Mukama: Mbio za Urais CCM, sasa ni zamu ya nyanda za Juu Kusini, Kati na Kaskazini

Kumbe huyu mzee naye ni mpuuzi kiasi hiki!!!. Ana maana kwa kuwa mkoa wa Pwani umetoa marais wawili nchi hii (yaani Ali H. Mwinyi - Mkuranga; na Jakaya Mrisho Kikwete - Bagamoyo) basi ukanda huu hawana haki ya kuwa na rais mpaka kanda nyingine zote zipate marais mara wawili wawili?

Hii inachanganya,,,KWENYE RED!Huyu mzee si Mzanzibari huyu!
 
Mi nadhani hapa kuna tatizo.

Tumefika mahali tumeanza kufikiri kwa namba hii. Hivi tumefika mahali tunafikiria kuchagua rais kwa misingi ya ukanda. kwa mwendo tunataka kuigawa nchi kwa misingi isiyo na tija. Tunamani sana na tuna uwezo wa kuifanya Tanzania kuendelea kuwa mmoja. Lakini kama viongozi wetu wanafikiri namna hii kuna hatari ya kuigawa nchi.na kwa kweli hatutakuwa tayari kuona hili linatokea.

Mimi nilitarajia kuskia ndg. Mukama angetwambia kwamba kama kuna kiongozi anautaka urais kwa misingi ya ukanda basi CCM itamuondoa kwenye list ya wagombea bila hata kumpa nafasi ya kukata rufaa kwa si mtu AMBAE WATANzania tunamhitaji. Watu wa namna hii kwa kawaida ni aina ya wanasiasa wanaokosa hoja na ushawishi badala yake hutafuta hoja nyepesi kuyafikia malengo yao ya kisiasa.

Tunahitaji rais atayetuunganisha na si kutugawa, rais anayeamini kwamba Tz haijawahi kuongozwa kwa misingi ya kikanda, kikabila, kidini, kirangi, wala kimkoa. Tukifanya kosa hili tutakuwa tumefungua historia nyingine na dunia itatucheka sana, kutudharau sana.

Kamwe watz hatuko tayari kuona nchi inaparaganywa na watu wenye uroho wa madaraka kwa misingi mufilisi kama hii.
 
Dah!huyu jamaa alivyoingia kwa mbwembwe na sera yake ya kujivua magamba na anayoyaongea leo!yan havifanan kabisa!?
 
Kumekuwa na mikakati ya kuhakikisha kuwa watu wa kaskazini wanamweka mtu wao ikulu kwa bahati mbaya mkakati huu hauko ccm tu bali hata chadema.mh nassari mbunge mpya toka kaskazini alipata kusema kaskazini ijitenge lakini huo haukuwa mwanzo wakati wa vuguvugu la kudai uhuru wameru kupitia kwa japhet kirilo walipata kudai uhuru wa wameru.mzee mareale alikwenda uno kudai kitu kama hicho,kwa kifupi watu wa kaskazini ni watu wenye KUJIPENDELEA ZAIDI.

Ugonjwa wa kujipendelea zaidi ndo uliosababisha cain mtoto wa adam kumuua ndugu yake.ndio uliosababisha mradi wa MECCO mwanza ukahamishiwa MOSHI. Ndio uliosababisha kulazimisha makao makuu ya E. Africa yawe Arusha na sio Mwanza kama wajumbe wengi wa e.africa walivyoomba.lakini pia kasakazini ndiko wanakotoka mafisadi wengi mf.yona,mramba,lowasa,kn hawasemwi sana kama chenge na rostam.

Na sasa rangi halisi imejionyesha chadema, alitwambia kamanda Wangwe hatukumsikia sasa tunaona viongozi akina mbowe na slaa wanavyoendesha chadema kama kampuni yao binafsi huku wakiwa wamepanga slaa awe mgombea wa urais na ASITOKEE MWINGINE KUOTESHWA URAIS KUPITIA CHADEMA ZAIDI YA SLAA.

NA HAPO NDIPO ZITTO ALIPOKESEA Kuutamani urais kupitia chadema nafasi ambayo ina mwenyewe!mkaskazini!ambae record yake imejaa ufisadi kuanzia ccbrt mpaka chadema.mpaka kwenye maadili mpaka leo mzee mzima anatelekeza familia kwa ajili ya mrembo kabla ya hapo alitelekeza upadri kwa ajili hiohio.sasa zitto lazima achafuliwe kwa lolote lile.la kweli na lisilo la kweli kama tulivyoona juzi.

LAKINI NIWAAMBIE NDUGU WAKASKAZINI. NAUNGANA NA WABAGAMOYO RAIS HAWEZI KUTOKA KASKAZINI.TULIKUWA TUMELALA WANGWE AKATUAMSHA HATUKUAMKA SASA SUALA LA ZITTO LIMETUAMSHA.SASA TANZANIA IMEAMKA DHIDI YA WAKASKAZINI.NYUMA YA ZITTO ZUBERI KABWE!
 
Huu ndiyo uchambuzi duni sana wa suala nyeti kama la urais wa nchi. Unakotoka sio hoja, hoja ni je unaweza. Kwamfano CCM wakimteua Lusinde aka kibajaji yule mtalaam wa kutukana na prof. Costa Mahalu wa bagamoyo. Prof atapigwa chini kisa anatoka bagamoyo kanda ya rais wa sasa na atapewa mtukanaji professional kisa anatoka kanda ya kati? Huu ni ujinga kabisa tubadilike, game za ndani ya chama kigumu tuwaachie wenyewe
 
Amefunikwa na Nape,majukwaani haonekani,ametaka na yeye asikike kidogo kwa kutoa pumba za kimagamba.
 
Hiyo kauli ya mukama si ya kisayansi na ikifuatwa maana yake wanaweza wakapata mtu ambae si competent kwa kigezo kwamba kanda hii hajawi toka rais hivyo tumpe huyu jamaa yetu japokuwa kanda nyingine ilishawahi toa urais
 
Nazani sasa ni zamu ya Kigoma atuna balabala za lami asipotoka uko tunajitenga kuwa inchi.
nimekata tamaa na hii nchi badala ya kuangalia sifa za mgombea mnaangalia anatoka wapi, kesho mtataka kabila yenu na dini yenu, kwani ndio sifa mnazozijua, kiongozi wa chama anasema haya na bado anaendelea kuwa kiongozi? Nahisi harufu ya uongozi na demokrasia ipo mbali sana kama watu bado wanamawazo haya
 
Alisema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo za CCM, Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam...

Mukama alisema: “Kuwa na makundi ni kitu cha kawaida lakini si la mtu fulani, bali ni katika chama ili vitu viende na ni jambo jema katika chama. Kwa mfano, mambo ya urais kikanda Kusini wameshapata,
sasa inaweza ikawa Nyanda za Juu Kusini au Kanda ya Kati na upande wa Kaskazini vilevile, juu kule Mwalimu Nyerere alishatoka

Alisema hali kama hiyo ndiyo inatengeneza makundi kwa watu wa sehemu fulani kusema: “Mbona kule ameshatoka huku bado hajatoka. Hayo ndiyo mambo yalivyo na si mtu mmoja mmoja kuwa na kundi, hayo yanayosemwa huko siyajui.”



Huyu mzee wamemuaribu akili..katibu wa chama kinachojivunia amani na umoja utasemaje mambo ya ukanda kanda kuhusu wagombea wako wa Urais? CCM ni vita ya kitabaka, na vita ya filosofia binafsi za uongozi, lakini siyo siyo makundi au vita ya kikanda ambayo itachochea ukabila na ukanda tu ....ndiyo maana unaweza kumkuta jolly pale anakunywa bia saa 7 mchana huyu mzee....
 
Nashindwa kuelewa why he would even entertain questions about the 2015 Presidential race, at a time when the CCM government is struggling to shore up the economy and deliver on its numerous promises. Nilidhani kama Katibu Mkuu angeelekeza nguvu katika jitihada za kuwaleta pamoja wana-CCM kabla ya Congress ya October.
 
Hili zee hovyo kabiosa..........badala ya kuweka parameters za kiongozi mzuri atapatikanaje na quality zake anaelezea ukanda....kwa hiyo hizo kanda akama hakuna mtu wa qulaity basi tupewe Rais tu ili kand ifurahi?
 
Toa ushahidi kuhusu ufisadi wa ccbrt!

Kumekuwa na mikakati ya kuhakikisha kuwa watu wa kaskazini wanamweka mtu wao ikulu kwa bahati mbaya mkakati huu hauko ccm tu bali hata chadema.mh nassari mbunge mpya toka kaskazini alipata kusema kaskazini ijitenge lakini huo haukuwa mwanzo wakati wa vuguvugu la kudai uhuru wameru kupitia kwa japhet kirilo walipata kudai uhuru wa wameru.mzee mareale alikwenda uno kudai kitu kama hicho,kwa kifupi watu wa kaskazini ni watu wenye KUJIPENDELEA ZAIDI.

Ugonjwa wa kujipendelea zaidi ndo uliosababisha cain mtoto wa adam kumuua ndugu yake.ndio uliosababisha mradi wa MECCO mwanza ukahamishiwa MOSHI. Ndio uliosababisha kulazimisha makao makuu ya E. Africa yawe Arusha na sio Mwanza kama wajumbe wengi wa e.africa walivyoomba.lakini pia kasakazini ndiko wanakotoka mafisadi wengi mf.yona,mramba,lowasa,kn hawasemwi sana kama chenge na rostam.

Na sasa rangi halisi imejionyesha chadema, alitwambia kamanda Wangwe hatukumsikia sasa tunaona viongozi akina mbowe na slaa wanavyoendesha chadema kama kampuni yao binafsi huku wakiwa wamepanga slaa awe mgombea wa urais na ASITOKEE MWINGINE KUOTESHWA URAIS KUPITIA CHADEMA ZAIDI YA SLAA.

NA HAPO NDIPO ZITTO ALIPOKESEA Kuutamani urais kupitia chadema nafasi ambayo ina mwenyewe!mkaskazini!ambae record yake imejaa ufisadi kuanzia ccbrt mpaka chadema.mpaka kwenye maadili mpaka leo mzee mzima anatelekeza familia kwa ajili ya mrembo kabla ya hapo alitelekeza upadri kwa ajili hiohio.sasa zitto lazima achafuliwe kwa lolote lile.la kweli na lisilo la kweli kama tulivyoona juzi.

LAKINI NIWAAMBIE NDUGU WAKASKAZINI. NAUNGANA NA WABAGAMOYO RAIS HAWEZI KUTOKA KASKAZINI.TULIKUWA TUMELALA WANGWE AKATUAMSHA HATUKUAMKA SASA SUALA LA ZITTO LIMETUAMSHA.SASA TANZANIA IMEAMKA DHIDI YA WAKASKAZINI.NYUMA YA ZITTO ZUBERI KABWE!
 
Back
Top Bottom