Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

Mwanaume hupaswi kupenda vya bure mshahara si unapata
 
Mkuu bila shaka na wewe ni muhanga wa ubatlisho uliofanywa na Rais..kichwa chako kinaweza kuwa ubinfsi zaidi kuliko akili.

Tanesco imetiwa hasara na manegiment wala si wanasiasa hizo unit unazosema ni danganya toto , watumishi wa tanesco wanatumia umeme bila kikomo pia wanajipa bonus kibao.

Naunga mkono kutumbuliwa kwa huyo jamaa.

Shirika ni la umma watu wapewe mishaha wajigawie bonus bado umeme watumie bure tukae kimya tu, hapana mkuu hii nchi ni yetu sote hakuna mwenye haki zaid acha awajibishwe ndo ataelewa hii si awamu ya NNE.
 
Mkuu huyo ni muhanga wa mabadiriko haya anachokitetea wala hakijui wala usipoteze muda wako kubishana nae, binafsi watu kama hawa huwa nawadharau sana anatokwa na povu kujihalalishia mali ya umma.
 
Ni mtupu huyu jamaa....
naona analeta habari za vijiweni humu
hoja hana....analeta mihemko tu
eti sio wafanyakazi wote.....vodacom
sasa kama hata ni wachache si kitu hiko hiko?
Ila wewe si mtupu umejaa ubinafsi na hila za kuchukia watu kwasababu wamegusa masrahi yako. Pole ila kumbuka hii ni awamu ya tano
 
Pole sana.
 
LOVE HIM OR LOATHE HIM-muhongo is genius, sio hao "vihiyo" unaowapenda wewe.
 
Unajua mkuu unanifanya niondoe Imani yangu kwako? Unamjibuje mtu ambaye tangu mwanzo keshakuonyesha hajui chochote? Watu kama hawa una achana nao waendelee kukariri sijui nilifanya pwc sijui najua!!!
 
sio kweli hili naomba uthibitishe.. kuna mtu namjua ameajiriwa tigo na hapewi vocha kisa position yake haimruhusu kupewa vocha... na nimeshamwita anakuja.. naomba uweke facts zako kuhusu hili
Acha ubishi wanapewa muda wa maongezi na GB za kutosha za net,ninao ndugu na marafiki wanafanya kazi tigo
 
mkuu labda kwa kuwa wote wafupi.
 
Nimesikia u-genius wa professor wetu Mhongo... Sasa si aelezewe alivyo genius kama wengine walivyomuelezea alivyo kilaza. Badala ya kuwa haters na Fans, toeni basi hata kifupi kwanini professor ni genius.
 
mimi nashangaa amekula bilion kazaa magufui za escrow . magu ni mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…