Mukama: Mbio za Urais CCM, sasa ni zamu ya nyanda za Juu Kusini, Kati na Kaskazini

This is what you get when you bring someone from retirement and appoint him your SG!!!The guy is tired, has no fresh ideas. CCM is heading to the abyss!
 
Huyu bwana ame "quote" , lakini hajabainisha bwana mukama alikuwa anazungumza katika "context" ipi? Nilivyoelewa mimi ni kuwa ndani ya chama cha mapinduzi kuna mijadala ya kikanda, kwamba, haya mambo yanazungumzwa ndani ya chama. Lakin hii haimaanishi kuwa bwana mukama anasema raisi ajaye anatakiwa kutoka katika maeneo aliyoyataja. Naomba mnisamehe/mniwie radhi kama sijaelewa vizuri.
 
Hivi huyu Mkama kwa akili yake ya kawaida anataka kusema Rais lazima atoke CCM siyo?? Sasa anapokuja na kanda hajui kuwa na sisi Wasukuma tutakuja na gear tofauti na kusema kabila letu kubwa lakini halijawahi toa Rais.

Hivi watu wenye akili kama hii waliwezaje kupata madaraka makubwa serikalini?? No wonder tunazidi kurudi nyuma!!!
 
Viongozi wa CCM wanasumbuliwa na hofu inayoletwa na siri ya matendo yao maovu. Ukifanya tendo lolote ambalo hutaki lijulikane utajitahidi kubadili vigezo na kanuni zote ili siri zako ziendelee kuwa salama. Kwahiyo tatizo ni hofu kubwa ya siri za matendo yao ya kifisadi. Ndiyo maana Mkapa hazungumzi kama Nyerere, Kikwete hazungumzi kama Nyerere, sasa Mkama naye hazungumzi kama Nyerere kwakuwa ana tuhuma za kuvuta vijisenti (billion mbili) yeye na Idd Simba
 
Huyu jamaa akili yake haiko sawa! Kama si yeye na chama chake wote akili zao ziko likizo! Kama kamati kuu ya ccm wanajadili upumbavu huu basi ni hatari sana, anataka kuleta mambo ya ukabila kwa kudai zamu za uongozi tena ngazi ya urais! Mbona ya bara na zanzibar waliiondoa wenyewe? Rais aanze kuchaguliwa kwa kanda badala ya kuangalia sifa za mgombea! Kweli hawa watu wamechanganyikiwa! Baada ya kanda kinachofuata ni mkoa mmoja mmoja na hatmaye kabila kwa kabila! Mshindwe katika nguvu ya ummaa!
 
Huyu bwana ame "quote" , lakini hajabainisha bwana mukama alikuwa anazungumza katika "context" ipi? Nilivyoelewa mimi ni kuwa ndani ya chama cha mapinduzi kuna mijadala ya kikanda, kwamba, haya mambo yanazungumzwa ndani ya chama. Lakin hii haimaanishi kuwa bwana mukama anasema raisi ajaye anatakiwa kutoka katika maeneo aliyoyataja. Naomba mnisamehe/mniwie radhi kama sijaelewa vizuri.

Soma gazeti la Mwananchi la leo
 
hatukubali sie wazanziberi mnatuonaje ina maana ule mpango tuliokubaliana ndo mmeshaupindua. hapa lazima muungano uvunjike vinginevyo rais atoke zenji. hakuna cha ulutheri, ukaskazini wala unyanda za juu kusini patachimbika mjengoni
 
Ukiona mtu anaendekeza ukanda basi ujue huyo amefilisika kisiasa. Ukanda ni ukaburu tu. Duh CCM sasa hata kauli za kawaida tu zinakuwa tabu? Chini ya miaka 20 baada ya kifo cha Mwalimu hakuna hata mmoja ambaye alirithi hata robo ya hekima ya mwalimu? Wale tuliokuwa tunaambiwa ni wanafunzi wa mwalimu ndani ya Chama wako wapi?

Wanafunzi wapo, lakini kuna mambo mawili ya kuelezea hali ilivyo: kwanza, pengine wanafunzi hao walikua vichwa ngumu, hivyo hawakumwelewa Mwalimu!! Au Mwalimu alishindwa kuwaelewesha wanafunzi wake, pengine kwa namna alivyokuwa akiwafundisha au kwa kushindwa kuwa na mbinu za kuwafundisha na kuwaelewesha.

Hizo ndizo zinaweza kuwa sababu ya kuona hakuna hata mwanafunzi mmoja wa Mwalimu alieweza kurithi hekima zake!!
 
The most stupid comment from a SG General

kasahau kuwa Tanzania ina watu milioni 44?
Hivi bado CCM wanaamini wana SG? wameliwa.

"JK fanya mpango huyu jamaa apigwe chini, la sivyo chama chenu kitazikwa kutokana na kauli mbofumbofu kama hizi"
 
Hapa wanataka mwandosya,lowasa,sitta au magufuli.hiyo lists nadhani magufuli 2 ndio anafaa.tunataka wachapakazi kwa vitendo siyo maneno
 
Hovyo! Inaelekea huyu gam.ba huwa hasikilizi hata hotuba za Mwl. JK Nyerere. Mwalimu alisha sema kuwa "hatutamkataa mtu kwa sababu ya kabila lake" eti mtu ana sifa zote lakini eti kwa sababu antokea eneo fulani la nchi basi hafai, tatizo huyu cha pombe hajisomei.
 
Too low kwa nafasi yake! kweli uzee si kipimo cha busara. Kwani amesahau ukanda si kigezo cha kugombea Urais na suala
 
Back
Top Bottom