Muhogo jamani muhogo!!!!

Muhogo jamani muhogo!!!!

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Habhari zenyu binafsi....

Kila kona nikipita nakutana na wanaume wanatafuna kipande cha muhogo hasa kikiwa kibichi.....

Wanawake wa siku hizi wala hawana haraka ya kutupitishia mihogo majumbani ili tupate vitafunwa bali huenda zao katikati ya mji na kuwauzia wanaume kijipande kidogo. Hana haraka ya kuuza muhogo mzima bali kajipande kadogo kadogo kwa bei mbaya....

Wanaumeee eeeh, hivi ni nini siri ya hiki kipande cha muhogo???
 
Mkuu Judgement kuna siku nilikatiza mitaa ya Liberty nkakuona na wewe unatafuta muhogo... Hebu nambie kuna siri gani katika muhogo????
 
Last edited by a moderator:
Aiseee mi hua sielewi wengine wanasema eti inaongeza mzuka wa kwichi kwichi!!
 
Please click this then you will see the changes

JamiiForums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job from home


√ by #team0nline lazima ipenyeeeeeeeee
 
Mi nashangaa sana maana wakati nipo mdogo mama alinikataza nisile mihogo mibichi sababu inaweza kusababisha kupata minyoo ila naona siku hizi watu wanaigongatu

Sent from my Citycall i930+ using Tapatalk 2
 
Habhari zenyu binafsi....

Kila kona nikipita nakutana na wanaume wanatafuna kipande cha muhogo hasa kikiwa kibichi.....

Wanawake wa siku hizi wala hawana haraka ya kutupitishia mihogo majumbani ili tupate vitafunwa bali huenda zao katikati ya mji na kuwauzia wanaume kijipande kidogo. Hana haraka ya kuuza muhogo mzima bali kajipande kadogo kadogo kwa bei mbaya....

Wanaumeee eeeh, hivi ni nini siri ya hiki kipande cha muhogo???
muhogo ule saa sita...then saa tisa ule kipande cha nazii...saa kumi na mbili gahawa na karanga mbichi saa moja na nususu bakuli ya supu ya pweza na nyama yake saa mbili na nusu redbuluuu tatu na nusu maji kubwaa....KUTAKUCHA KWELII
 
muhogo ule saa sita...then saa tisa ule kipande cha nazii...saa kumi na mbili gahawa na karanga mbichi saa moja na nususu bakuli ya supu ya pweza na nyama yake saa mbili na nusu redbuluuu tatu na nusu maji kubwaa....KUTAKUCHA KWELII

Keleuuuuwwwwwwiiiiiiiiii... Hapo mtu anaweza katoka mguu mmoja Temeke mwingine Kinondoni!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom