Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Prof na Dk ipi elimu kubwa?
 
Hive wale walk look alia kuwa hela za Escrow siyo za umma je wana ujasiri wa kusema tena hivyo bila kupepesa macho. Profesa mkweli unalisemeaje hili? Kama siyo za umma mbona Tanesco imeamriwa izilipe tena kwa mhusika!
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......

yaani anaweza kufumaniwa na mke wake bado akachomoka!
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
The Boss hatari kwa synthesis na analysis! Pongezi kwako!
 
Wewe kumbe mtupu hivi?
hoja yako ya hasara nimeijibu kwa kukutajia mashirika ya ndege
yanajiendesha kwa hasara lakini staffs wanapata free tickets kama kawaida

Vodacom wafanyakazi wote walioajiriwa wanapewa airtme na bundles za kutosha kwa matumizi yao
nna ndugu wako vodacom nafasi za chini..wanapewa bundle na airtime
hadi wanagaia ndugu wengine.....same na Tigo na kampuni tele
Voda mpaka costumer care wanawapa airtime utapoteza muda kumuelewesha
 
CCM inawabunge kibao wenye uwezo wa kushika hiyo nafasi ya Prof. Muhongoa sema tu rais hajaamua. E.g. Mtu kama Dr. Dalali Kafumu aliyekuwa kamishina wa madini atashindwaje kuwa waziri? Kilichowazi hapa Muhongo na Magufuli lao moja.
 
Ni mtupu huyu jamaa....
naona analeta habari za vijiweni humu
hoja hana....analeta mihemko tu
eti sio wafanyakazi wote.....vodacom
sasa kama hata ni wachache si kitu hiko hiko?
Mkuu achana nae huyo mbona hiyo ipo kwenye mashirika kalibu yote? Hapa kwetu wafanyakazi wote tunapewa ila inatofautiana viwango kutokana na nafasi ya kila mwajiriwa.
 
Wengi waliotumbuliwa walikuwa wanamuunga mkono Lowassa. Hawa akina Muhongo wao ccm damu ndio maana huoni kutubuliwa. Ccm wabaguzi kushinda makaburu


Ndukiiiii
Lowassa huyu fisadi au kuna mwingine
 
Usipowajua Wanasiasa wa nchi hii...ukawa unajua mambo yao ya Magazeti na wanayoongea kwenye TV basi wanakupoteza...ukiwafahamu wanayofanya na maamuzi yao kama huna roho ngumu unaanguka na kuzimia hapo hapo...wanavigeugeu balaa na wanafanya watu wengine kama hawana akili vile...
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Kwa professa muhongo unapoteza muda bure yule mtu yuko smart na anaifahamu kazi na ndiyo maana hata magufuli hana sababu ya kumgusa, ww andika tu sana kwa sababu una muda na unalipwa kufanya hivyo
 
Wadau, naona kuna wachangiaji wanaleta hoja kuwa TANESCO wanagawa unit 700 bila kuinyambua hoja vizuri. Nisaidieni kujibu haya maswali mawili:
  1. Staff gani au wangapi wanapewa units 700?
  2. Kila baada ya muda gani?
Kwa bei za sasa za umeme, units 700 gharama yake ni shs laki mbili na ushehe (kwa maana ya 292 TShs per unit, kwa wateja wa T1). Je, mnadhani ni bora TANESCO izijumuishe hizi pesa kwenye mishahara ya wanufaika au ni bora kuendelea kuzigawa kama inavyosemekana?
 
Herufi ya H inaleta utata kwenye jina lke ila ukiminus H unapata taswira nzima ya maisha yake.

Na mara nyingi watu wa aina hii wanakua na uwezo wa kujenga hoja na ukaamini kua ni kweli anachoongea na ndio maana utaona kama ana roho ya paka tena paka shume.
 
Mkuu, The Boss hapa itabidi uwe mpole tu. Bila shaka umeshawasikia "watanzania" halisi - wapiga kura - kuhusu Mhongo, TANESCO, EWURA na ESCROW. Hapo ndipo utafahamu kwa nini bado haiwezekani kuwa na uongozi wa maana nchini. Akina Mhongo na bosi wake wako katika mashamsham kama ya yule mkuu sana wa kule duniani aliyedai majuzi kuwa: “I could stand in the middle of Fifth Avenue and shoot somebody and I wouldn’t lose any voters,”!

Leo hii huwezi kuwashawishi "wapiga kura" kwa hoja yeyote ile. TANESCO ilivyovurugwa na inavyoendelea kuvurugwa na wakubwa wa nchi ni suala lililowekwa wazi siku zote. Hata shahidi "tumbili" yupo; atakuthibitishia. LAKINI hizo hoja ngumu na fikirishi za nini? Waachie CHADEMA hizo. Sisi tunatakiwa tu kushuka hadi kile kiwango maarufu cha kuimba mapambio ya kuwapongeza watakatifu wetu wanaotujali "sisi wanyonge" kwa kuzuia ongezeko la bei na kumfurusha CEO "mwenye roho mbaya sana" na watanzania! Basi!
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......

"Nine lives of a cat"
 
vodacom haitoi vocha kwa staff wake wote..

wanaopewa vocha vodacom ni wale wa position ambazo hata wangekuwa tanesco wangepewa vocha.. hiii ni fact no 1.

pili tanesco inajiendesha kwa hasara... naomba
unitajie shirika au kampuni yeyote inayotoa huduma bure kwa staff wake kipindi ambapo inapata hasara..

nataka tujenge hoja kwa facts..


je voda inatoa vocha kwa staffs wake wote kisa ni wafanyakazi wa voda au wanapewa vocha wale tu wenye majukumu yanayohitaji kuwekewa vocha???
naomba ulijibu hili swali usikimbie wala kupiga chenga chenga

uje na facts voda nani anapewa vocha nami nije na facts za tanesco..

Voda wafanyakazi wote wanapewa voucher Including Customer care Staff. Ni fact hyo. Haya urudi kwa hoja ya msingi.
 
Mkuu kumbe wewe ni mtupu kabisa?
Nimekutajia Vodacom kama mfano mmoja tu
mifano ipo tele
mashirika yote ya ndege ya ndani na nje yanatoa free tickets kwa staffs
hata mashirika yanayopata hasara kama Kenya Airways na South African airways
nimekupa mfano wa Daily News....
mifano ipo dunia nzima
hakuna shirika hata moja duniani ambalo halina 'staff rates'
NMB tu staffs wakipewa mikopo ..riba ni nusu ya rates ya kawaida..

Hakuna shirika linaloumia eti kwa kutoa staff rates
ndo maana nimekupa percentage ya wafanyakazi kwenye sales...
hawatumii hata asilimia moja ya sales...

Usiwe unaongea vitu huvijui...unajivua nguo..

Unmsifia Muhongo kwa kipi?unaweza taja uamuzi mmoja wa maana wa Muhongo?

Kwann uhangaike kumweleweaha mtu asiyetaka kukuelewa. Mwacha afe na umbumbu wake.
 
Back
Top Bottom