Bunge halina mamlaka ya kumuondoa waziri wa kawaida isipokuwa waziri mkuu.muhongo anaposema bado ni waziri yuko sahihi.akina kagasheki walijiuzuru kwa agizo la rais kwa njia ya simu alipomuagiza pinda atoe taarifa bungeni.kwa kuwa muhongo hataki kujiuzulu atabaki waziri hadi rais amtimue.
Ni kweli.....Rais ameshauriwa na anaweza kukubali au kukataa