Mulugo Karudia Tena Madudu yake!

Mkuu huyu jamaa anchekesha kuliko hata Joti na Majuto. Huo mwaka wa uhuru alisema 1,1961 na sio 1961.
 
Nchi hii ina visa. Eti MULUGO naye ashawahi Kuwa Naibu Waziri!!! Kweli Bunge lile linakosa watu wa kuongoza Wizara tena nyeti kama Ile YA Elimu!
 
Upepo wake vp, atarudi Mjengoni?

Thubutu! Kwa lipi alilofanya jimboni kwake? Hawa ndiyo ndiyo miongoni mwa wanoaga rasimi bungeni na wanabaki kuwa wafuatiliaji wa siasa za bongo.
 
Hili jitihada Mulugo ni mburula la kutupwa. Halafu nawashangaa wananchi wa Jimbo la Songwe wanamchagua. Hapa kweli kuna haja ya kupima uwezo wa kufikiri wa wananchi hawa.

Aaha aha,Mkosamali anatisha.
 
Nchi hii ina visa. Eti MULUGO naye ashawahi Kuwa Naibu Waziri!!! Kweli Bunge lile linakosa watu wa kuongoza Wizara tena nyeti kama Ile YA Elimu!
Utawala wa JK hakika utakumbuwa kwa kuwa wa ajabu ajabu sana.
 
Lakini ni kweli wanafunzi wengi sana wanadharau somo la supplementary. Hili nalo ni somo kama masomo mengine ni lazima kufaulu tu.

Mulugo kama ulivyowewe aliuliza mkuu wa chuo hili somo la Supplementary linafundishwa na nani? ulivyo na wewe hili nalo ni somo?? Aliyemchagua kuwa waziri naye walakini!

Mulugo huwa anatumia JUHUDI bila MAARIFA!
 
Mulugo hana kosa, makosa ni kwa waliomchagua na waliomteua.
 


matokeo ya big results now
 

Jamaa ni Noma.
 
Hilo la leo sioni kama ni kosa la kumjadili mtoa mada umetumia kigezo cha kosa dogo kuleta matatzo yake ya nyuma
 

... usisahau na hii, Tanzania was FOUND????. Naibu Waziri, tena Wizara ya ELIMU. halafu mnamwonea sana huyu. Imagine bi Ghasiye anazungumza hii lugha ya watu kjujibu swali kiingereza, na hapo pembeni yupo Bi. Sembe akimsahihisha. Very original comedy! I love is my country.
Na hapo muulizaji maswali kiingereza ni Mulugu. Teh teh teh
 
Mulugo kama ulivyowewe aliuliza mkuu wa chuo hili somo la Supplementary linafundishwa na nani? ulivyo na wewe hili nalo ni somo?? Aliyemchagua kuwa waziri naye walakini!

Mulugo huwa anatumia JUHUDI bila MAARIFA!
Tena swali la msingi sana, ni vyema tuwajue hawa walimu wa somo la supplementary ili kuweza kuboresha ufaulu katika somo hili.
 

huyu bwana mulugo ni kilaza wa ukweli wala haigizi. huyu mtu nashindwa kuelewa aliteuliwaje kuwa naibu waziri wa elimu...anatia huruma mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…