tumemzidi hata yule "mfalme juha" tuliyemsoma sekondari 🙁tanzania kama tupo kwenye filamu vile
Duuuuu!!
Poor communication kati ya wizara na watendaji wake.
Unaweza ukaona namna kazi zinavyofanywa kwa ubabaishaji.
no team working and networking.
Kila kukicha ni vioja juu ya viroja.
Aaaaaaaa only in Tanzania!!
Haya twende kazi sasa.
Naangalia TBC 1 hapa,naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo,amekanusha maneno ya Mchome ya kuongeza daraja la 5 na kusema daraja hilo halipo na sifuri ipo pale pale.
Source; TBC 1
sasa tushike lipi!