi unasema ngoja nikae mpaka jioni nione kama bado basi atakuwa na maralia, we mtu au hamnazo)
je kama tatzo la nguvu za kiume limeanza kutokana na kazi nyingi,mchoko nk.? Na hilo tatizo kujiludi kukaa sawa kunahitaji ukarbu,uvumilivu na upendo wa hali ya juu

acha kutishia eti kuna wanaume wengi wanao kufuatilia NO, ondoa hiyo dhana kabisa kila mwenyesketi mtaani anapgiwa mluzi sembuse wewe, siku hizi wahuni hawana adabu hata bibi wanabaka ijekuwa wewe kuitwa mchana kweupe?
Watu wanandoa zao lkn kona za uwanja wa fisi huwakos iwe ngumu kukuita wewe mke wa mchana.;
kumbka ubaya haulipzwi kwa ubaya aliye kutendea ubaya mtendee wema, zidisha mapenzi kwake yeye mwenyewe mwisho wa siku ajiona
bonge la ---- kutoka nje ya ndoa.
Jieheshimu iheshimu ndoa na mlindie mumeo heshima,
nimalizie tu kwa kusema kama wazuri walioolewa na wasioolewa
walipapatikiwa sana tukiwa tunawaaona
sasa wamefuria ------ hawana yamebanda ka dereva mbaula wamerud kwa wazazi wao watoto kwa bib
Ukimwi upo active dada
utakuja kuomba ushauri tatzo kubwa zaidi hili mara mia



Upande wa pili:
1. Je, mume wako amebadilisha kazi, au kuongezewa majukumu au kupanda cheo? - manake stress zimeongezeka
2. Je, kuna mtoto ambaye ameshaanza shule? - manake ADA zimeanza, kipato cha uhakika zaidi kinahitajika, STRESS zimeanza
3. Je, wewe mwenyewe umeshaongeza staili mpya ngapi (UBUNIFU) tangu upate mtoto wa kwanza, na huyo wa pili? - manake baadhi ya vigezo alivyotumia mume wako kukupenda pale mwanzao KWA SASA HUNA, and never try to force.

JIPANGE. Yakikushinda wapo watakaokusaidia, na ngoma ipo inasubiri ufanye maamuzi ya kijinga uhangaike nayo.

...Juzi tu hapa nilipita kwenye kiwanda cha ARV nikakuta wanapanua kiwanda.
 
Eti unampenda? Unajua maana ya upendo wewe? We sema tu unataka kutoka nje usijikanyage.
 
Habari wanajamvi, Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa. Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya: 1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi 2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga. Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho. Naomba mnisadies what to do at the moment!
pole sana OTI, unakosa kitu muhimu sana katika maisha, maana hiyo ndiyo raha ya muhimu duniani, labda huko Mbinguni kwa kuwa sijawahi kufika. Angalia kwanza CHANZO CHA TATIZO, ndio utatue tatizo, bila kuelewa chanzo ni nini itakuwa kazi bure. Jiangalie kwanza wewe, hapo awali ulikuwaje, angalia kwa makini mambo yafuatayo: 1. Angalia UMBILE lako la sasa, linaweza kuwa tatizo, maana hujui mwanzo ulikuwa unamdatisha kwa kitu gani. 2. Angalia KAULI zako za sasa, inawezekana umekuwa BAUNSA wa kauli. 3. MAPISHI pia linaweza kuwa tatizo, cheki hiyo nayo kwa makini 4. CHECK YOUR PERFOMANCE , inawezekana umeshuka TBS 5. Inawezekana pia baaba ya kuolewa umemfanya MWAJILI WAKO, kwa maana SHIDA zote za nyumbani kwenu umehamishia kwake, that is BIG NO. 6. Fanya MASAHIHISHO, usikaliie kumlaumu mume, then PIA ANGALIA MATATIZO YA UPANDE WAKE. LASTLY, angalia hayo kwanza, YAFANYIE KAZI KWA MUDA, then fuatilia kama kuna mabadiliko. Mwisho kama hali itaendelea, UZA GAME. Fof that option, ni PM.
 
Umeanza vizuri sana..lakini ulipomaliza vile kwenye red basi huu ushauri wa mwanzo umekufa kibudu..
Nadhani omba naye game tu badala ya kuzunguka sana mkuu...isitoshe yeye mwenyewe tayari ana options zake mkononi...

pole sana OTI, unakosa kitu muhimu sana katika maisha, maana hiyo ndiyo raha ya muhimu duniani, labda huko Mbinguni kwa kuwa sijawahi kufika. Angalia kwanza CHANZO CHA TATIZO, ndio utatue tatizo, bila kuelewa chanzo ni nini itakuwa kazi bure. Jiangalie kwanza wewe, hapo awali ulikuwaje, angalia kwa makini mambo yafuatayo: 1. Angalia UMBILE lako la sasa, linaweza kuwa tatizo, maana hujui mwanzo ulikuwa unamdatisha kwa kitu gani. 2. Angalia KAULI zako za sasa, inawezekana umekuwa BAUNSA wa kauli. 3. MAPISHI pia linaweza kuwa tatizo, cheki hiyo nayo kwa makini 4. CHECK YOUR PERFOMANCE , inawezekana umeshuka TBS 5. Inawezekana pia baaba ya kuolewa umemfanya MWAJILI WAKO, kwa maana SHIDA zote za nyumbani kwenu umehamishia kwake, that is BIG NO. angalia hayo kwanza, YAFANYIE KAZI KWA MUDA, then fuatilia kama kuna mabadiliko. Mwisho kama hali itaendelea, UZA GAME. Fof that option, ni PM.
 
vunja ukimya zungumza nae! (kwa hisani ya watu wa marekani)



Teh! Teh! Teh! Uuuuwiiiii mbavu zangu, ndicho kinachowakwamisha af wanaenda kutatulia shida zao saloon mambo ya ndani ni siri(hasa ya ndoa) au kwa rafik,au mama yake au dada/wadogo zake n,k
imagnation ndogo tu kama mambo ya ndo yamefika huku Jf ndo iwe ngumu kwa ndg, jamaa, na marafik??
huu ulimwengu dot com/globaraizesheni a.k.a digitale!!!! Mh!!!! Sijui
 
Dada Hiyo ni kawaida ktk ndoa nyingi,hufika wakati mnakua kama dada na kaka bila sababu ya msingi!vumilia
 
not a women to marry, kwanini anakuja kutangaza......walipokua wanatongozana alituambia. weka kwa Dustbin
 
umenifanya nicheke mamdogo japo moyo umenuna!ah!sasa mi napataje kazi kukuaminisha kuwa ukiingia kwenye ndoa still unaweza kuwa safi!wananipa kazi sana binadamua wa aina hii!
niliwahi kusema humu siku moja !
haina maana kuwa tu wasafi sana,but some of us dont think its wise kuchekelea upuuzi tunaifanya!

Wanandoa wa dizaini hii wanatufanya tuone ndoa hazina maana kumbe sivo.......!!!!!!!!!
 
nilijua tu!hakuna mwanamke anajua maana ya ndoa na heshima yake kama mke anaweza kupost huu upuuzi!


Narudia kusema ndo yaleyale maofisini, saloon nk.
''Ooh mme wangu sijui ....ninini....''
''sjui hanifikish mara ....ooh ana nanihi ndogo'' anaeongea hivi ni mwandoa huyo
sasa hapo hajashauriwa kutoka nje ya ndo???
 
Rukaruka tu kwanza umedhalia kuiba ruti lakini ushauri mzuri ni huu
Mwaka jana Madabida alishikwa pabaya na dawa zake sasa hujayasikia?
Ridhika na Mumeo laaaa! Sivyo utaumia,makalio na utetezi wako ni bure kbs.
 
aah Fideee bwan.. mbona wanikumbusha mbali ..? Si umeniambia ... nimezuzuliwa na makalio .. tuko pamoja... sasa niambie vipi ? wapi?

Mwanangu nipo kwenye mfungo inaonyesha huyu mama kalio lake balaa kama kiloba cha mchele yeye mwenyewe anajijua analo usiombe upite nae manzese au k.koo
 
Back
Top Bottom