Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Alisema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo za CCM, Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam...
Mukama alisema: "Kuwa na makundi ni kitu cha kawaida lakini si la mtu fulani, bali ni katika chama ili vitu viende na ni jambo jema katika chama. Kwa mfano, mambo ya urais kikanda Kusini wameshapata, sasa inaweza ikawa Nyanda za Juu Kusini au Kanda ya Kati na upande wa Kaskazini vilevile, juu kule Mwalimu Nyerere alishatoka."
Alisema hali kama hiyo ndiyo inatengeneza makundi kwa watu wa sehemu fulani kusema: "Mbona kule ameshatoka huku bado hajatoka. Hayo ndiyo mambo yalivyo na si mtu mmoja mmoja kuwa na kundi, hayo yanayosemwa huko siyajui."
Mukama alisema: "Kuwa na makundi ni kitu cha kawaida lakini si la mtu fulani, bali ni katika chama ili vitu viende na ni jambo jema katika chama. Kwa mfano, mambo ya urais kikanda Kusini wameshapata, sasa inaweza ikawa Nyanda za Juu Kusini au Kanda ya Kati na upande wa Kaskazini vilevile, juu kule Mwalimu Nyerere alishatoka."
Alisema hali kama hiyo ndiyo inatengeneza makundi kwa watu wa sehemu fulani kusema: "Mbona kule ameshatoka huku bado hajatoka. Hayo ndiyo mambo yalivyo na si mtu mmoja mmoja kuwa na kundi, hayo yanayosemwa huko siyajui."