Kama hii habari ni ya kweli nataka kuwasikia clouds kesho asubuhi watasemaje maana asubuhi wamepongeza sana kufutwa div 0 ... hawa jamaa ni wafuata upepo balaa.Naangalia TBC 1 hapa,naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo,amekanusha maneno ya Mchome ya kuongeza daraja la 5 na kusema daraja hilo halipo na sifuri ipo pale pale.
Source; TBC 1
Kwa sasa tushike la huyu wa leo hadi hapo yatakapotokea mabadiliko, na anavyomalizia amesema alama mpya za kidato cha sita zitatangazwa pia wakishafanya "calculation".
Kama hii habari ni ya kweli nataka kuwasikia clouds kesho asubuhi watasemaje maana asubuhi wamepongeza sana kufutwa div 0 ... hawa jamaa ni wafuata upepo balaa.
Wame-drive out Dr Ndalichako. Hii ya Div 5,i guess ni mapendekezo ya hao hao waliomdrive out Dr Ndalichako.
Tulishasema ili kukidhi quota ya wenzetu,toka Uhuru,wampe Shekh Ponda kuwa Head wa NECTA