Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

kaka mbona unakimbia swali.. umeanza na voda naona unaruka ruka mara nmb..

jibu kuhusu voda kwanza.. au unataka twende nmb??

haya swali lingine je nmb inajiendesha kwa hasara?? kama tanesco???

kaka jibu hoja kwa facts.. usihame hame kukimbia swali

cost cutting ni strategy no 1 mnapokuwa kwenye kipindi kigumu.. ila management ya tanesco haijui hili ndio maana units 700 wanazigawa tu.. na hata hamzi

Mkuu kumbe wewe ni mtupu kabisa?
Nimekutajia Vodacom kama mfano mmoja tu
mifano ipo tele
mashirika yote ya ndege ya ndani na nje yanatoa free tickets kwa staffs
hata mashirika yanayopata hasara kama Kenya Airways na South African airways
nimekupa mfano wa Daily News....
mifano ipo dunia nzima
hakuna shirika hata moja duniani ambalo halina 'staff rates'
NMB tu staffs wakipewa mikopo ..riba ni nusu ya rates ya kawaida..

Hakuna shirika linaloumia eti kwa kutoa staff rates
ndo maana nimekupa percentage ya wafanyakazi kwenye sales...
hawatumii hata asilimia moja ya sales...

Usiwe unaongea vitu huvijui...unajivua nguo..

Unmsifia Muhongo kwa kipi?unaweza taja uamuzi mmoja wa maana wa Muhongo?
 
kaka mbona unakimbia swali.. umeanza na voda naona unaruka ruka mara nmb..

jibu kuhusu voda kwanza.. au unataka twende nmb??

haya swali lingine je nmb inajiendesha kwa hasara?? kama tanesco???

kaka jibu hoja kwa facts


Wewe kumbe mtupu hivi?
hoja yako ya hasara nimeijibu kwa kukutajia mashirika ya ndege
yanajiendesha kwa hasara lakini staffs wanapata free tickets kama kawaida

Vodacom wafanyakazi wote walioajiriwa wanapewa airtme na bundles za kutosha kwa matumizi yao
nna ndugu wako vodacom nafasi za chini..wanapewa bundle na airtime
hadi wanagaia ndugu wengine.....same na Tigo na kampuni tele
 
sio kweli hili naomba uthibitishe.. kuna mtu namjua ameajiriwa tigo na hapewi vocha kisa position yake haimruhusu kupewa vocha... na nimeshamwita anakuja.. naomba uweke facts zako kuhusu hili


Wewe kumbe mtupu hivi?
hoja yako ya hasara nimeijibu kwa kukutajia mashirika ya ndege
yanajiendesha kwa hasara lakini staffs wanapata free tickets kama kawaida

Vodacom wafanyakazi wote walioajiriwa wanapewa airtme na bundles za kutosha kwa matumizi yao
nna ndugu wako vodacom nafasi za chini..wanapewa bundle na airtime
hadi wanagaia ndugu wengine.....same na Tigo na kampuni tele
 
sio kweli hili naomba uthibitishe.. kuna mtu namjua ameajiriwa tigo na hapewi vocha kisa position yake haimruhusu kupewa vocha... na nimeshamwita anakuja.. naomba uweke facts zako kuhusu hili

Nimekupa mifano ya Daily News na mashirika ya ndege
naona umekomaa na mfano mmoja tu
bottom line staff rates ipo dunia nzima...

Mabenki yanayo kwa riba
Tanesco sio first duniani ku practise hiyo policy
 
so umehama tigo na voda.. umekimbilia daily news now?? nimekuuliza swali hujajibu naona unahama hama tu.. hoja zinajengwa kwa facts sio kwa kuhama hama na kuruka ruka hili ukimbie swali..

Nimekupa mifano ya Daily News na mashirika ya ndege
naona umekomaa na mfano mmoja tu
bottom line staff rates ipo dunia nzima...

Mabenki yanayo kwa riba
Tanesco sio first duniani ku practise hiyo policy
 
so umehama tigo na voda.. umekimbilia daily news now?? nimekuuliza swali hujajibu naona unahama hama tu.. hoja zinajengwa kwa facts sio kwa kuhama hama na kuruka ruka hili ukimbie swali..

Wewe kumbe ni mtupu kabisa
kama vodacom na Tigo ni baadhi ya wafanyakazi na sio wote
bado inatetea hoja yangu kuwa 'staff rates' inatumika
na hoja ni kuwa staff rates sio invention ya TANESCO
ipo dunia nzima....

Kama wewe akili yako inakufanya uamini staff rates inatakiwa kwa the few
na sio wote hiyo ni opinion yako tu..wengine wanaweza kupinga pia
na wakaona ni bora kwa wafanyakazi wote...
bottom line staff rates iko dunia nzima
 
Mkuu wangu achana na huyo Jamaa..naona anataka kutujazia tu server hapa


Ni mtupu huyu jamaa....
naona analeta habari za vijiweni humu
hoja hana....analeta mihemko tu
eti sio wafanyakazi wote.....vodacom
sasa kama hata ni wachache si kitu hiko hiko?
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Huyo ni MTU wa musoma hamtamweza eneo hilo la musoma ni noma ndo maana lilimtoa rais wa kwanza wa nchi hii...wanajua kucheza na akili za watz
 
Nilikua na Boss wangu wa Kinaijeria! Jamaa ni msanii kama Muhongo, yaani kukugeuzia kesi kwake ni jambo LA kawaida sana sana. Anakuruka mita mia moja kidogo yaani hata hakubali kabisa, siku moja nikamuonyesha na ushahidi wa E-mail niliyomtumia ambayo hakuifanyia kazi! Alichonijibu ni kwamba nilitakiwa nikamkumbushe! Dah kwahio zigo likanidondokea Mimi!!!
Kwa hiyo alikuwa hasomi e mail mpaka umshutue kuwa nimetuma soma.
 
usipanik mimi sikutukani sehem yoyote kuwa mjinga au mtupu.. ila najua pa kukubana sababu nimegundua huna facts.... nashangaa unanitukana tu sijui hesabu kilaza na the like... tubishane kwa hoja au lugha nyingine facts.. tusitukanane maana matusi sio sahihi...

je ni sahihi kutoa unit 700 bure kipindi ambapo unapata hasara?? why not 100 au 200 units...

hao wa voda unawaongelea sio staff rate tu bali wanapewa bureee ili watimize majukumu ya kazi na kuleta faida... je units za tanesco mnazitumia kufanyia kazi na kuleta faida kwa shirika???


Wewe kumbe ni mtupu kabisa
kama vodacom na Tigo ni baadhi ya wafanyakazi na sio wote
bado inatetea hoja yangu kuwa 'staff rates' inatumika
na hoja ni kuwa staff rates sio invention ya TANESCO
ipo dunia nzima....

Kama wewe akili yako inakufanya uamini staff rates inatakiwa kwa the few
na sio wote hiyo ni opinion yako tu..wengine wanaweza kupinga pia
na wakaona ni bora kwa wafanyakazi wote...
bottom line staff rates iko dunia nzima
 
2e673af9708bf7cf1e7cf69cd32ce3ac.jpg

Ongeza moto hapo kwenye rangi ya bluu katikati yake mpaka usikie harufu ya nyama kuungua!
 
Managemeny ya Tanesco haijawahi kuwa independent
kila wanachoamua kinapata go ahead kutoka wizarani
sasa utailaumu vipi management halafu uisifie wizara?
we unaonekana mtupu kabisa unaongea mifano puumba kabisa

Na doubt uwezo wako hata wa hesabu sababu mifano yako mingi ni kichekesho
unazungumzia wafanyakazi kupewa unit 700
hivi unajua umeme wote wanaopewa wafanyakazi ni asili 0.02 ya umeme wanao uza?
sasa utasemaje shirika linapata hasara kwa wafanyakazi kutumia asilimia 0.02 ya sales?
na Vodacom nayo inapata hasara kwa wafanyakazi kupewa airtimer?
Daily News wanapata hasara kwa wafanyakazi kupewa magazeti bure?


hebu acha kujiumbua mkuu

Mkuu achana nao wana akili ndogo kama viongozi wao wa ccm.
 
usipanik mimi sikutukani sehem yoyote kuwa mjinga au mtupu.. ila najua pa kukubana sababu nimegundua huna facts.... nashangaa unanitukana tu sijui hesabu kilaza na the like... tubishane kwa hoja au lugha nyingine facts.. tusitukanane maana matusi sio sahihi...

je ni sahihi kutoa unit 700 bure kipindi ambapo unapata hasara?? why not 100 au 200 units...

hao wa voda unawaongelea sio staff rate tu bali wanapewa bureee ili watimize majukumu ya kazi na kuleta faida... je units za tanesco mnazitumia kufanyia kazi na kuleta faida kwa shirika???
Kwanza inabidi ufahamu unapambana na hater namba moja wa Muhongo kuna maada nyingi ameanzisha against Prof Muhongo,nimekupa angalizo tu unaweza kuendelea
 
Wanaokumbuka hadithi za utotoni...wanakumbuka hadithi ya kuwa paka ana roho saba
na kwa kuwa ana roho saba basi ukijaribu kumuua unashangaa anaibuka tena akiwa hai..

Unaweza mlinganisha Waziri Muhongo na hadithi za paka wenye roho saba...

Kila ikitokea scandal ya kutosha kumtimua Waziri Muhongo..'upepo' unabadilika
'anabaki ana dunda tu'


Kwanza kuna scandal maarufu ya Escrow...licha ya kuwa imerudi tena
na tunatakiwa kulipa tena mabilioni..Waziri Muhongo utasema sio yeye
alieishupalia huko nyuma kuwa yale mabilioni ni halali kuyalipa

Scandal ya Flow meter bandarini....baada ya waziri mkuu kuvamia bandarini
akatajiwa ni waziri gani alihusika na suala zima la scandal hiyo ya flow meter..
'upepo' ukapita....Waziri Muhongo ana dunda...

Likaja la Dangote ...na uzushi kuwa anataka gesi bure....na kauli za kushangaza
na kitendo cha Waziri Muhongo kuwa bega kwa bega na washindani wa Dangote
na kutokea sintofahamu za kila aina..hadi Dangote alipoenda Ikulu
ndo 'yakaisha'...still Muhongo ..;ana dunda tu'

Ndo likaja hili la 'kupandisha bei ya umeme'...ambalo ushahidi uko wazi wizara
ilikuwa inajua 'mchakato wote toka february 2016...hadi juzi...
na hata sababu za Tanesco kupandisha bei....ikiwemo ya Tanesco
kuingiliwa maamuzi na kulazimishwa kupunguza bei na kuondoa 'service charge'
maamuzi ya kisiasa ambayo source ni waziri Muhongo....

Sasa badala ya Magufuli kumtimua waziri Muhongo kwa kusababisha hiyo mess
Magufuli anakuja kumtimua Mramba ambae maamuzi mengi kama sio yote
yalianzia kwa 'orders' za waziri Muhongo.......

Muhongo huyu huyu ambae kila mara anaongea kwa uwazi kabisa kuwa
Tanesco iache kuzalisha....iwe inanuanua umeme kwa asilimia 100
wakati anajua kuwa Tanesco inanunua kwa bei ya juu kuliko inavyouza
kwa umeme huo ambao inanunua ambao bado ni aslimia chini ya 50
sasa je iwapo itanunua kwa asilimia 100...watapataje faida?
kama asilimia chini ya 50 tu wanategemea ruzuku serikalini?

Huyo ndo Muhongo.....ije mvua lije jua....Magufuli anamuamini na kumsikiliza
na hata kumpongeza kwa maamuzi yake yanayoleta 'utata' kila sehemu
kuanzia kwenye gesi,umeme,vitalu vya gesi,madini na kila anachokigusa..

Kweli hadithi za utotoni za paka kuwa na roho saba...hazikuwa burudani tu ya kufurahisha
genge......
Hayo ya ujanja nani kamzidi mwenzake hayatuhusu muhimu kwetu service charge iliondolewa(ilikuwa wizi mtupu)pia umeme bado bei ipo palepale sasa sijui wewe ulitaka umeme upande na service charge ilirudi ili kesho muanze kuimba ngonjera zenu dhidi ya serikali,watu wazima hovyoo
 
Muhongo ni mtu smart sana mkuu acha kuwanga. Stori unazoskia kwenye habari na uhalisia ni vitu viwili tofauti!
 
Managemeny ya Tanesco haijawahi kuwa independent
kila wanachoamua kinapata go ahead kutoka wizarani
sasa utailaumu vipi management halafu uisifie wizara?
we unaonekana mtupu kabisa unaongea mifano puumba kabisa

Na doubt uwezo wako hata wa hesabu sababu mifano yako mingi ni kichekesho
unazungumzia wafanyakazi kupewa unit 700
hivi unajua umeme wote wanaopewa wafanyakazi ni asili 0.02 ya umeme wanao uza?
sasa utasemaje shirika linapata hasara kwa wafanyakazi kutumia asilimia 0.02 ya sales?
na Vodacom nayo inapata hasara kwa wafanyakazi kupewa airtimer?
Daily News wanapata hasara kwa wafanyakazi kupewa magazeti bure?


hebu acha kujiumbua mkuu
Acha kutetea mahovu,,, muhongo kafanya kwelii,, upandaji wa bei za umeme tungekuwa baado tunategemea maji na upepo sawa,, japo tushaambiwa janja janja yao ya kufungulia maji,,, leo vyanzo vya uzalishaji vmeongozeka,, baado mtu anajitahidii kumnyonga mnyonge,, tuache siasa, siku chache kabla ya jamaa kutengeliwa mliansindika mengi kuhusu kauli ya prf muhongo kutopanda bei ya umeme,,, kafanya kaz yake mmegeuka,,, achen unafiki
 
Back
Top Bottom