Mmmmhh!!!! ni habari za kustusha ila bado cjapata taarifa kamili kama jambo hilo limetokea. ila nilicho kisikia ni kwamba yule aliefanyiwa operesheni ya kichwa amepararaizi !! na familia yake italipwa na serikali
Dr Kizimkazimkuu,
Hebu tusaidie hapa. Hivi Muhimbili wanao uwezo wa kufanya hizo operesheni za kichwa na mgonjwa kubaki salama? Mbona wote ninaowafahamu waliofanyiwa operesheni hapo za kichwa walikufa ama kupata vilema vya maisha? Na mbona wanaofanyiwa operesheni hizo nje (ninaowafahamu, akiwemo mmoja niliyefanya naye kazi Chuo cha Ushirika, alifanyiwa nchini India) wanarudi salama na kuendelea na majukumu yao kama kawaida? Je unazo data zinazoonesha success rate za operesheni za kichwa hapo MOI? Maana musinganganie tu mambo ambayo hamuyawezi jamani mtatumaliza? Bora nife kwa ugonjwa wangu kuliko kuuawa jamani, inauma sana. Tafadhali nasubiri jibu.
Mimi ni Daktari,lakini hili la Mgaya (apumzike kwa amani)limenisikitisha sana.Ni kweli hakuna daktari ambaye afanyi makosa,lakini kwa hili la Mgaya,hatua za kisheria lazima zichukuliwe, kwangu mimi huu ni uzembe na inaelekea MOI kuna kitu