Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Raha jipe mwenyewe, nunua dildo

Tafuta kidumu kulinda ndoa yako

niwe wa kwanza kutafutwa humu hebu niPM

waswahili wanasema mzigo mzito mpe mnyamwezi. Hebu niPM nikupe unachokosa.

try me bi dada hutajutia uamuzi wako,utaiona hadi fast jet ukiachana nakuiona anga

Huu ushauri huu!
Sasa atajaribu wangapi? Kama kila mtu anayekuja na shida yake ya namna hiyo ushauri ndio huu, msha-do sana wake za watu nyinyi! Na mlegee hivyo vigegedeo vyenu!
 
Weka picha basi angalau ya hayo makalio,dah so baada ya miezi 6 na wewe unaanza kuiba ruti?

mkuu charger nimependa sana hicho kijistatement unachosema "baada ya miezi 6 na wewe unaanza kuiba ruti"badala ya mbezi-kkoo itakua ubungo-tegeta.
 
Last edited by a moderator:
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!


Inaonekana zamani ulikuwa unakatika wakati ukiwa unatafunwa ila kwa sasa hukatiki ndio maana kapoteza ladha na wewe. Jitume uwapo kitandani uone itakuwaje!!!


Pia ikiwezekana mpe au muonjeshe tiGO kidoooooooooooooooogo uone kama hajachanganyikiwa.

Kutoka nje sio suluhisho. Ma sister duh wa kibongo hawana dili.
 
Yeye umeongea naye au umeanzia humu? Mmh bidada hebu anza kutembea kwanza kabla ya kukimbia na kuruka......
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Kwanza unatamanisha people tu na kujidai una mikalio mikubwa na kuijua hiyo michumamboga huna lolote kama unauza sema!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

That is un eval attack watch out,and dont betray your husband for those follish things,just prey your God.
 
Oti Kate kwa hapo utakuwa unakosea kwa namna moja au nyingine kuusemea moyo wa mwenzi wako.
kingine ni kwamba,dawa ya moto si moto,watoto wenu wanahitaji malezi yenu wote wawili,endapo mtaanza kurukaruka na vijimahusiano vya nje,mtaishia pabaya.either kupata magonjwa or hata kupeana talaka.
mlipooana mliahidiana kuvumiliana kwenye raha na matatizo.sasa ule uvumilivu uloahidi ndo huu sasa unahitajika...
jipange bidada life is not a rehearsal is a perfomance
 
Last edited by a moderator:
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Oti Kate kwa mtazamo wangu me nahic issue iko namba 2 hapo juu, make akina mama wengi mkishajifungua mautundu yanapungua pia kina Baba tunataka kurudi kuleeeeeeeeee kwenye nidoz saa sita
 
we unasaubiri nini kama keshakuchoka anaweza kusaidiwa kimya kimya uipate raha ya dunia mana wengine kwenye hizo gemu kifuani hukaa kama 45 min stail zote zitapigwa ........sema tatizo unaweza kumuacha nikikufanyia mambo hayo na mimi sitaki umuache tunataka ajirekebishe
Acha kujipigia debe, mke wa mtu huyo!
 
Huu ushauri huu!
Sasa atajaribu wangapi? Kama kila mtu anayekuja na shida yake ya namna hiyo ushauri ndio huu, msha-do sana wake za watu nyinyi! Na mlegee hivyo vigegedeo vyenu!

:A S 39: akili za kuambiwa changanya na zako-Mbayuwayu
 
ushauri.

1.zungumzeni

2.kiwango cha jana si sawa na cha leo.kuna kushuka kiwango

3.mheshimiane kumtangaza mmeo kwenye mtandao siyo tija.

4.mapenzi ni ubunifu,

5.shika sana ulicho nacho asije mtu akatwaa.

6.rizika na ulichonacho.

7.mapenzi ni kitu cha muda tu ,angalia familia ,tunza watoto,jenga uchumi na mheshimu mungu wako.

8.jiachie unapokuwa na faraga na mmeo ,hata bao moja linaweza kukukuna sanaana kama hisia na
saikoljia yako itakuwa imetulia.

9. Epuka ushauri na maneno ya wenzako kulee saloon.

10. Amani ndani ya nyumba ni zaidi ya mapenzi na pesa dada.jiulize ni wangapi umewahi kuwaona
wanatembea barabarani kama mke na mume.hakuna ,utakuata kila mtu kivyake...

11.mwisho-heshimu ndoa yako kuna msururu wa wanawake wanatafuta waume hata wa kuwapa bao moja hawapati.
 
muogope MUNGU wako....ongea na mumeo akelewe,yaishe!

Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!
 
Ukifikia muafaka kupiga show nje,utani-PM maana kwa Mara ya mwisho nimepiga show mwezi wa 11. Nilikua nipo kwenye distance love nikapigwa chini December 3 kwhy nikutoe Shaka.
Umepata jembe hapa
 
wanawake wa siku hizi bwana mnakula chips mayai mno ndio maana mnanenepa makalio mpaka mnakera waume zenu sasa baada ya umbo kubadilika waume zenu wanawakimbia mnataka mechi za nje,punguza chips mayai umentain figure!
 
Kabla sijaingilia mada yako, kwanza nakuomba rekebisha hilo. Huwezi kuwa "msichana" halafu umeolewa "miaka minne iliyopita" na uwe na "watoto wawili". Huo usichana hapo uko wapi?

Wewe ni mama wa watoto wawili au ni mwanamke lakini si msichana. Msichana ni yule ambae hajaolewa na kuuonja mzahalula.

Wana JF,

mimi ni binti wa miaka 23, nimeolewa na nina mtoto mmoja. Kwa maumbile, sio siri nina makalio makubwa sana kiasi kwamba kila nikipita sehemu watu wote wanawake kwa wanaume hawaachi kunitazama.................mwa nzoni nilikuwa naona aibu sana, lakini sasa hivi nimeshajizoelea............... I mean naona kawaida.

Juzi nilikorofishana na baba watoto, katika kujibizana maneno akanambia, .........."kwanza mwanamke gani wewe, ni presha tupu kukaa na wewe humu ndani................kama ningejua hayo makalio yatafikia hivyo, nisingekuoa..............." kwa hayo maneno nilijihisi vibaya sana na ilibidi ninyamaze kubishana................sasa naona amenichoka na ananitafutia sababu ya kuniacha...........ciju nifanyaje coz najua huu ci ugonjwa, wapo wanaonitamani!

Hii ni ya 31/1/2012, mwombe ufafanuzi hapa, halafu aya ------ anajidai nayo sana. Utamjua tu!!
 
Back
Top Bottom