Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,169
- 1,711
Jamani bila michango unadhani hayo matangazo ya kwenye tv utayaona?
Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
Mbona Mohammedi Iddi anarusha kipindi cha Al-Sallah pale chanel ten na hatuyaoni hayo matangazo ya biashara? We jiulize kitu kimoja tu! Kwa nini matangazo ya Makanisa mengi yanakaa sehemu moja na matangazo mengine ya biashara lakini hapo huwezi kita matangazo ya Misikiti? Hao ni Matapeli tu kama vibaka wengine!