Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

Ukiangalia kwa makini,daraja lote la tatu kasoro pointi 25 ni daraja la nne la zamani,daraja la nne la sasa ukiondoa 33,32 na 31 ni div zero ya zamani.
 
Naunga mkono hoja. Nimeshindwa kumwelewa Mulugo anapotetea hivyo viwango eti hawajashusha lakini wameondoa tu mlundikano. Kama D ilikuwa inaanzia 35, je kuifanya ianzie 20 siyo kushusha viwango? Kama C ilikuwa inaanzia 50, je kuifanya ianzie 40 siyo kushusha viwango? Kama A ilikuwa inaanzia 81 kuifanya ianzie 75 siyo kushusha viwango? Kwa mujibu wa matokeo ya majaribio ya mfumo huo, kama yangetumika kwa matokeo ya K4 mwaka 2012 ufaulu ungekuwa 93%. Sasa kama bila kufanya mtihani mwingine wizara inaweza kucheza na viwango vya ufaulu na ukapanda toka asilimia 43 hadi 93, je huko siyo kushusha viwango vya ufaulu? Ona jedwali la majaribio[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[TABLE="width: 795"]
[TR]
[TD]AINA YA WATAHINIWA
[/TD]
[TD]MWAKA
[/TD]
[TD]DARAJA
[/TD]
[TD]ME
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]KE
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]WOTE
[/TD]
[TD]% YA WOTE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I
[/TD]
[TD]6,148
[/TD]
[TD]3.01
[/TD]
[TD]2859
[/TD]
[TD]1.7
[/TD]
[TD]9,007
[/TD]
[TD]2.42
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]17,617
[/TD]
[TD]8.63
[/TD]
[TD]7940
[/TD]
[TD]4.73
[/TD]
[TD]25,557
[/TD]
[TD]6.87
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]III
[/TD]
[TD]35,678
[/TD]
[TD]17.48
[/TD]
[TD]19920
[/TD]
[TD]11.87
[/TD]
[TD]55,598
[/TD]
[TD]14.95
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - III
[/TD]
[TD]59,443
[/TD]
[TD]29.12
[/TD]
[TD]30719
[/TD]
[TD]18.3
[/TD]
[TD]90,162
[/TD]
[TD]24.24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]IV
[/TD]
[TD]132,687
[/TD]
[TD]65.01
[/TD]
[TD]125782
[/TD]
[TD]74.95
[/TD]
[TD]258,469
[/TD]
[TD]69.5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - IV
[/TD]
[TD]192,130
[/TD]
[TD]94.13
[/TD]
[TD]156501
[/TD]
[TD]93.25
[/TD]
[TD]348,631
[/TD]
[TD]93.74
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]11,962
[/TD]
[TD]5.86
[/TD]
[TD]11323
[/TD]
[TD]6.75
[/TD]
[TD]23,285
[/TD]
[TD]6.26
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Analysis ya Wizara kuhusu matokeo ya majaribio ya mfumo mpya
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Takwimu katika Jedwali la 3 zimeonesha kuwa kwa kutumia muundo mpya watahiniwa ambao wangefaulu kwa ufaulu
mzuri yaani wale walio kati ya Daraja la I-III ni asilimia 21.22 na wale watakaopata ufaulu hafifu yaani Daraja la IV ni asilimia 70.04. Wanafunzi ambao wangepata ufaulu usioridhisha kabisa ni asilimia 6.26. Kwa mantiki hii mfumo huu uliowazi kwa wote hauna athari ya kuwafanya hata wale ambao hawana uwezo wa kielimu waonekane wana ufaulu mzuri. Hii ina maana bado Taifa linawajibika kuwekeza nguvu zake katika kuimarisha elimu ya sekondari ili idadi kubwa ya wanafunzi iondoke kutoka ufaulu dhaifu na usioridhisha na kuingia kundi la wale wenye ufaulu mzuri na zaidi. Lakini pia ubora wa mfumo ni matokeo ya vitu vingi ikiwemo usimamizi mzuri, umakini na uadilifu ili mfumo uwe na tija

[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nimeshindwa kumwelewa Mulugo anapotetea hivyo viwango eti hawajashusha lakini wameondoa tu mlundikano. Kama D ilikuwa inaanzia 35, je kuifanya ianzie 20 siyo kushusha viwango? Kama C ilikuwa inaanzia 50, je kuifanya ianzie 40 siyo kushusha viwango? Kama A ilikuwa inaanzia 81 kuifanya ianzie 75 siyo kushusha viwango? Kwa mujibu wa matokeo ya majaribio ya mfumo huo, kama yangetumika kwa matokeo ya K4 mwaka 2012 ufaulu ungekuwa 93%. Sasa kama bila kufanya mtihani mwingine wizara inaweza kucheza na viwango vya ufaulu na ukapanda toka asilimia 43 hadi 93, je huko siyo kushusha viwango vya ufaulu? Hilo ndiyo tatizo la kuongozwa na watu wasio na uwezo. Ona jedwali la majaribio[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[TABLE="width: 795"]
[TR]
[TD]AINA YA WATAHINIWA
[/TD]
[TD]MWAKA
[/TD]
[TD]DARAJA
[/TD]
[TD]ME
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]KE
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]WOTE
[/TD]
[TD]% YA WOTE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I
[/TD]
[TD]6,148
[/TD]
[TD]3.01
[/TD]
[TD]2859
[/TD]
[TD]1.7
[/TD]
[TD]9,007
[/TD]
[TD]2.42
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]17,617
[/TD]
[TD]8.63
[/TD]
[TD]7940
[/TD]
[TD]4.73
[/TD]
[TD]25,557
[/TD]
[TD]6.87
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]III
[/TD]
[TD]35,678
[/TD]
[TD]17.48
[/TD]
[TD]19920
[/TD]
[TD]11.87
[/TD]
[TD]55,598
[/TD]
[TD]14.95
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - III
[/TD]
[TD]59,443
[/TD]
[TD]29.12
[/TD]
[TD]30719
[/TD]
[TD]18.3
[/TD]
[TD]90,162
[/TD]
[TD]24.24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]IV
[/TD]
[TD]132,687
[/TD]
[TD]65.01
[/TD]
[TD]125782
[/TD]
[TD]74.95
[/TD]
[TD]258,469
[/TD]
[TD]69.5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - IV
[/TD]
[TD]192,130
[/TD]
[TD]94.13
[/TD]
[TD]156501
[/TD]
[TD]93.25
[/TD]
[TD]348,631
[/TD]
[TD]93.74
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]11,962
[/TD]
[TD]5.86
[/TD]
[TD]11323
[/TD]
[TD]6.75
[/TD]
[TD]23,285
[/TD]
[TD]6.26
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Analysis ya Wizara kuhusu matokeo ya majaribio ya mfumo mpya
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Takwimu katika Jedwali la 3 zimeonesha kuwa kwa kutumia muundo mpya watahiniwa ambao wangefaulu kwa ufaulu
mzuri yaani wale walio kati ya Daraja la I-III ni asilimia 21.22 na wale watakaopata ufaulu hafifu yaani Daraja la IV ni asilimia 70.04. Wanafunzi ambao wangepata ufaulu usioridhisha kabisa ni asilimia 6.26. Kwa mantiki hii mfumo huu uliowazi kwa wote hauna athari ya kuwafanya hata wale ambao hawana uwezo wa kielimu waonekane wana ufaulu mzuri. Hii ina maana bado Taifa linawajibika kuwekeza nguvu zake katika kuimarisha elimu ya sekondari ili idadi kubwa ya wanafunzi iondoke kutoka ufaulu dhaifu na usioridhisha na kuingia kundi la wale wenye ufaulu mzuri na zaidi. Lakini pia ubora wa mfumo ni matokeo ya vitu vingi ikiwemo usimamizi mzuri, umakini na uadilifu ili mfumo uwe na tija

[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nimeshindwa kumwelewa Mulugo anapotetea hivyo viwango eti hawajashusha lakini wameondoa tu mlundikano. Kama D ilikuwa inaanzia 35, je kuifanya ianzie 20 siyo kushusha viwango? Kama C ilikuwa inaanzia 50, je kuifanya ianzie 40 siyo kushusha viwango? Kama A ilikuwa inaanzia 81 kuifanya ianzie 75 siyo kushusha viwango? Kwa mujibu wa matokeo ya majaribio ya mfumo huo, kama yangetumika kwa matokeo ya K4 mwaka 2012 ufaulu ungekuwa 93%. Sasa kama bila kufanya mtihani mwingine wizara inaweza kucheza na viwango vya ufaulu na ukapanda toka asilimia 43 hadi 93, je huko siyo kushusha viwango vya ufaulu? Asitake kuwapumbaza watu kwa kutumia maneno Div 5 au Div ), cha msingi hapa atueleze kwa nini wameamua kushusha viwango? Je hayo ndiyo malengo ya BRN? Ona jedwali la majaribio[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[TABLE="width: 795"]
[TR]
[TD]AINA YA WATAHINIWA
[/TD]
[TD]MWAKA
[/TD]
[TD]DARAJA
[/TD]
[TD]ME
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]KE
[/TD]
[TD]%
[/TD]
[TD]WOTE
[/TD]
[TD]% YA WOTE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I
[/TD]
[TD]6,148
[/TD]
[TD]3.01
[/TD]
[TD]2859
[/TD]
[TD]1.7
[/TD]
[TD]9,007
[/TD]
[TD]2.42
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]17,617
[/TD]
[TD]8.63
[/TD]
[TD]7940
[/TD]
[TD]4.73
[/TD]
[TD]25,557
[/TD]
[TD]6.87
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]III
[/TD]
[TD]35,678
[/TD]
[TD]17.48
[/TD]
[TD]19920
[/TD]
[TD]11.87
[/TD]
[TD]55,598
[/TD]
[TD]14.95
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - III
[/TD]
[TD]59,443
[/TD]
[TD]29.12
[/TD]
[TD]30719
[/TD]
[TD]18.3
[/TD]
[TD]90,162
[/TD]
[TD]24.24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]IV
[/TD]
[TD]132,687
[/TD]
[TD]65.01
[/TD]
[TD]125782
[/TD]
[TD]74.95
[/TD]
[TD]258,469
[/TD]
[TD]69.5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD]I - IV
[/TD]
[TD]192,130
[/TD]
[TD]94.13
[/TD]
[TD]156501
[/TD]
[TD]93.25
[/TD]
[TD]348,631
[/TD]
[TD]93.74
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S
[/TD]
[TD]2012
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]11,962
[/TD]
[TD]5.86
[/TD]
[TD]11323
[/TD]
[TD]6.75
[/TD]
[TD]23,285
[/TD]
[TD]6.26
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Analysis ya Wizara kuhusu matokeo ya majaribio ya mfumo mpya
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Takwimu katika Jedwali la 3 zimeonesha kuwa kwa kutumia muundo mpya watahiniwa ambao wangefaulu kwa ufaulu
mzuri yaani wale walio kati ya Daraja la I-III ni asilimia 21.22 na wale watakaopata ufaulu hafifu yaani Daraja la IV ni asilimia 70.04. Wanafunzi ambao wangepata ufaulu usioridhisha kabisa ni asilimia 6.26. Kwa mantiki hii mfumo huu uliowazi kwa wote hauna athari ya kuwafanya hata wale ambao hawana uwezo wa kielimu waonekane wana ufaulu mzuri. Hii ina maana bado Taifa linawajibika kuwekeza nguvu zake katika kuimarisha elimu ya sekondari ili idadi kubwa ya wanafunzi iondoke kutoka ufaulu dhaifu na usioridhisha na kuingia kundi la wale wenye ufaulu mzuri na zaidi. Lakini pia ubora wa mfumo ni matokeo ya vitu vingi ikiwemo usimamizi mzuri, umakini na uadilifu ili mfumo uwe na tija

[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni kuweweseka kwa serikali katika sakata la kufuta daraja sifuri katika mitihani ya kidato cha nne na sita, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, jana alilazimika kumkana Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.

Lukuvi alisema taarifa aliyoitoa Mchome wiki iliyopita kuwa serikali imefuta daraja sifuri kwa kidato cha nne na sita haikuwa ya serikali, bali ile iliyotolewa juzi na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philip Mulugo, kuwa haijafutwa ndiyo sahihi.
Lukuvi alitoa kauli hiyo mara baada ya Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), kuomba mwongozo wa Spika akitaka kujua hatua watakazochukuliwa mawaziri wa wizara hiyo kwa kulidanganya Bunge na umma.\

Mdee alitumia mwongozo wa kanuni ya 68 (7) sambamba na kanuni ya 63 (1) inayosomeka kuwa; ‘Bila kuathiri masharti ya ibara ya 100 ya katiba inayolinda na kuhifadhi uhuru na mawazo katika Bunge ni marufuku kabisa kuongea uongo bungeni.'
Alibainisha kuwa kanuni hiyo inasema mbunge yeyote anapokuwa amesema uongo bungeni, ana wajibu wa kuhakikisha kwamba anatoa kauli au maelezo kuhusu jambo au suala ambalo yeye mwenyewe anaamini kuwa ni la kweli, na si la kubuni au kubahatisha.
Mdee alisema juzi Naibu Waziri Mulugo, alilihadaa Bunge kwa kukanusha kuwa wizara imefuta daraja sifuri huku akivitupia lawama vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa kuandika na kujadili taarifa hiyo, na kudai kuwa ni uzushi ambao hauna ukweli.
Mbunge huyo alisema Mulugo alikuwa akipishana na katibu mkuu wa wizara yake ambaye alitoa maelezo ya mabadiliko ya upangaji wa madaraja uliokuwa ukionyesha serikali kufuta daraja sifuri.

Alisema nyaraka alizonazo ambazo Profesa Mchome alizitolea taarifa ya mabadiliko hayo, zinaweka wazi kuwa serikali imefuta daraja sifuri na kuweka daraja linalojulikana kama daraja la tano, ambalo litakuwa daraja la mwisho katika ufaulu.

"Naomba mwongozo wako, Naibu Spika…utuambie, kauli kama hizi za uongo, za kubahatisha zinazotolewa na waziri zinachukuliwa hatua gani, na kwakuwa kauli za mawaziri hazijadiliwi na kwa kuzingatia waziri anaonekana hata jambo lenyewe halijui, hudhani kwamba ni muhimu tukalijadili jambo hili?" alihoji.

Katika maelezo yake, Lukuvi alisema kauli ya waziri ndiyo ya serikali na si kauli ya katibu mkuu, hivyo ni vema wananchi wakachukua kile kilichosemwa na waziri.

"Alichokisema Mdee ndicho kilichosemwa jana na naibu waziri, lakini akisimama hapa naibu waziri anasimama kama serikali, na kwa mfumo wa utawala serikalini, waziri ndiye mwenye mamlaka, hivyo kwa mantiki hiyo kauli ya serikali inakuwa ile ya waziri na si ya katibu mkuu," alisema.

Hata hivyo, Lukuvi alisema kuwa serikali inajiandaa kutekeleza agizo lililotolewa juzi na Spika wa Bunge, Anne Makinda, kuitaka ipeleke bungeni maelezo juu ya jambo hilo ili kuondoa mkanganyiko uliojitokeza. Mara baada ya Waziri Lukuvi kutoa maelezo hayo, Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka serikali kuharakisha mchakato wa kupeleka bungeni taarifa ya serikali kuhusu ufafanuzi wa upangwaji wa madaraja.

"Na mimi nasisitiza katika hili, kauli iletwe na serikali haraka, kwakuwa vijana wanafanya mtihani hivi sasa, na hawajui hata kile wanachofanya ni kitu gani katika upande wa madaraja, kwa hiyo hili ni jambo la haraka, mliletee ufafanuzi mapema," alisema Ndugai


Source: Tanzania Daima Serikali yaweweseka na ‘ziro' yake
 
aiseeee babayangu bora sisi tuliosoma zamani kipindi cha mkoloni
 
Hakuna dhambi kubwa kama kuua elimu ya nchi. Wote walioshiriki katika kushusha viwango vya ufaulu kiasi hicho dhambi hii itawatesa daima katika maisha yao hata kama kwa sasa BOSS wao aliyewateua ataona bado tu wanafaa kushika nyadhifa hizo ili waendelee kufanya madudu katika sekata ya elimu.
 
serikali ya sasa katika upande wasekta ya elimu ni kama refal ambaye hazi jui sheria za mchezo ila hufuata kelele za mashabiki mashabiki wakisema goo na yeye ana sema goo sasa katika hili mashabiki wa pande mbili wana bishana wengine dv5 iwepo wengine hapana na refal haelewi kinachoendelea. amebaki kutumbua macho tu.
 
Nadhani Mulugo ali'zimbabwe' tu kama kawaida yake. Taarifa sahihi ya S/kali itakuwa ni ya Mchome.
 
1]i used to panic, so i asked my class teacher kwa ushauri na akaniambia jinsi ya kutulia kwenye mtihani na ilinisaidia.
2] hiyo ni lack of practical experience, hata miye nilipoanza kazi kuna mengi sikujua ambayo waliosoma chini yangu wanayafahamu. pia mindset ilikuwa tofauti since nilikuwa najaribu ku-copy/paste vya darasani to the office. hii iliisha baada ya muda mfupi. issue ya QT iwekwe kazini/vyuoni sio mashuleni.

3] i can't do everything, i'm just human.

4] nakuunga mkono hapo. ingekuwa vizuri if we had various methods of examination/assessment.

Nimekusoma vizuri sana mdau umeelimika na bongo lako linaonekana kutulia, kuwa na mfumo wa kusoma, kuelewa, kupambanua na kuishi ndicho tunachohitaji jambo ambalo wengi wetu linatushinda kwa sana tu. Tunachukulia ya kitabuni kuwa ndio ya kuishi kumbe kitabu ni njia ya kutusaidia kupanua uwezo wetu wa kufikiri, kutenda na kuishi.

Tungekuwa na wengi wenye mtazamo na kuelimika kama wewe mdau nadhani tungekuwa tunajadili mambo mengi kwa mfumo wa falsafa ya kujengana zaidi.

Big up man, nimejifunza kitu toka kwako amini usiamini.
 
Sasa hayo ndiyo mambo yaliyopaswa kutiliwa mkazo na siyo kuja na mfumo upya wa alama! Hayo mambo uliyoyasema ndiyo chachu ya kuiinua elimu yetu. Pia kitengo cha career guidance ni muhimu kuwa nacho katika shule zetu za msingi na sekondari. Hivyo kutamfanya mwanafunzi atambue mapema yeye uwezo wake umejikita katika fani/taaluma ipi. Hapo ndipo atakaongeza bidii zaidi katika hiyo fani/taaluma. Huwezi kumlazimisha kila mwanafunzi awe injinia, wengine ni wachoraji!!


Hayo pamoja na mengi (walimu, maabara, vifaa vya ufundishaji, vitabu n.k.) yaliyosemwa juu ya kuboresha elimu yetu, ndiyo ya kutiliwa mkazo. Na si alama na madaraja mapya.



Chifu, sidhani kuwafaulisha wanafunzi ndiyo sababu ya kuwepo kwa mitihani. Mitihani ipo kwa ajili ya kupima uelewa wa mwanafunzi kwa kile alichofundishwa darasani na kile kinachofanyika kwa uhalisia katika maisha ya mwanadamu.

Chifu watoto hawawezi kufaulu kama hakuna mazingira katika shule zao, ya kuwafanya wafaulu.

Mitihani haiwezi kutungwa kwa kukomoa; wanataka kumkomoa nani? Kwa watungaji hao hao, wana watoto, ndugu zao na watoto wa ndugu zao wanaofanya mitihani hiyo hiyo!! Sasa mzazi anaweza kumkomoa mwanaye?!? Hii ni sababu itolewayo na wanafunzi waliosoma katika mazingira yasiyowawezesha kufaulu. Mitihani inatungwa bila kuangalia kama mada zilizotungiwa mitihani zilifundishwa ama la! Sasa mwanafunzi akikutana na maswali kutoka kwenye mada kama hizo, ndipo anapoanza kusema amekomolewa!! Kumbe ni udhaifu wa mfumo wa ufundishaji!!

Natanguliza shukrani kama utajaribu kunisoma na kuelewa ninachojengea utetezi kuhusu ufaulu wa wanafunzi. Kwamba mahudhurio darasani ni sehemu ya nidhamu kwa mwanafunzi na husaidia kumjengea credits, hivyo basi haiwezi kukubalika kwamba mtu amehudhuria miaka yote minne shuleni ashindwe kupata hata 25% ya good attendance. Ndio maana ya kusema hakuna ile sifuri kama mwanafunzi amehudhuria shule na akashindwa final exam. Kwamba hajafikia kiwango cha credit za juu au daraja ya juu sitakatai, lakini kwamba ni sifuri hapana.

Nchi zinazojali hilo mfano Marekani, chuoni mwanafunzi akikosa mahudhuria ya darasa zaidi ya vipindi vitatu anafutwa, wao mahudhurio ni sehemu ya credit. Kwamba anajisomea darasani hapana, ila credit hour inahesabiwa darasana na instructor (kila mkufunzi) anapoingia darasani huwa na daftari la mahudhuro. Pale inapotokea dharura basi mwanafunzi anatakiwa aombe ruhusu maalumu kwa mkufunzi wake, naye mkufunzi atatafuta nafasi ya kufidia kipindi hicho kwa wakati atakaopanga kwa mwanachuo huyo ili kunusuri kukosekana darasani na kisha atapewa assignment kama wenzake kuhakikisha anapata kila kitu wanachopata wanachuo wenzake.

Bongo wanachuo wapo mitaani, wengine wanapiga usingizi, baadhi wako huko kuserebuka, ati hatuna sheria inayowabana mradi tu kufaulu, wakikatwa na kuambiwa wameshindwa watalalamika tumeonewa, wasichana watasingizia nilimkatalia kugawa uroda ndo maana kaniangusha. Jamani bongo kuna mambo.
 
mabata wadogo wadogo wanaogelea kaktika shamba zuri la elimu la tanzania. Ni nchi pekee ambayo huwezi kutofautisha profesa na aliyeishia darasa la nne. Tunamsubiria pinda na yeye aropoke lake. Tuendelee kusubiri tuone alhamisi akitwangwa swali kuhusu hilo atajibu nn?

nipo first year sintosahau wizara ya elim ilivotuchanganya tukiwa form six chaajabu bado wanazidi kujichanganya hivi kwanini watendaji wa hii wizara hawako pamoja katika maamuzi yao au ndo kila mmoja anataka aonekane alileta mabadiliko yake,kuishi tz inahitaj moyo na uvumilivu vinginevo utakufa kwa stress;tusubir tuone watakapopeleka rasmi bungeni au tusubiri tume ya pinda pindua kama itakubaliana na huu utumbo
 
Mabata wadogo wadogo wanaogelea kaktika shamba zuri la elimu la Tanzania. Ni nchi pekee ambayo huwezi kutofautisha profesa na aliyeishia darasa la nne. Tunamsubiria Pinda na yeye aropoke lake. Tuendelee kusubiri tuone Alhamisi akitwangwa swali kuhusu hilo atajibu nn?

Tayari Lukuvi amesharopoka na anasema eti alichosema Prof Mchome si kauli ya Serikali, Sasa sijui ana maana gani yaani Katibu Mkuu wa Wizara akiongea anakuwa anajiropokea tu hiyo si kauli ta serikali. Na je hilo suala la D kuanzia 0-19 na mengine yote aliyotanaza Mchome nayo ni Batili au wanasemaje? Mbona wanawachanganya sana K4 wanaoendelea na mitihani yao?
 
Tayari Lukuvi amesharopoka na anasema eti alichosema Prof Mchome si kauli ya Serikali, Sasa sijui ana maana gani yaani Katibu Mkuu wa Wizara akiongea anakuwa anajiropokea tu hiyo si kauli ta serikali. Na je hilo suala la D kuanzia 0-19 na mengine yote aliyotanaza Mchome nayo ni Batili au wanasemaje? Mbona wanawachanganya sana K4 wanaoendelea na mitihani yao?

Bendera huwa haina khiyari kuufuata upepo,
Huyo bwana naye mie nadhani kauli zake mie huziita mchanyato,
Yeye ni nguvu san akatika kujibu na si busara
 
Mabata wadogo wadogo wanaogelea kaktika shamba zuri la elimu la Tanzania. Ni nchi pekee ambayo huwezi kutofautisha profesa na aliyeishia darasa la nne. Tunamsubiria Pinda na yeye aropoke lake. Tuendelee kusubiri tuone Alhamisi akitwangwa swali kuhusu hilo atajibu nn?

Atajibu Mulugo na Profesa Mchome wapigwe tu kwani tumechoka
 
Hivi ni kwa nini watanzania tunachezewa kiasi hicho? wamekurupuka na viwango vyao visivyo na tija sasa wanarushiana wenyewe maneno eti Katibu Mkuu siyo msemaji wa serikali. Sasa kama siyo msemaji ni nani MROPOKAJI? Futeni viwango vyote vioya havina maana na haileti maana yoyote kufanya majaribio kwenye maisha ya watu eti kwa miaka minne
 
Back
Top Bottom