It's ok to be gay .Ila sio kilazimisha society ikubali Kuwa ndoa ni Kati ya Watu wawili .ndoa ni Kati ya mwanamke na mwanaume
Gays and homosexuals nao ni binadamu pia,kama wamependana na wanataka kuoana waacheni wafanye hivyo,hayo maadili na dini zenu kila mtu ana yake na tusilazimishane ndio maana TZ is a secular state...nasema YES to gay marriages!!!
Rais Robert Mugabe Wa Zimbabwe amewapa sharti watu wanaotaka ahalalishe ndoa za jinsia moja, Akizungumza kwa kujiamini na bila kupindisha maneno Rais Mugabe amesema "Kama Mnataka nihalalishe ndoa za jinsia moja Tukubaliane kuwa Mtazaa" kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kijamii na kisayansi nchini humo, wamesema ni vigumu kwa watu hao kuzaa na huenda Rais Mugabe aliamua kuwapa hiyo changamoto ili wajitafakari upya. Source, Zimbabwean Newspaper.
Mugabe anaweza kukompleni na free mason
It is not OK to be a gay!And i'm gonna get meself a sniper rifle to right the wrong!It's ok to be gay .Ila sio kilazimisha society ikubali Kuwa ndoa ni Kati ya Watu wawili .ndoa ni Kati ya mwanamke na mwanaume
It's ok to be gay .Ila sio kilazimisha society ikubali Kuwa ndoa ni Kati ya Watu wawili .ndoa ni Kati ya mwanamke na mwanaume
Gays and homosexuals nao ni binadamu pia,kama wamependana na wanataka kuoana waacheni wafanye hivyo,hayo maadili na dini zenu kila mtu ana yake na tusilazimishane ndio maana TZ is a secular state...nasema YES to gay marriages!!!
Hivi hao gays kwanini wanalazimisha kuhalalishwa/kutambuliwa? tukimaliza kuwahalalisha hao gays, wavuta bangi na unga nao wataomba kuhalalishwa, wanywa gongo na firauni watafuata..... so we shall have a long list!
.......'' Rais Mugabe amesema "Kama Mnataka nihalalishe ndoa za jinsia moja Tukubaliane kuwa Mtazaa" ......
ati nao wazae kwa uchungu....hahahaha. Mungu kiokoe kizazi hiki....Papa you made ma day. Dah!!!!