King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,342
- 88,521
Mh! Kuna mtu huku amesema ndani ya masaa 72 kuna rais atakufa,nina uhakika alishapata taarifa za Mugabe!!
Kevinruto huyo!!
Mh! Kuna mtu huku amesema ndani ya masaa 72 kuna rais atakufa,nina uhakika alishapata taarifa za Mugabe!!
mkuu awataji majina wanasema yule mnajimukevinruto huyo!!
pona haraka Mugabe ili urudi madarakani maana utaenda kutawala mpaka Peponi...
Nyumbani lini jamani au haya maombi ya kufunga yanayoanza kesho.
TB Joshua at Work
Alisema bado anajiona kama kijana mwenye miaka 18. Mi huwa sielewi kwani ukiachia urais ukapumzika haulii?
Habari nilizozipata punde kuwa Mhe. Mkongwe Rais wa Zimbabwe Kafariki Dunia huko Singapo