huu ni upuuzi huyu jamaa anajua kutabiri vifo tu?kwa nini asitabiri uchumi wa afrika utakuwa kwa kasi kama wa china mwakani anatabiri vifo,mafuriko na ajali sasa wa kazi gani?maana hata mvua za dar wanasema alitabiriTB Joshua in action please wait
huu ni upuuzi huyu jamaa anajua kutabiri vifo tu?kwa nini asitabiri uchumi wa afrika utakuwa kwa kasi kama wa china mwakani anatabiri vifo,mafuriko na ajali sasa wa kazi gani?maana hata mvua za dar wanasema alitabiriTB Joshua in action please wait
Loh! Asante mdada mzuri....., nilikuwa nimekabwa kooni na kitu kizito kabisa! Mugabe mie naona ndiye kiongozi pekee aliebaki mwenye uchungu wa kweli na Afrika........siyo hizi takataka zetu!Acheni uongo basi .. Fanyeni research za kutosha kabla hamkuleta habari .. Mugabe mzima wa afya kabisa .. Yuko Singapore kwenye vacation na familia Yake .... taarifa zaidi nenda yahoo news .... Wamesema kabisa hizi taarifa za Mugabe kuwa hospital SIO za kweli .... Long Live Mugabe ...
Ivi wewe yaani kweli unaamini eti Mugabe ataishi milele na milele?
Kwani Raisi kuhudhulia mahafali ya bintiye kihitimu CHUO ni KOSA? Kwa nini mahasimu wa Mzee Mugabe specifically wazungu wanakesha wakisali eti AFE!
Wanapoteza muda mwingi wakihadaa dunia imuone Mugabe mbaya, wanafikili hilo linaweza kumfanya a-REVERSE uhamuzi wake wa kutaifisha na kuwagawia raia maskini aridhi ya masetera wa KIZUNGU.
Sawa, nimekusoma:=)Namuombea maisha mema na marefu kabisa ....
Fikiri kabla ya kuliza. We umewahi ona wapi binadamu anaishi milele hapa duniani?
Kwani Raisi kuhudhulia mahafali ya bintiye kihitimu CHUO ni KOSA? Kwa nini mahasimu wa Mzee Mugabe specifically wazungu wanakesha wakisali eti AFE!
Wanapoteza muda mwingi wakihadaa dunia imuone Mugabe mbaya, wanafikili hilo linaweza kumfanya a-REVERSE uhamuzi wake wa kutaifisha na kuwagawia raia maskini aridhi ya masetera wa KIZUNGU.
What does it mean by close to death ? Who is far from death then, mind you may die anytime from now and leave Mugabe still leaving !!!
umewahi fika Zimbabwe ukajionea hali halisi? utashangaa siku taarifa za kifo chake zikitangazwa utasikia maelfu kwa maelfu ya Wazimbabwe wakishangilia mitaani!Loh! Asante mdada mzuri....., nilikuwa nimekabwa kooni na kitu kizito kabisa! Mugabe mie naona ndiye kiongozi pekee aliebaki mwenye uchungu wa kweli na Afrika........siyo hizi takataka zetu!