Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,517
- 9,437
Morning baby
Thank you wii ake, have a great day too.
Thank You darling...


Tatizo wanapiga mizinga sana hawa mademuMahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana. Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby". Wewe kila siku unamwita kwa jina lake mara Aisha, Zuhura, Catherine, Khdija.
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress (hasa kwa wanawake). Halafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani
I told you, mpe nafasi utafurahia na roho yako.
What a beautiful sister...I told you, mpe nafasi utafurahia na roho yako.
Huo ni mwanzo tu 😀, Boeing 747 is so caring and gentle.




Naona ona hata mie 😚😚I told you, mpe nafasi utafurahia na roho yako.
Huo ni mwanzo tu 😀, Boeing 747 is so caring and gentle.
Anything for my dear bro😇What a beautiful sister...
Umejua kunipigia debe..
You Are an angle from heaven...


...nina kama gunia nne hivi za maneno ...yote kwa ajili yako...



Ariririririiiiiii💃...nina kama gunia nne hivi za maneno ...yote kwa ajili yako...
Halafu si unaona ulivyo na wifi mrembo..?
Naamini lunch yako imeenda vizuri...
Saa tisa tisa hivi usisahau kupata kasahani kadogo dogo hivi ka matunda mchanganyiko..![]()
Yeah ni mrembo Dada yako halafu anavyokupambania sasa 😀😀...nina kama gunia nne hivi za maneno ...yote kwa ajili yako...
Halafu si unaona ulivyo na wifi mrembo..?
Naamini lunch yako imeenda vizuri...
Saa tisa tisa hivi usisahau kupata kasahani kadogo dogo hivi ka matunda mchanganyiko..![]()
Tazama ilivyo vema na kupendeza, ndugu wakae pamoja kwa upendo😍Yeah ni mrembo Dada yako halafu anavyokupambania sasa 😀😀
Ilikuwa poa, sijajing'ata wala kijiko hakijaniumiza... Asante kwa kunikumbusha na we pia saa kumi na moja/ kumi na mbili usisahau kupata kikombe cha coffee either home or Fifi restaurant 😜
Thank you my chocolate..Yeah ni mrembo Dada yako halafu anavyokupambania sasa
Ilikuwa poa, sijajing'ata wala kijiko hakijaniumiza... Asante kwa kunikumbusha na we pia saa kumi na moja/ kumi na mbili usisahau kupata kikombe cha coffee either home or Fifi restaurant![]()





Ni kama majani mabichi, yameayo kando kando ya mto...kamwe hayawezi kunyauka..Tazama ilivyo vema na kupendeza, ndugu wakae pamoja kwa upendo![]()









