Muhongo kamzidi 'ujanja' Magufuli?

"Paka la roho saba" ha ha ha ha hah,njoo inbox nikupe vocha jamaa angu.

Huyu Mramba hana kosa,kafuata sheria zote sema pala la roho saba ndo chanzo na linadunda tu mazee
 
"....In Africa there's no good or bad ministers, politicians are either president's friends or share same views with the President..."

D Ramsfield
 
Wewe hujui a thing kuhusu management
sio kazi ya waziri kutoa orders kwa taasisi za chini yake
na hasa hizo orders zinapokuwa zina back fire ...
Muhongo ni msanii tu.....anaejua kuwachota akili watu wenye uelewa mdogo
Watu wanashindwa kutofautisha elimu ya darasani (mfano :kujua aina za miamba hadi wajukuu zake) na uwezo wa kuongoza taasisi /wizara. Hivi ni vitu viwili tofauti!! PhD sio uongozi, ni elimu na uongozi sio elimu tu wakati mwingine huambatana na talanta!
 
kaka mbona unakimbia swali.. umeanza na voda naona unaruka ruka mara nmb..

jibu kuhusu voda kwanza.. au unataka twende nmb??

haya swali lingine je nmb inajiendesha kwa hasara?? kama tanesco???

kaka jibu hoja kwa facts.. usihame hame kukimbia swali

cost cutting ni strategy no 1 mnapokuwa kwenye kipindi kigumu.. ila management ya tanesco haijui hili ndio maana units 700 wanazigawa tu.. na hata hamzi
Wewe acha kukimbia mada, umetajiwa mifano sasa unshakable kugeuza mifano Kuwait ndiyo mada? Khah!
 
Mimi Prof Muhongo ameokoa biashara yangu iliyotaka kufa kwa mgao mkali wa umeme baada ya kutoka Muhongo na kuja Simbachawene. Muhongo is my business hero, umeme haukatiki na Jenereta linapata kutu. Hapa ni end result ndio ina justify means
 
so umehama tigo na voda.. umekimbilia daily news now?? nimekuuliza swali hujajibu naona unahama hama tu.. hoja zinajengwa kwa facts sio kwa kuhama hama na kuruka ruka hili ukimbie swali..
We nimbishi usiekubali kueleweshwa unakomaa na mambo ya kitoto mwanzo nilikuelewa sasa katika mtiririko wa comment zako na kubaliana na the boss we ni mtupu hujui unachotetea
 
W
Hacha hoja dhaifu. Ni kipindi kipi REA ili perfom kuliko vipindi vyote kama siyo awamu za uongozi wa muhongo?

Lini financing ya REA ilivuka 2Mn USD kama siyo kipindi cha muhongo?

Mbona hatukuona kasi ya usambazaji umeme vijijini kipindi cha Ngereja na Simbachawene kama ilivyo kwa muhongo.

Pia tanesco ya muhongo na ngereja ipi haina mgao wa umeme na ipi imeongeza uwekezaji wa assets za shirika.

Msimtwishe muhongo mizigo aliyoikuta. Mpeni hukumu sahihi kwa aliyoyafanya. Siyo mikataba ya Karamagi mnamtwisha muhongo.

Acheni siasa chafu.
ewe unachokitetea hukijui. Muhongo mchango wake ni mdogo sana kwenye kazi za REA. Kazi kubwa inafanywa na Wizara ya Fedha kusaini mikataba ya fedha za REA na kutoa fedha za miradi ya REA chini ya usimamizi wa Makatibu Wakuu wa Wizara ya Madini waliopita. Muhongo ni mpenda sifa tu, anapenda kuokota mafanikio ya taasisi za Wizara yake na kujitangaza yeye ndio kachangia kumbe hakuna kitu. Hakuna Waziri fake kama Muhongo kama hujui. Simbachawene ni mzuri zaidi ya huyo Muhongo wako unayemtetea hapa kwa maslahi yako binafsi. Tuwe wakweli, Msema Kweli Mpenzi wa Mungu. Endeleeni na maigizo yenu ya kumsifia hapa mtu anayeendelea kuiua Wizara kwa kutafuta sifa binafsi.
 
1. Septemba 28 / 2016 alishiriki kikao kilichoshauri mabadiliko ya bei ya umeme kilichowashirikisha Tanesco na Benki ya dunia .
2. Septemba 30 /2016 aliiarifu kwa barua Wizara ya Fedha kuhusu uamuzi na mpango kazi uliofikiwa katika kikao hicho .

3. Desemba 30 / 2016 Ewura inatangaza bei mpya za umeme huku ikipandisha kwa 8.5%.

4. Desemba 31 / 2016 anasitisha uamuzi wa Ewura wa kupandisha bei ya umeme KWA MADAI KWAMBA HAKUSHIRIKISHWA.

5. Rais John Magufuli anatengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco , Felchesmi Mramba.
 
1. Septemba 28 / 2016 alishiriki kikao kilichoshauri mabadiliko ya bei ya umeme kilichowashirikisha Tanesco na Benki ya dunia .
2. Septemba 30 /2016 aliiarifu kwa barua Wizara ya Fedha kuhusu uamuzi na mpango kazi uliofikiwa katika kikao hicho .

3. Desemba 30 / 2016 Ewura inatangaza bei mpya za umeme huku ikipandisha kwa 8.5%.

4. Desemba 31 / 2016 anasitisha uamuzi wa Ewura wa kupandisha bei ya umeme KWA MADAI KWAMBA HAKUSHIRIKISHWA.

5. Rais John Magufuli anatengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco , Felchesmi Mramba.

Huyu anacheza siasa za sasa kama Maradona.....
 
Nimekupa mifano ya Daily News na mashirika ya ndege
naona umekomaa na mfano mmoja tu
bottom line staff rates ipo dunia nzima...

Mabenki yanayo kwa riba
Tanesco sio first duniani ku practise hiyo policy
Mkuu kwa ishu ya airtime na staff rates unabishana as if unamfukuza chizi ....ukiendelea kumfukuza chizi watazamani tutakuona chizi pia. Ushauri tu usibishane na layman baada ya kugundua uelewa wake!

Sisi tunaoenjoy izo benefits tushakuelewa!

Ila vyovyote vile nilifurahia uamuzi wa kufuta service charge
 
prof mhonga ni jembee.. hata mimi nikiambiwa niwape ranking mawaziri no 1 ni muhongo...

huyu baba anajua vitu ile deeep.. shule yake sio ya janja janja

tanesco management ina wajanja wajanja wengi sana...

japo mramba simjui performance yake.. ila Tanesco haijawai perform miaka yote.. so najua hajaonewa tu.. ni wale wale

hata ingekuwa mimi rais shirika la kuanza nalo lilikuwa tanesco... ningetimua hadi mfagiaji.. hakuna ambaye angebaki..

mtu wateja wote wako.. huna mshindani na bado unapata hasara.. kina voda na tigo wanagombea wateja ila wanapata faida... tanesco inalelewa sana
Mh
 
Back
Top Bottom