Mugabe mahututi Singapore?

Hakuna atakayeishi milele hata kama ni bilionea au una utajiri gani....
Tumuombee apone tu..
 
TB Joshua hakutabiri kwamba Marais wawili watakufa hivyo sidhani kama Mugabe atakufa na akifa utabiri wa TB Joshua utakuwa kama unajimu wa sheikh yahya
 
Hiki kibabu kife haraka jamani. he is too old to be of any usefulness for the success of his country, anyway

Heshima kwako Ndyoko! Ndg yangu hakuna mwenye hati miliki na maisha yake, sisi sote tu marehemu watarajiwa, duniani ni wapita njia. With his significant contribution to his country, Mugabe real deserves my full respect! Kama watu wangetakiwa wafe kutokana na Umri, basi Kanumba hakutakiwa kutuacha tukisononeka, lakini sasa lazima tukiri kuwa Mungu atabaki kuitwa Mungu!
 
Kwa kuwa maisha yetu yako mikononi mwa Mungu, na kwa kuwa kuugua sana hakumaanishi kuwa karibu na kifo au kinyume chake, tunachoweza kufanya kwa sasa ni kumwombea uncle Bob Mugabe apone haraka
 
Another western Propaganda!

Damn right ...
If you read other articles e.g yahoo news is totally deference story ...I know yahoo is another Western media but at least is telling us the other side of this story ....

Mugabe is well in Singapore .. he went there for vacation with his family ...

My take, somebody is laying either daily news or yahoo ..

I just hope Yahoo news is right ..
Long Live Mugabe ....
 
It seems there people who enjoy others' deaths, long live Mugabe, you fight for Africans but puppets become embarrassed by your stance
 
Let this evil rest in shame! he was dead long time ago now God is process stop him to breath!....... bado mmoja!
 
Kufa ni kawaida ila suala ni je baada ya Ghadafi na Mugabe ni nani anayeweza kuwakemea Mabepari na kuwaambia NO dhidi ya siasa zao za kibabe na kiunyonyaji?
 
Viongozi wote wa Africa wangekuwa na msimamo kama Mugabe tungekuwa mbali kimaendeleo. Bahati mbaya tuna aina ya viongozi wanaoitikia Yes Sir, hakuna anayethubutu kumchallenge mzungu kwa kusema no, with critical reasons! Get well Comrade Mugabe, you are real the Great!
Maskini Africa hata dikteta Mugabe ni kiongozi mzuri anayefaa kuigwa na viongozi wengine. For what. Kitu kimoja tu tunaweza kumsifia Mughabe kwamba aliipatia nchi yake uhuru. Lakini baada ya hapo ni masikitiko makubwa. Mungi wewe unawaunga mkono CDM kwa msimo wako hapa JF unaonaje tukipata kiongozi kama Mugabe hapa Tz anayewaua wapinzani na raia wasiomuunga mkono. Tatizo Aficans we are confused we dont know who is hero and who is playing hero. Mugabe is playing hero in the eyes of ignorant Africans. Mugabe tajiri aliyejilimbikizia mali za US bilions wakati wananchi wake ni maskini wa kutupwa, anayemuua yeyote anayempinga, anayeshindwa uchaguzi na kung'ang'ani mdarakani kwa kutumia vyombo vya dola, anayetumia turufu ya ardhi kuwaghilibu wananchi wake hata akijua athari yake nchi inafilisika na kununua kiberiti dola milioni moja. Hivi hakuna vitu vingine viongozi wa Africa wanaweza kufanya tukawaona mashujaa ila tu wakiwavimbia wazungu ndio tuwaite mashujaa hata kama kuvimba huko si lolote wala chochote ila tu kucheza na akili zetu kwa kuwa wanajua sisi ni wajinga tuliofundishwa kuwavimbia wazungu ndio ushujaa?
Kuna haja ghani kumwita mtu shujaa eti kamvimbia mzungu wakati ana utawala mbovu, muuaji, mwizi wa mali za umma na anayejilimbikizia mali pasipo kujali mustakabali wa taifa? Hebu fika Harare halafu umsifie huyo Mugabe wako kama hawajakuteka na kukufanya Gadafi kwa mateso wanayopewa na huyo dikteta. Kuchukua Ardhi ya wazungu ilikuwa swala la siasa ambayo Mugabe aliitumia kupata simpthy ya wapiga kura ambao hata hivo halikufua dafu wakampiga chini na kuishia kukaa madarakani kwa nguvu mpaka leo. Kuna wakimbizi wangapi waliosababishwa na Mugabe wewe unamwita shujaa?
Sikatai tunawahitaji viongozi watakaosimama kidete kutete maslahi ya wananchi dhidi ya hila za wazungu lakini hatuwahitaji viongozi kama Mugabe wanaotumia chuki zetu dhidi ya utoroshaji wa rasilimali zetu kutuaribia nchi zetu. Mungi unasema Afrika tungekuwa mbali kimaendeleo hiyo Zimbabwe yenye Mugabe iko wapi sahii hizi? Ina maendeleo kama Malaysia sio? Wewe nnavokuona humu unapigana CCM ing'oke isiendelee kuwaharibia nchi yenu Tanzania ndivo wananchi wa Zimbabwe wanavopigana Mugabe na chama chake ZANU PF wan'goke madarakani wakomboe nchi yao dhidi ya utawala mbovu.
 
Mugabe ni mwanamapinduzi wa kweli wa Africa alituhubutu kuwanyang,anya wazungu ardhi na kuwapa wazalendo na haogopi kuwaeleza wazungu ukweli akiwaangalia usoni bila kujali umaskini wa nchi yake, tumuombee apone haraka!hizi habari za kuwa ni dictator ni propaganda za magharibi wakisaidiwa na kibaraka wao Tshivangirai, Viva Mugabe viva Zimbabwe!!!
 
PRESIDENT Robert Mugabe’s opponents have “gone crazy” in their desperation to see him out of power by spreading false rumours that he is “on his death bed” in Singapore, his party said.
"Those who hate our President have gone crazy,” said Christopher Mutsvangwa, a senior member of the Zanu PF politburo.
He added: “They look at every movement the President makes, even a holiday move, they want to read more into it than the ordinary.”
Information Minister Webster Shamu said: “It’s a lot of hogwash.

“This is not the first time we have heard these rumours.”

Mugabe left Harare on an Air Zimbabwe Boeing 767 on March 31, stopping first in Singapore.
His spokesman said he was on an Easter vacation with his family, including daughter, Bona, who is set to begin studies for a Masters degree in Hong Kong.
Even as speculative reports flooded the international media about the 88-year-old leader being gravely ill, his aides were briefing reporters that Mugabe was already in Hong Kong preparing to fly home on Tuesday night, arriving in Harare just after mid-day on Wednesday.
"The President is in good health, so there is nothing that the people of Zimbabwe should worry about," said Zanu PF spokesman Rugare Gumbo.
Mugabe will chair a cabinet meeting on Thursday, Gumbo confirmed.
 
Mugabe siyo mwanapinduzi hata siku moja bali ni diktator na mbinafsi. Uanamapinduzi hauna maana ya kupingana na nchi za magharibi tu, bali uanamapinduzi ni kule kuendeleza watu wato wote kwa usawa. Watotoi wa Zimbabwe leo hii hapati elimu na engine wanakufa njaa, wakati yeye anatumia raslimali za nchi kwa kusomesha watoto wake nje ya nchi halafu eti awe ni mwanamapinduzi. Wanamapinduzi halisi ni watu kama Nelson Mandela ambao hawakutumia madaraka yao kujinufaisha.
 
Back
Top Bottom