mara nyingi masikini ndio huwa anaupendo wa kweliNdokigezo hichi mkuu
Kingine ni kwamba uwe tayari kuwa mke mume utapata tuIla vyote sina ulivyovitaja nifunze vingine
Ulishwatia vibuti kipindi upo HOT wameondoka....wameenda kuoa kwingine...ww baki na vibishok vyakoWakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Wakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Wakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
si mnataka mahandsome wenye hela.......ngojeni akina Kapuya sasa
😂😂sawasi mnataka mahandsome wenye hela.......ngojeni akina Kapuya sasa
Ndio kwani kuna shida? Mbona sisi tuwalea pamoja na wazazi wenu? Kunilea mimi tuu mpaka utangaze?Niwalee mkuu