Muhogo jamani muhogo!!!!

Muhogo jamani muhogo!!!!

mihogo inachangamsha mdomo ile jioni tukielekea majumbani, na foleni hizi....!
 
Mkuu Judgement kuna siku nilikatiza mitaa ya Liberty nkakuona na wewe unatafuta muhogo... Hebu nambie kuna siri gani katika muhogo????

Ni kweli uliniotea! Btw kwa haraka yako nisikuone hukuntazama vizuri , sikua peke yangu on that day, tulikuwepo Mamber kibao wa Jf , mfano tulikua na mgeni toka chuga Erickb52 , pia Pedeshzee Chimbuvu alikuwepo .
Na wote tulikua twatafuna .
Bila kumung'unya Muhogo , Karanga mbichi , Nazi mbichi hutuongezea ule uji mnaouliliaga nyie wadada kwa hisia kali na si vinginevyo.
 
Last edited by a moderator:
Huh hny na weye wala kipande? mkiva
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli uliniotea! Btw kwa haraka yako nisikuone hukuntazama vizuri , sikua peke yangu on that day, tulikuwepo Mamber kibao wa Jf , mfano tulikua na mgeni toka chuga Erickb52 , pia Pedeshzee Chimbuvu alikuwepo .
Na wote tulikua twatafuna .
Bila kumung'unya Muhogo , Karanga mbichi , Nazi mbichi hutuongezea ule uji mnaouliliaga nyie wadada kwa hisia kali na si vinginevyo.

Yaaalahaaa.... Kumbe ulikuwa na papaaa Chimbuvu, wallah namsaka kama jasho la nyoka siku nikimtia machoni atanitambua.

Kumbe ndo kazi ya kipande cha muhogo eeeh!! Basi ngoja nimwambie my hezbend C6 awe anatumia kila siku jioni....
 
Last edited by a moderator:
Yaaalahaaa.... Kumbe ulikuwa na papaaa Chimbuvu, wallah namsaka kama jasho la nyoka siku nikimtia machoni atanitambua.

Kumbe ndo kazi ya kipande cha muhogo eeeh!! Basi ngoja nimwambie my hezbend C6 awe anatumia kila siku jioni....

Usisubiri kumtia machoni Chimbuvu , utachelewa!
Mtie hata sikioni (mpigie) kwani huko alipo kupita Igombe , sijui Kabangaja anasimamia makokoro , utamuonaje?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli uliniotea! Btw kwa haraka yako nisikuone hukuntazama vizuri , sikua peke yangu on that day, tulikuwepo Mamber kibao wa Jf , mfano tulikua na mgeni toka chuga Erickb52 , pia Pedeshzee Chimbuvu alikuwepo .
Na wote tulikua twatafuna .
Bila kumung'unya Muhogo , Karanga mbichi , Nazi mbichi hutuongezea ule uji mnaouliliaga nyie wadada kwa hisia kali na si vinginevyo.
Usinikumbushe Judgement
Yan nishaanza kupamiss Mwanza
 
Last edited by a moderator:
Usisubiri kumtia machoni Chimbuvu , utachelewa!
Mtie hata sikioni (mpigie) kwani huko alipo kupita Igombe , sijui Kabangaja anasimamia makokoro , utamuonaje?
Chimbuvu kila jumapili njia ya sabasaba uwa anafungua robota pale, kama ukienda utampata pale
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom