Mugabe mahututi Singapore?

Habari nilizozipata punde kuwa Mhe. Mkongwe Rais wa Zimbabwe Kafariki Dunia huko Singapo

Kuna tofauti ya kulazwa hospitali na kufariki
yaelekea kwa chuki zako binafsi dhidi ya huyu babu umeshindwa kutofautisha
ni ufahari gani wapata kumzushia mwenzako kifo?
mbona usitangulie wewe????mzushi
long live Mzee Mugabe
 
JK anaongezewa ratiba ngumu ya kupamba mahudhurio alihailisha kwenda ulaya msiba wa kanumba.
 
haya mwaka wa wanawake huuu......kikatiba makamu wa rais wa zimbabwe Joyce Majuru.....mke wa mkuu wa zamani wa majeshi wa zimbambwe.........
Kama banda ..ambaye ni mke wa mwanasheria mkuu wa zamani wa malawi
 
RIP madikteta wanazidi kupungua dah! nakumbusha tu Lema kesho anaanza kufunga.

kumbe fikra zako hazina tofauti na Cecil Rhodes, Botha, Bush, nk, kumbe wewe ni kuwadi wa ubeberu! na inashangaza kuandika fikra zako mgando katika aya mmoja na mpambanaji Lema!
 
[h=1]BREAKING NEWS: Robert Mugabe reportedly 'fighting for his life' in Singapore hospital due to undisclosed illness[/h]
  • President undergoing intensive treatment say reports
  • Family board chartered private flight to be at his side
  • Zimbabwe's leader had already greed to hand over power to Defence Minister Emmerson Mnangagwa

Zimbabwean dictator Robert Mugabe is said to be fighting for his life in a Singapore hospital.
According to the Zimbabwe Mail a senior official of the 88-year-old's ZANU-PF party, said the President was undergoing intensive treatment in Singapore and that some members of his family had joined him after boarding a chartered private jet on Saturday.
The alarm was raised yesterday when the government postponed a cabinet meeting set for today.

article-0-01CD3FC100000578-914_468x652.jpg
'In a critical condition': Robert Mugabe is reportedly undergoing intensive treament in a Singapore hospital according to the Zimbabwe Mail

Mugabe spokesman George Charamba said in a statement: 'The Chief Secretary to the President and Cabinet, Dr Misheck Sibanda, wishes to inform all members of cabinet that sitting has been moved from Tuesday, April 10, to Thursday, April 12, 2012.'
Mugabe had been in Singapore to oversee his daughter Bona's enrolment in a postgraduate course at Singapore University.
A U.S. diplomatic cable, from June 2008, released by WikiLeaks last month suggested Mugabe has prostate cancer that has spread to other organs.

article-2127394-11E7D870000005DC-46_468x398.jpg
Aging: The dictator celebrates his 88th birthday in February this year


It also stated he was urged by his physician to step down in 2008, but he has remained in the job.
The news comes amid reports Mugabe had agreed to hand over power to his feared Defence Minister Emmerson Mnangagwa.
Yesterday The Tehran Times said Mugabe had entered into a 'gentlemen's agreement' to hand over power to Mnangagwa, 65, who assisted in orchestrating Mugabe's battle against white rule in the seventies.

article-2127394-01DA2A5B00000578-591_468x550.jpg
Taking over? It's been reported that Mugabe entered into a 'gentleman's agreement' to hand over power to Emmerson Mnangagwa

Mugabe appointed the former head of the Zimbabwean Central Intelligence Organisation as his campaign manager by Mugabe during the 2008 presidential election.

He was widely blamed for the shocking brutality after his rival, Morgan Tsvangirai, edged ahead in the first round of voting.

Mnangagwa also received notoriety for his role in the brutal crushing of the Zapu party in the 1980s, in which thousands of civilians were killed.
The Zimbabwe Mail quoted a British-based Zimbabwe analyst, who wished to remain anonymous: 'Mugabe's health impacts entirely on Zimbabwe's political landscape. Everything revolves around his health and his age.'
 
kumbe fikra zako hazina tofauti na Cecil Rhodes, Botha, Bush, nk, kumbe wewe ni kuwadi wa ubeberu! na inashangaza kuandika fikra zako mgando katika aya mmoja na mpambanaji Lema!
Unaogopa eee kila mmoja ataonja mauti hata marais hawana kinga hiyo tuvumilie tu.
 
Hata huyu mzururaji wetu naskia tia maji tia maji cd4 zimeshuka sana, muda wowote kamba itakatika.
 
RIP madikteta wanazidi kupungua dah! nakumbusha tu Lema kesho anaanza kufunga.

kumbe fikra zako hazina tofauti na Cecil Rhodes, Botha, Bush, nk, kumbe wewe ni kuwadi wa ubeberu! na inashangaza kuandika fikra zako mgando katika aya mmoja na mpambanaji Lema!
 
Nnajaribu kuzungumza na source wangu mmoja wa ambae anaifahamu zahanati maarufu iitwayo Gleneagles.

Ni zahanati ambayo mzee jongwe amekuwa akihudhuria kwa siri mara nyingi kufanyiwa checkup ya ugonjwa wake ambao bado haujathibitishwa.

Zahanati ya Gleneagles pamoja na mambo mengine ipo-specialised na ugonjwa na Saratani na ile process ya kufanyiwa mionzi huwa inafanywa hapo na hao madaktari bingwa wa radiation oncology.
 
haya mwaka wa wanawake huuu......kikatiba makamu wa rais wa zimbabwe Joyce Majuru.....mke wa mkuu wa zamani wa majeshi wa zimbambwe.........
Kama banda ..ambaye ni mke wa mwanasheria mkuu wa zamani wa malawi

Hii sifahamu itakuwaje maana wote mama Mujuru na Munangagwa wote wanatoka ZANU PF, sasa katiba ya Zimbabwe sifahamu inasemaje kuhusu hili.

Munangagwa ni waziri wa Ulinzi.
 
Nnajaribu kuzungumza na source wangu mmoja wa ambae anaifahamu zahanati maarufu iitwayo Gleneagles.

Ni zahanati ambayo mzee jongwe amekuwa akihudhuria kwa siri mara nyingi kufanyiwa checkup ya ugonjwa wake ambao bado haujathibitishwa.

Zahanati ya Gleneagles pamoja na mambo mengine ipo-specialised na ugonjwa na Saratani na ile process ya kufanyiwa mionzi huwa inafanywa hapo na hao madaktari bingwa wa radiation oncology.

Richard Bana,

Nilipoona hiyo statement bold nikasema sasa tunapata news za uhakika, nikakimbilia haraka haraka kusoma, mpaka mwisho sioni kitu. Sawa Mzee tunasubiri source ya uhakika, japo Jongwe ninavyofahamu security yake huwa ni nzito sana na nikichanganya na hali iliyoko nyumbani, inaweza kuwa ngumu ku-confirm hizi habari kwa kuwa nyumbani hawajakaa mkao wa nani atarithi (risi) kiti cha Jongwe. Halafu ZANU-PF wanajua kwamba wakiingia kwenye uchaguzi bila Jongwe ndo itakuwa imekula kwao, maana watu walikuwa wanachagua jina sio chama na pia watendaji wengine walikuwa wanamuogopa Bob Mugabe na hivyo walikuwa tayari kufanya madudu (kuiba kura au kupiga watu ili Mugabe na chama chake washinde).
 
Richard Bana,

Nilipoona hiyo statement bold nikasema sasa tunapata news za uhakika, nikakimbilia haraka haraka kusoma, mpaka mwisho sioni kitu. Sawa Mzee tunasubiri source ya uhakika, japo Jongwe ninavyofahamu security yake huwa ni nzito sana na nikichanganya na hali iliyoko nyumbani, inaweza kuwa ngumu ku-confirm hizi habari kwa kuwa nyumbani hawajakaa mkao wa nani atarithi (risi) kiti cha Jongwe. Halafu ZANU-PF wanajua kwamba wakiingia kwenye uchaguzi bila Jongwe ndo itakuwa imekula kwao, maana watu walikuwa wanachagua jina sio chama na pia watendaji wengine walikuwa wanamuogopa Bob Mugabe na hivyo walikuwa tayari kufanya madudu (kuiba kura au kupiga watu ili Mugabe na chama
chake washinde).

Jamaa hajibu simu zangu leo imekuwa taabu kwelikweli.

Ni kweli security ya mzee jongwe ni makini na hatari kweli maana mimi mwenyewe nilishuhudia jamaa mmoja wa kutoka Uingereza akijaribu ku-force issue fulani za kijingajinga na akajaribu kufanya crossing.

Jamaa alichoambulia ni kuzabwa makofi in "African way fashion" ambayo yalimfanya aache kabisa na ku-retreat pembeni kabisa.

Hiyo ilikuwa ni kabla hajawekewa zuio la kwenda Ulaya kwa safari zozote zile yeye, familia yake na wale wote wanaomzunguka.
 
Mugabe anaacha kufanya kazi za umma na kwenda kusughulikia registration ya binti yake kwa kutumia raslimali za umma halafu wanachi wanayamaza. hii ndiyo tabu yetu sisi wa waafrika. yeye ni Rais wa wazimbabwe wote, ni makosa yeye kutumia raslimali za nchi kwa ajili ya kunufaisha watoto wake tu. Kwa nini asiendeleze elimu hapo Zimbabwe kusudi watoto wote wapate elimu nzuri kama anayokwenda kutafuta huko singapore. Wakati Zimbabwe inapata Uhuru, kile chuo kikuu cha zimbabwe (University of Rhodesia wakati huo) kilikuwa ni mojawapo ya vyuo vizuri sana Afrika kitaaluma. Baada ya uhuru tulitegemea ubora huo usonge mbele na wanachi wengi wapate eleimu hiyo. Lakini leo hii chuo hicho ni kama shule ya kata; yeye anapeleka watoto wake nje. Ni akili mbovu hiyo hiyo ndiyo inayofanya wakipata tatizo kidogo hata la mafua tu, wao watakaimbilia nje kwenda kutibiwa kwa vile hawakujenga huduma nzuri za afya nchini mwao.

Mugabe na utawala wake ni aina hiyo hiyo ya viongozi wa Tanzania
 
Habari ambazo mpaka sasa ni za uhakika ni kwamba pamoja na ziara ya hospitalini hapo mzee Mugabe alitaka kuona kwamba mwanae Buno anamaliza taratibu zote za kujiandikisha shule kwa masomo ya shahada ya uzamili ambayo ataanza mwezi September mwaka huu.

Buno alihitimu shahada ya kwanza ya usimamizi wa biashara aki-major uhasibu au BA Horns Accountancy kutoka chuo kiku cha City nchini Hong Kong mwaka 2011.
 
Back
Top Bottom