Muhogo mchungu kweli... Kama wizara mngekemea madudu ya TFF na bodi ya ligi kwa mechi na Simba mngejua hakuna lawama mechi ya jana

Muhogo mchungu kweli... Kama wizara mngekemea madudu ya TFF na bodi ya ligi kwa mechi na Simba mngejua hakuna lawama mechi ya jana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Nimeshangazwa kama sio kusikitishwa na andiko la Naibu Waziri

Kilocho nishangaza Naibu Waziri anashangaa na maamuzi ya mwamuzi , lakini katika Ligi yake ya ndani maamuzi kama hayo yamekuwa yakifanyika na Simba amekuwa amekuwa kimyaaaaa

, Mechi ya mashujaa inatosha kabisa kuonesha kuwa huyu Mwana FA hajui alisemalo

Anashindwa kukemea TFF na Bodi ya Ligi anaenda ana waambia CAF eti wateue Bingwa

Haya tuje kwenye Fact

Mechi 2, dakika 180 Simba amepiga shots on Target 1 pekee , Kosa ni la Caf ?

Alitaka refa achukue mpira atenge penati kama zile penati na Kefa Kayombo ?

Walifikiri na huku CAF kuna mambo ya mchongo mchongo kama kwenye bodi ya Ligi ?

Naibu waziri anapaswa kuomba radhi na atuombe radhi wapenzi na mshabiki wa mpira Tanzania kwa sababu hata kwenye Ligi ya nchi yake mamlaka za mpira hazitendi haki , anapaswa kusimamia Haki kwanza kwenyw Ligi yake kabla hajawalaumu Caf

Haya kosa la refa ni lipi ? Kutokutoa penati ? Maana hata on target hawajapiga
 
Nimeshangazwa kama sio kusikitishwa na andiko la Naibu Waziri

Kilocho nishangaza Naibu Waziri anashangaa na maamuzi ya mwamuzi , lakini katika Ligi yake ya ndani maamuzi kama hayo yamekuwa yakifanyika na Simba amekuwa amekuwa kimyaaaaa

, Mechi ya mashujaa inatosha kabisa kuonesha kuwa huyu Mwana FA hajui alisemalo

Anashindwa kukemea TFF na Bodi ya Ligi anaenda ana waambia CAF eti wateue Bingwa

Haya tuje kwenye Fact

Mechi 2, dakika 180 Simba amepiga shots on Target 1 pekee , Kosa ni la Caf ?

Alitaka refa achukue mpira atenge penati kama zile penati na Kefa Kayombo ?

Walifikiri na huku CAF kuna mambo ya mchongo mchongo kama kwenye bodi ya Ligi ?

Naibu waziri anapaswa kuomba radhi na atuombe radhi wapenzi na mshabiki wa mpira Tanzania kwa sababu hata kwenye Ligi ya nchi yake mamlaka za mpira hazitendi haki , anapaswa kusimamia Haki kwanza kwenyw Ligi yake kabla hajawalaumu Caf

Haya kosa la refa ni lipi ? Kutokutoa penati ? Maana hata on target hawajapiga
hiki ulichoandika kama ulaya kiongozi husika akiona andiko hili basi angejiuzulu mara moja kwa kujitoa akili juu ya refa wa CAF,yeye mwenyewe kahusika pakubwa kuihujumu simba kutocheza kwa mkapa leo analeta nye nye nyee
 
hiki ulichoandika kama ulaya kiongozi husika akiona andiko hili basi angejiuzulu mara moja kwa kujitoa akili juu ya refa wa CAF,yeye mwenyewe kahusika pakubwa kuihujumu simba kutocheza kwa mkapa leo analeta nye nye nyee
Wanatengeneza Mfumo mbv wa Ligi na Marefa afu wanaenda kuwashangaa Marefa wa CAF! Yule KAGOMA ile Michezo anafanya sana kwenye Ligi lkn Marefa wanamuacha tu! Jana kimemramba
 
Back
Top Bottom