Igwachanya
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 142
- 70
Huwa nazisoma post nyingi za Chama huwa simuelewi kutokana na msingi wa hoja zake kuto kuwa objective. Sijaelewa unavosema "Huu ni mtanda soma habari kamili kabla ya kurukia" nimejaribu kuangalia btn lines lakini nikagundua Chama huja muelewa kwani alikuwa anajaribu kumshauri mleta thread kuwa haikuwa self explanatory kwa maana ya rais wa nchi gani. Aidha, kuna marais wengi kama marais wa vyama kama TFF, Bao, nk. Sijaona tatizo katika hoja yake.
Huu ni mtandao soma habari kamili kabla ya kurukia!
Chama
Gongo la mboto DSM