Uongozi wa juu wa Sasa wa CCM umesheheni makada toka pande tajwa hapo juu.
Kanda ya Ziwa, Kati na Nyanda za Juu kusini hawaaminiwi na watu wa pwani. Waliaminiwa na mwendazake wakati huo wanaoaminiwa sasa wakiwa wametengwa.
Je, kuna CCM mbili ndani ya chama kimoja? Tusubiri tuone.
Kanda ya Ziwa, Kati na Nyanda za Juu kusini hawaaminiwi na watu wa pwani. Waliaminiwa na mwendazake wakati huo wanaoaminiwa sasa wakiwa wametengwa.
Je, kuna CCM mbili ndani ya chama kimoja? Tusubiri tuone.