Muingereza awafananisha Watz na nguruwe

Muingereza awafananisha Watz na nguruwe

Kwani mama anasema uongo au?! Ni ukweli mtupu japo waswahili wanasema ukweli unauma. Nchi imeoza kabisa bado kutoa harufu tu.
 
Viongozi wenu wamechukuliwa hatua mpaka achukuliwe hatua huyo rangi mbarikiwa nchi hii ina ujinga na ushenzi unaoudhi kupita kiasi hasa.
 
Mama kaongea ukweli mchungu. Nimeipenda hii sentence yake "Jambazi mmoja anamwambia jambazi mwingine akamate mwizi". Hapa kuna ukweli ndani yake.Serikali/polisi/mahakama +"Dhaifu" wajifunze kutoka kwa uyu mama.
 
Huyo mama akikutana na Lusinde atajiju. On a serious note, huyo mama ni mkweli sana.
 
Hapo labda Lusinde ,lkn yale matusi ya Peter Selukamba huko uingreza anakotoka niyakawaida tu wala hakutakuwa na cha ajabu kabisa.Lakini wewe hapa mtoa mada unazungumzia utaifa (Nationalism) kati ya hao wanaotukanwa na huyo mama ' huoni huyo mama ki-maana yuko sahihi anazungumzia namna ambavyo tunashindwa kujiongoza,tunajiibia wenyewe,tunasaidia wanaotuibia,tunaifanya nchi yetu wenyewe kuwa masikini zaidi,na mengine ,mengi yanayofanana na hayo!.mfikirie kwanza huyu mama anataka kila anayesikiliza matusi yake atafakali kwanza na usione kama tuna tukanwa ,kwa staili ya nchi yetu inavyoenda inastahili kutukanwa kabisa.Ile hela waliyotusaidia waingreza umerudi kweli jamani? wahusika wako wapi ,,mpaka hapo sisi na nguruwe kuna utofauti? angalia bunge linavyoendeshwa na wale sio watoto wadogo kabisa wanatukana kana kwamba wao hawajazaliwa.wanatanguliza kuuza nchi zaidi kuliko kujenga nchi.yule mama umesema anashawishi nchi zingine zitunyime misaada ,sasa wewe ndugu yangu kwa nchi kama yetu kinachotufanya tusifanye kazi wenyewe na tuendelee kuomba kama viwete tusio na mikono au miguu,bajeti yetu haikamiliki bila wao kutia neema zao,huwezi kuogopa matusi kama hata huwezi kujilisha mwenyewe.Yule mama wewe mwache bana,na hapa sisi ni nguruwe wenzio hatutakusaidia kama wadau waliopita walishauli mpelekeni mama mahakamani kwa hayo matusi yake.
 
Kweli kabisa, huyu mama yuko right! Bungeni wabunge wa magamba si waliwaita wenzao wa cdm mbwa na magamba mwingine akasema mchungaji msigwa ni mchungaji wa nguruwe? Spika na nyie wanafiki mnaolalamika hapa mlichukua hatua gani? Si mlichekelea! she is absolutely right!
Ni kweli sisi watz ni ma viti moto kabisa na wengine wako bungeni ni mambwa
 
Huyu mama aliingizwa mjini na mdogo wake mengi.na baada ya hapo mdogo wa mengi alitumia utz wake kumblock huyu mama asipate haki yake.ndio sababu huyu mama ana hasira na kila kitu tz.
Ni story ndefu sana na kesi sijui iliishaje
 
Sioni ajabu kuna Mbunge wa CUF toka Unguja alisema wale wachungaji wa bungeni ni wachungaji wa nguruwe...sasa tofauti iko wapi au kwa sababu mzungu kawambia nyie nguruwe? Akisema muunguja sawa?
 
Usually, husbands get jealous when they see their wives with another man and vice versa. The same goes with animals, except pigs, who don't mind seeing their wives mating with another male pig and vice versa.
 
Duh!

Walau Nguruwe ni mnyama anayewaogofya baadhi ya watu - kumchinja au kumla nyama yake (kiti moto)!
 
Sarah Hermitage, Nguruwe mwenyewe na mume wako! Kwanza rangi yako na ya nguruwe zinafanana si ajabu ancestor wenu ni mmoja!! Tena kama unayako umenyimwa mkataba kwenye hii nchi na wezi wenzako basi malizana nao wenyewe siyo kututukana wote!! Aaaaghh!!

...SERUKAMBA.....!!!
 
Viongozi wenu wamechukuliwa hatua mpaka achukuliwe hatua huyo rangi mbarikiwa nchi hii ina ujinga na ushenzi unaoudhi kupita kiasi hasa.
Rangi mbarikiwa ndiyo kitu gani tena!
 
Sioni ajabu kuna Mbunge wa CUF toka Unguja alisema wale wachungaji wa bungeni ni wachungaji wa nguruwe...sasa tofauti iko wapi au kwa sababu mzungu kawambia nyie nguruwe? Akisema muunguja sawa?

Huyo mama hajui kiswahili aliposikia wakimwita mchungaji anayemfahamu kuwa ni mchungaji wa kondoo kuwa ni mchungaji wa nguruwe alidhani neno nguruwe maana yake walokole maana yule mbunge wa Iringa ni mchungaji wa walokole.
 
ok. Between this Mom and CCM Representativi in in the Parliament; who is realy having patriotism towards TANZANIA????...!!!! to me its that mom. Na zaidi ya hapo, kuna mbunge wa CCM kasema bungeni "---- you" ..... was that right? wewe mwandishi wa habari umeripoti hili wapi? ah toka hapa baana!
 
wewe mwandishi wa habari hii nikwamba tu hujui jinsi ulivyo Mbaya kwa taifa hili..... yaani nakugeuzia kibao kwamba wewe sio mzalendo hata punje.
 
Marko kiingereza baba umechemka unaaibisha familia yako. Kwani wewe ukisema kiswahili tu inakuwaje.!?!? Mbona nyie watanzania mboga sana. Yaani mnavyonichafua mkichanganya lugha mgejua nyinyi!! Aiseeeee....!!
 
Hapo labda Lusinde ,lkn yale matusi ya Peter Selukamba huko uingreza anakotoka niyakawaida tu wala hakutakuwa na cha ajabu kabisa.Lakini wewe hapa mtoa mada unazungumzia utaifa (Nationalism) kati ya hao wanaotukanwa na huyo mama ' huoni huyo mama ki-maana yuko sahihi anazungumzia namna ambavyo tunashindwa kujiongoza,tunajiibia wenyewe,tunasaidia wanaotuibia,tunaifanya nchi yetu wenyewe kuwa masikini zaidi,na mengine ,mengi yanayofanana na hayo!.mfikirie kwanza huyu mama anataka kila anayesikiliza matusi yake atafakali kwanza na usione kama tuna tukanwa ,kwa staili ya nchi yetu inavyoenda inastahili kutukanwa kabisa.Ile hela waliyotusaidia waingreza umerudi kweli jamani? wahusika wako wapi ,,mpaka hapo sisi na nguruwe kuna utofauti? angalia bunge linavyoendeshwa na wale sio watoto wadogo kabisa wanatukana kana kwamba wao hawajazaliwa.wanatanguliza kuuza nchi zaidi kuliko kujenga nchi.yule mama umesema anashawishi nchi zingine zitunyime misaada ,sasa wewe ndugu yangu kwa nchi kama yetu kinachotufanya tusifanye kazi wenyewe na tuendelee kuomba kama viwete tusio na mikono au miguu,bajeti yetu haikamiliki bila wao kutia neema zao,huwezi kuogopa matusi kama hata huwezi kujilisha mwenyewe.Yule mama wewe mwache bana,na hapa sisi ni nguruwe wenzio hatutakusaidia kama wadau waliopita walishauli mpelekeni mama mahakamani kwa hayo matusi yake.

Mengi si alienda mahakani?muulize kilichomkuta..

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nguruwe ni nguruwe tu, sifa zake ni pamoja na kupenda kuishi kwenye matope, jenga banda la nguruwe,weka marumaru,kwa hulka ya nguruwe atafukua marumaru zote na kurudi kwenye vumbi then matope.

Haya na madudu yote na udhaifu na kushindwa kwa Ari mpya,kasi mpya,nguvu mpya, WAtz walipata nafasi ya kufanya kitu tofauti,Wakawekewa DR.W.Slaa upande mmoja na dr.J.Kikwete upande mwingine, kwa mshangao wa wengi,pamoja na hoja za wazi na mipango mizuri ya Dr.W.Slaa, wao waliamua kumchagua Kikwete na matokeo yake kama kuna asiyeyajua, na abaki vivyo hivyo... Sasa kwa mfano huu,niambie wapi ambapo Muingereza ametukana ?
 
Back
Top Bottom