Muhongo anaivuruga TANESCO, Magufuli yuko wapi?

Muhongo anaivuruga TANESCO, Magufuli yuko wapi?

Kweli umelalamika lakini agizo lake la kusema umeme ushuke bei na service charge itolewe ni agizo muhimu na lenye maslahi na Watanzania
 
Mafisadi na watetezi wao wameshikwa pabaya..... PIGA KAZI MUHONGO...

WANYONGE TUPO PAMOJA NAWE
 
tangaza maslai yako na tanesco mkuu, maana inaelekea kuna mrija wako umekatwa na profesa. Haaaaaaaaaaaaaaa.
ukute huyu "the boss" ana ka-cheo huko Tanesco, but prof kamtisha kum-fire ndo maana anakuja kulialia humu,
 
Prof.Muhongo nikiongozi bora maana ameweza kwenda sambamba na speed ya JPM,Tatizo la watanzania wachache hawapendi kuona Tz inasonga mbele,inasimama yenyewe kwasababu kuna illegal benefits alikuwa anapata kupitia mladi fulan au nduguye ametumbuliwa,sasa jaman hivi ni vibaya wanyonge kama cc kuondolewa service charge iloyokuwa inatutesa? ,kupunguza bei ya Units?Hacheni unafiki kwanza CV yake inambeba kwa maswala ya nisharti ,pili Rais alimsifia kwa kasi anayokwenda nayo.sasa kama unafikili Magufuli amuoni kwa basi anamuona.
 
Mwacheni muongo aongoze shirika atakavyo.....hiyo miaka yote hao wakurugenzi walikuwepo walifanya nini?tuache mazoea ...muachezi muongo apige kazi...hakuna wa kumwamini pale
 
kwani hawa tanesco wapo hai bado? mana hapa kwangu kuna waya zimeshuka mpaka watoto wanataka kubembea na wakina mama wanataka kuanikia nguo......jamaa hawaji hata uwafate na masidisi benzi...
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo
Majipu yameiva huko TANESCO nashangaa Muhongo anayachelewesha kuyapasua,na moja wapo inawezekana ni wewe!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo
Imprest za mengi,mnaretire humu JF.
 
Tanesco ni shirika lililofeli miaka yote ni kumkandamiza mlaji huyo muhongo ndie aliesema wanaagiza misumari huku wakiandika vifaa vifaa vingine na kupiga hela..shirika limeoza hakuna anaejitambua hapo..naona chuki tuu wakati Tanesco ni jipu lenye kansa hawa waliokua wanasema maji hakuna kipindi cha mvua wewe ndio unakuja kuwasaidia nani asiejua madudu ya Tanesco mkuu..
 
Mmechukua hatua gani zaidi ya kulalamika humu?!!!!
 
Tanesco wanacheza dili na wafanyabiashara kwa kupunguza maji ili ionekane hakuna maji miaka yote hadi Magufuri alilizungumzia hilo wewe unatoka huko na kuwasaidia ili iweje..
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo
NaNachojua Deni limeongezeka baada ya TANESCO kukopa Ku-Finance zile project za Umeme wa Gesi.
Zitto aliongea kisiasa Sana, kuna mambo Mangi Sana yamepunguzwa na yatapunguza management cost za Tanesco, na matumizi mengine ya kifisadi ambayo yatafidia kwenye huo unafuuu waliopewa Wananchi na hela kubaki.
Msiwaonee huruma katika hilo, mkiacha hela zenu wao wanakula ..... Then watakwambia wamenunua Nguzo 1 kwa million 2.3 kama kawa, Misumali South Africa, na Mafuta ya Transfoma Lita Mill 3 wakati zinahitajika Lita 700,000 tu
 
Mnyonge Mnyongeni Haki Yake Mpeni, Huyu Bwana Mhongo ni Mtu Mzuri Sana Tatizo la Watanzania Tumepofushwa na Chuki, fitina, na Majungu, hii ndiyo Sumu inaloliangamiza Taifa Hili.

Kila kiongozi Mzuri, lazima Achafuliwe, jamani Katuroga Nani?

Kwa mtu makini hawezi kubeza wala kudharau utendaji wa Prof Mhongo, huyu Bwana, ni Mtendaji kazi na siyo mtu wa siasa, sote bila chembe ya unafiki, tunafahamu jinsi ambavyo amefanya kazi kubwa sana kwa muda mfupi kwenye sekta ya nishati na madini.

Tuacheni jamani majungu bila kuwa na Fact, ikiwa mtu Anafanya vizuri basi tumpongeze, uo ndiyo uhungwana jamani.


Akinyongwa akafa huoni kama tayar tutakuwa tushampoteza? Na hiyo haki ataipata vp methali sijui nahau za zamani zashapitwa na wakat hizo haki inatakiwa apewe akiwa hai sio kanyongwa haitasaidia
 
Hua najiuliza kwanini serikali hairuhusu makampuni mengine ya kuzalisha umeme kama yalivyo makampuni ya simu?
Maana naona kbs Tanesco wamezidiwa, hawawezi kuhudumia watanzania wote.
 
Hilo tanesco ni shirika la kanisa tuh...management yoote hapo ni waimba kwaya kuanzia juu mpaka chini na hakuna wanachofanya zaid zaid ya wizi na kulitia taifa hasara...ni jipu kubwa kweli kweli...na wasomi wenyewe kama hao kina muhongo basi ni hasara tupu
hahahah nilitegemea kitu kama hiki. Tumuambie Magufuli amlete DAU tanesco ili mambo yaende vizuri. This country bwana
 
Back
Top Bottom