Muhongo anakubalika na watu jamani!

Muhongo anakubalika na watu jamani!

unanitaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
2,178
Reaction score
1,046
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu

watanzania ndio mmekuwa wapumbavu kiasi hiki??
 
Anakubalika Kiabakari?. Kiabakari ni nchi?. Siku nyingine ujifunze jinsi ya kupima. Huyo hapendwi na idadi kubwa ya wananchi hasa wale walioruhusu maeneo yao kupitishwa miundombinu ya Tanesco na kudhulumiwa fidia zao.
Pia sie tuliokuwa tumewekeza vjisenti vyetu kwenye account ya escrow kuwagawia watu wachache. Hapendwi mkwapuaji na mwongo labda kwenu kiabakari.
 
Huko ndio maeneo ya kwao. Hapo unatueleza jinsi alivyotumia uwaziri wake kunufaisha kwao. Ruvuma, Rukwa,Singida kuna manguzo kama hayo?
 
Jamii ya watanzania tulio wengi bado tuna imani kubwa sana na Waziri Muhongo.
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu

wanafaham kwamba huyu jamaa amesababishia Tanesco hasara ya mabilion ya fedha kila mwaka nadeni kukuwa kwa kasi ya ajabu kuliko huo ujinga wa vijinguzo? nani atalipa deni hilo ambalo ni zao la ufisadi wa kupindukia ya mikataba na huduma feki kutoka Muhongo profesa muongo zaid ya Komba na Lusinde.
 
nimepita tu. sampuli yako ni dhaifu.

Nikipofu wa akili peke yake anaweza kubaliana na jitu tapeli linalo kwiba kupitia danganya toto ya viojinguzo.

Likiacha madeni lukuki na makubwa yakutisha, ambayo haliyasemi nawapuuzi wote wanaomsifia hawasemi

madeni ya mabilioni ya shilingi tanesco nikwafaida yanani na tutayalipaje, yanagharamia nini napayback yake nimudagani,
 
Jamii ya watanzania tulio wengi bado tuna imani kubwa sana na Waziri Muhongo.

Jamii ya watanzania tulio wengi hatuna imani hata kidogo na Waziri Muongo.

Alituahidi kuwa mgao wa umeme utageuka Historia, badala yake ameugeuza kuwa Jinamizi.
 
hao vijana watakuwa akina msalani wamehongwa kwenda kumshangia huyu profesa muhongo
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu
Hata wewe ukiwapa pesa za wizi watakukubali..
 
Jamii ya watanzania tulio wengi bado tuna imani kubwa sana na Waziri Muhongo.
labda jamii ya waongo wenzake ccm siyo watanzania hatuwezi kuwa na imani na mawaziri walioteuliwa na mtu dhaifu
 
Ila ndg na wewe umejitahidi kufanya utafiti kwa kiwango chako!
Jamaniee msimbeze hapo ndipo alikofikia.
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu

unanitaka; kwanza mtu mwenye akili timamu hawezi hatakufukiri kuweka (prof. name) kama ya kwako, ubongo wako uko likizo.
 
nipo ma bush ya mpwapwa huku pwaga, kibakwe, wiyenzele n.k...kusema kweli nguzo zinaonekana..hadi mpira tunaangalia...lol
 
Linginge hili lina I'd mpya limekuja kukutea majizi.. Jitahidi k.enge maji jike wwe.. Ila kama umeolewa jitahidi kuhudumia ndoa yako kuliko kutoa povu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom