Khaaaaa... nchi ya vituko, matamko, makanusho na mipasho!! tutafika tu manina zetu
Naangalia TBC 1 hapa,naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo,amekanusha maneno ya Mchome ya kuongeza daraja la 5 na kusema daraja hilo halipo na sifuri ipo pale pale.
Source; TBC 1
What does this mean? Mtendaji anaema hivi na waziri anasema kinyume chake! Ndani ya Wizara moja!
Mulugo naye ni sifuri tu.
Naangalia TBC 1 hapa,naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo,amekanusha maneno ya Mchome ya kuongeza daraja la 5 na kusema daraja hilo halipo na sifuri ipo pale pale.
Source; TBC 1
Kama huyu hapa mkuu,ndio maana wamemuwekea divisheni faivu...afadhar hao wana 'shoes' kuna shule vijijini wanatembea peku......this is tanzania
Ingawa kwa hilo nakubaliana naye, kama binadamu anaitwa Mulugo ametoa maoni yake sina la kusema. Hivi pamoja na kufoji kote huko Mulugo ado Naibu Waziri? JK, huyu mtu ana kazi nyingine ipi kitaifa au ni mganga? Mnataka afanye lipi ndipo umuondoe?
tuue mara ngapi?Tukiua mfumo wa elimu tutakuwa tumemaliza kila kitu.Litabaki kuwa taifa la wajinga!