B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 496
- 379
Rais Robert Mugabe Wa Zimbabwe amewapa sharti watu wanaotaka ahalalishe ndoa za jinsia moja, Akizungumza kwa kujiamini na bila kupindisha maneno Rais Mugabe amesema "Kama Mnataka nihalalishe ndoa za jinsia moja Tukubaliane kuwa Mtazaa" kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii na kisayansi nchini humo, wamesema ni vigumu kwa watu hao kuzaa na huenda Rais Mugabe aliamua kuwapa hiyo changamoto ili wajitafakari upya. Source, Zimbabwean Newspaper.