Oya mko serious au? Hii ni kabla au baada ya Uhuru, as in hiyo picha ni Tanzania?
Hebu chunguza vizuri,
Haijalishi ni ya muhimbili, Temeke wala Singida.mkuu hii picha ni hospital ya temeke wodi ya wakina mama wajawazito ya zamani, kwa sasa inakarabatiwa na wakina mama wamehamishiwa kwenye jengo jipya kule chini kama unaeleka mochwali.
At least for nowNape na mwigulu wanatembelea ma v8 ya milions 480
Rais Kikwete siku hizi anakagua uchimbaji madini Uingerezaukipitia mahospitalini ukazunguka nchi hii kisha ukatembelea JF ukakutana na habari za akina shimbo na trilion 3 akiwa amehifadhi south Afrika, huku kila kukicha mali asili zetu kila kukicha zina safirishwa kinyemela huku vigogo wa serikali ya ccm wakijilimbikizia zaidi ya trilion 16 uswiss na kwingineko wakati watanzania wanajifungulia chini, hawana maji ya kumywa..ukiambiwa andamana hata mida hii utakuwa tayari kama mimi..