siwaonei huruma hata kidogo hawa..maana walichangia sana kumuweka huyu mtu pale magogoni..kwa hiyo watulie hivo hivo....sina shaka mama gaude wangu wa moyo atajifungulia Aga Khan Hospital...sio kwenye mlundikano huu...wanalipwa kwa makosa yao
kwa mazingira kama haya unategemea hata ukilipwa milioni 100, utaweza kufanya kazi zaidi ya kuteseka tuuuuu!!!!!tusijidanganye, hata sisi tulikuwa hukohuko na kilichotutoa ni mazingira mabovu ya kufanyia kazi kwa kile hasa tulichosomea.....tusome theory, tufanye kazi ki-theory!!!!
Karibuni japan muone jinsi madaktari wanavyofanya kazi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.