Duuu!!!! Wapo wengi na wanapatika ,kikubwa ni kujikana na kuwa tayari kwa kumpokea ataejitokeza bila kungaria body structure,rangi,kabila wa kipato angalia tabia ,upendo alionao juu yakoWakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Ukiwa wewe tiyari utampata mme wako halali kama unataka mwanaume ila kama unataka mwenye gari, nyumba, mtu wa viwanja, utapata ila sio mme. Mme wa kweli yupo na mtaanza maisha mkiwa wote. Epuka playboyWakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Yupo ila si unajifanyaga huwapendi wa type hio! Yule mfupi umaemkataa ndio mume haswa sasa we endelea kuringa tu!
Kwani wewe hujawahi kutongozwa siku za hivi karibuni? Hao watongozaji ndio waoaji wenyewe...Wakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Hivi huyu ni mkweo? Kwa wapi?
Mkwe usijali, one day nawe utarefuka tu.
Duh! Afadhali hata!! Eti Mume!! Ukimuona utamjua?? Jifanye trafiki usimamishe kila gari kali ucheki ndani!! Mume anapatikana huko! Nyaloti wahed!Kitanda hiki hakina shida yoyote na ni cha sita kwa sita godoro nchi 10
Chaga yake ni imara sana
Ni kitanda cha chuma
Bei ya kitanda peke yake ni 290,000
Ukichukua vyote 395,000
Location Dar ea salam
Njoo PMView attachment 1049332
you may not start conversation with the following recipient;Tairus
wapo popote .ila sema huwa wanapatikana kwa wanawake wenye sifa zao.Wakuu hivi mwanaume aliyepevuka na tayari kuitwa mume anapatikana wapi? Kwenye kumbi za starehe or nyumba za ibada
Hahah mie mrefu bana mkwe,
Mkwe usijali, one day nawe utarefuka tu.
Hahah nae anataka anipe binti yake mpenzi ila ndio kwanza yupo chekechea! Usihofu mamsap me nawewe ni lazima ile ahadi yetu itimie!Hivi huyu ni mkweo? Kwa wapi?
Dyadyaaa ur missed maa!!Hata humu wapo...ila usikutane tuu na yule msambazaji wa "vairas" kwa maksudi
Huu ukweli mchungu chagua chagua ndo tunapishana na mumeYupo ila si unajifanyaga huwapendi wa type hio! Yule mfupi umaemkataa ndio mume haswa sasa we endelea kuringa tu!