Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,097
- 136,698
Moot question.
Waafrika hawana natural genetic make-up ya upunguani kuliko Watu wa mabara mengine. Matatizo ya Kiafrika sio kielelezo cha kutangua hiyo fact ya Kisayansi.
The scientific method, au mfumo wa Kisayansi wa kutatufa ukweli, unakataa hitimosho kwamba matatizo ya Afrika ni kielelezo cha ufupi wa akili.
Kwa scientific method inavyofanya kazi, ili uweze ku propose kwamba Waafrika wana akili finyu kuliko Weupe kwa sababu Waafrika wana matatizo kuliko Wazungu, inabidi ufananishe hayo matatizo ya Waafrika dhidi ya yale ya Wazungu wakati natural factors nyingine zote ziko constant. Hizo factors zingine hakifanani. Kwa hiyo haiwezi kufanyika utafiti dhibiti, hakuna controlled experiment.
Hilo hitimisho lingekuwa valid iwapo toka zama za kale za Mawe, vitu vyote ambavyo haviamuliwi na akili vingekuwa sawa. Mazingira yao wote wawili yangekuwa sawa, na hakuna aliye mhodhi mwenzie, vijidudu vilivyoua Mimea, Watu na Wanyama vingekuwa sawa Ulaya na Afrika, Aina ya Ardhi kati yao ingekuwa sawa, mahitaji yao yangekuwa sawa na hali ya hewa ingekuwa sawa. Haya, na mengi mengine ya asili hayakuwa sawa. Kwa hiyo huwezi kusema lolote kuhusu mlinganyo wa akili kati yao kwa kutumia matatizo ya Afrika. Litakuwa hitimisho lililopungukiwa fikra za Kisayansi.
Bahati nzuri, hata hivyo, hatuna haja ya kufikiria yote hayo yasiyofikirika, ya kama ingekuwa kote kuna ardhi ya aina ile ile, au jua la utosi kali ingekuwaje. Ila tunajua Waafrika hawaku evolve kuwa mbumbumbu kwa sababu Sayansi imeenda moja kwa moja kwenye kidhibiti. Tumeuchana na kuuanika Ubongo wa binadamu, tukachambua molecular make up yao wote kama makundi. Takuta katika ngazi ya DNA, hakuna kundi la watu la rangi au Kijiografia, ambao wanafana akili. Nadharia za Dr. Watson ni watu wasiojua genetics au wabaguzi.
Mwafrika akisema hivyo mara nyingi sio mbaguzi, bali ni uninformed tu. Lakini the uninformed who ignores knowledge and reasoned science is an ignorant.
Hujajibu swali bali umeongea pumba nyiiingi ambazo hazijibu swali hata punje moja. Jibu swali bana....acha longolongo....