Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Hiki ndicho chama chetu cha mapinduzi, kila mtu na msimamo wake halafu bado tunadai tuna serikali makini!!!!!
Hiki ndicho chama chetu cha mapinduzi, kila mtu na msimamo wake halafu bado tunadai tuna serikali makini!!!!!
Philipo Mulugo; Bungeni akijibu maswali;![]()
Anadai hakuna daraja la Tano;
ni daraja la kwanza; pili, tatu, nne, na ziro; daraja la tano hakunaagaaaa;Unadai ni mkanganyiko wa taarifa;;
Swali nani mkweli; waziri au Katibu wa Elimu; Siasa kwenye elimu ni Ugonjwa;
Serekali inatufanya hatuoni au hatusikii;Tunafahamu kila kitu;
Hawajamaa wanaona hii sekta ni ya kuchezea chezea tu yaani kila anaejisikia anafanya mabadiliko