kesho atakuja mwingine na div 6 nalo tutalishika kwa muda tuuKwa sasa tushike la huyu wa leo hadi hapo yatakapotokea mabadiliko, na anavyomalizia amesema alama mpya za kidato cha sita zitatangazwa pia wakishafanya "calculation".
Me nashukuru Mungu ameongea wakati wanafunzi wakiwa tayari wapo shule! Angeongea jana,ki-saikolojia ingewaathiri saana.
Wanajichanganya tu hawa!!!
Me nashukuru Mungu ameongea wakati wanafunzi wakiwa tayari wapo shule! Angeongea jana,ki-saikolojia ingewaathiri saana.
wote watasema hata kiranja wao mkuu mpaka atakapo kuja 'mfadhili' ndiye atatoa kauli itakayokubalika kwao na sisi. Inasikitisha lakini utafanyaje!?kesho atakuja mwingine na div 6 nalo tutalishika kwa muda tuu