Mugabe ana kichaa!!

History Kweli Imekupiga Tobo!

USSR Iliangushwa Na Reagan Miaka Ya 80!

REMEMBER GORBACHEV?

Got It?

Tehe tehe tehe!!!!, Wajua ba-nkwe wengine tulikimbia umande, hata hiyo historia yenyee hatujui maana yake nini!!! any way , I HOPE THE FOLLOWING (Copied and pasted un-edited) PARAGRAPH WILL HELP!!!!

USSR, was a former country of eastern Europe and northern Asia with coastlines on the Baltic and Black seas and the Arctic and Pacific oceans. It was established in December 1922 with the union of the Russian SFSR (proclaimed after the Russian Revolution of 1917) and various other soviet republics, including Belorussia and the Ukraine. In 1991 a number of consituent republics declared their independence, and the USSR was officially dissolved on December 31, 1991. Moscow was the capital.


http://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Unionhttp://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union
 
Tehe tehe tehe!!!!, Wajua ba-nkwe wengine tulikimbia umande, hata hiyo historia yenyee hatujui maana yake nini!!! any way , I HOPE THE FOLLOWING (Copied and pasted un-edited) PARAGRAPH WILL HELP!!!!

USSR, was a former country of eastern Europe and northern Asia with coastlines on the Baltic and Black seas and the Arctic and Pacific oceans. It was established in December 1922 with the union of the Russian SFSR (proclaimed after the Russian Revolution of 1917) and various other soviet republics, including Belorussia and the Ukraine. In 1991 a number of consituent republics declared their independence, and the USSR was officially dissolved on December 31, 1991. Moscow was the capital.

http://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union[URL]http://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union[/URL]

OHOO!
KAMA NI OFFICIALLY SAWA!

SIKU YA KUFA...NA SIKU YA KUTANGAZA KIFO!?

MWALIMU ALIKUFA LINI?

BALALI JE?

Reagan aliimalizia URUSI MBALI!

WALIKUWA WANATAPATAPA KUTANGAZA TAREHE KAMILI YA KIFO KWANI HAWAKUAMINI THATS THE CASE!

AMA UNATAKA NA DETAILS ILIVYO UWAWA?
 

Tehe tehe tehe!!!!, Wajua ba-nkwe wengine tulikimbia umande, hata hiyo historia yenyee hatujui maana yake nini!!! any way , I HOPE THE FOLLOWING (Copied and pasted un-edited) PARAGRAPH WILL HELP!!!!

USSR, was a former country of eastern Europe and northern Asia with coastlines on the Baltic and Black seas and the Arctic and Pacific oceans. It was established in December 1922 with the union of the Russian SFSR (proclaimed after the Russian Revolution of 1917) and various other soviet republics, including Belorussia and the Ukraine. In 1991 a number of consituent republics declared their independence, and the USSR was officially dissolved on December 31, 1991. Moscow was the capital.


http://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union
http://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union

mazee the cccp/ussr was killed by ronald reagan and by 1991 that country was already crippled.
 
JmUshi1: Bush is nuts but the difference is that he is not allowed to stay 'until God removes him' yeye anajiondokea after 8 years na hapa katikati he had to fight for his seat fair and square. Also bush is held accountable by the congress etc kwa kila kitu including Iraq na kama unafuatilia utakuwa umesikia kwamba there are steps taken to try him for war crimes. Lakini Mugabe is a different category! He is not only nuts but he is a sadist!

so what u are sayin therez a different class of a NUT CASE? A NUT IS A NUT..! bush stole elections twice..! how many times? TWICE..! bush has invaided sovereign states (somalia, iraq, afghanistan) and illegally killed a president of iraq..! how many presidents has mugabe killed? and fyi bush IS NOT HELD ACCOUNTABLE FOR ANYTHING HE HAS DONE...! nani kakuambia atashtakiwa na war crimes? are yu serius? if mugabe is a sadist who bush is ...sadomasochism?
 
so what u are sayin therez a different class of a NUT CASE? A NUT IS A NUT..! bush stole elections twice..! how many times? TWICE..! bush has invaided sovereign states (somalia, iraq, afghanistan) and illegally killed a president of iraq..! how many presidents has mugabe killed? and fyi bush IS NOT HELD ACCOUNTABLE FOR ANYTHING HE HAS DONE...! nani kakuambia atashtakiwa na war crimes? are yu serius? if mugabe is a sadist who bush is ...sadomasochism?

Waeleze MAMLUKI!
Hawa watu wasiposoma HISTORIA basi kuna hatari ya UTUMWA KURUDI!
Naomba wananchi waangalie hilo!
 
mzungu is back in africa, and this time he is here to stay!
and soon we will see CLEARLY a fight btw mzungu and mchina
 
History Kweli Imekupiga Tobo!

USSR Iliangushwa Na Reagan Miaka Ya 80!

REMEMBER GORBACHEV?

Miaka Ya 90's Ni Kichaka Sr Na Buzi La Lewinsky!

usisahau mchango wa papa yahane paul 11, kuwa mchango wake mkuu na kanisa lake katoliki ndo ulipelekea kuanguka kwa dola la kiimla la USSR
 
History Kweli Imekupiga Tobo!

USSR Iliangushwa Na Reagan Miaka Ya 80!

REMEMBER GORBACHEV?

Miaka Ya 90's Ni Kichaka Sr Na Buzi La Lewinsky!

usisahau mchango wa papa yahane paul 11, kuwa mchango wake mkuu na kanisa lake katoliki ndo ulipelekea kuanguka kwa dola la kiimla la USSR

Wote kitu moja tu!
Si haya haya ya BUSH NA BLAIR?
 
Hivi Afrika tumerogwa!????

Unaweza kutumia jina lolote but the fact is... Tulizaliwa na KIPAJI CHA KUWA WATUMWA..wa kutumikishwa na kutawaliwa ..kuanzia zamani , sasa mpaka sikuzijazo. Na kipaji chetu tumekuwa na kitumia vizuri so far!!!

Kutwaliwa..Kiakili, kihisia , kimwili na vitendo... We are good in that!

The best Mwafrika anaweza kuwa huru. Ni kuutumuia uhuru huo ni kuchagua anaweza kupractise utumwa wake vizuri kwenye nyanja gani.

Anaweza kupata Phd ili kuutekeleza utuwma wake kikamilifu zaidi.

Anaweza kuwa Mbunge ili kutumia kipaji cha utumwa wake kikamilifu.

Anaweza kuwa waziri ili kuboresha zawadi yake hiyo aliyopewa na mungu?.. kuukamilisha utumwa kwenye jamii anoyoishi.

Anaweza kuwa Rais ili kuongoza wananchi wake kwnye kina kikubwa na kisicho na mwisho kwenye Utumwa wa taifa analoliogoza.

Kwani sivyo ilivyo...?

Kwani viogozi wetu wanatuogoza kuelekea UHURU gani baada ya kupata uhuru?

Wasomi wetu wamechangia nini katika kuujenga na kuukomaza uhuru wa fikra hisia na kimatendo?

Bunge..hasa la Tz..Linatupeleka wapi? Kwenye uhuru ? uhuru gani?????

Mawaziri wapi..wana dhana sahihi ya uhuru na kuitekeleza..ili kuwakwamua wananchi kwenye utumwa wa Umasikini, ujinga , magonjwa, kutumikishwa nk.

Nitajie kiongozi wa Africa..Ambaye Ni mfano Bora wa Kuwa ana JITAWALA yeye binafsi kifkra, Kihisia na kiamtendo.

Rais wetu Kikwete anaamini kwenye Dhana Nzima ya Taifa kuwa HURU Kisiasa..Kiuchumi...Kielimu..Kiafya...Kama ilivyokwenye katiba ya nchi?

Anaamini Tanzania Iatakaa iwe Huru na kutoendeshwa na wawekezaji...??

Lete ushahidi.

Ukweli ni huu:

Bora Mtumwa anaye jua kuwa ni Mtumwa..Kwani Kama ikatokea dawa ya kumtibu ..atajitokeza na kusogea mbele ili anywe na apone.

Tatizo?

Waafrika Tunafikiri tuko huru...Na Tumeshijikomboa.
 
Unaweza kutumia jina lolote but the fact is... Tulizaliwa na KIPAJI CHA KUWA WATUMWA..wa kutumikishwa na kutawaliwa ..kuanzia zamani , sasa mpaka sikuzijazo. Na kipaji chetu tumekuwa na kitumia vizuri so far!!!

Kutwaliwa..Kiakili, kihisia , kimwili na vitendo... We are good in that!

The best Mwafrika anaweza kuwa huru. Ni kuutumuia uhuru huo ni kuchagua anaweza kupractise utumwa wake vizuri kwenye nyanja gani.

Anaweza kupata Phd ili kuutekeleza utuwma wake kikamilifu zaidi.

Anaweza kuwa Mbunge ili kutumia kipaji cha utumwa wake kikamilifu.

Anaweza kuwa waziri ili kuboresha zawadi yake hiyo aliyopewa na mungu?.. kuukamilisha utumwa kwenye jamii anoyoishi.

Anaweza kuwa Rais ili kuongoza wananchi wake kwnye kina kikubwa na kisicho na mwisho kwenye Utumwa wa taifa analoliogoza.

Kwani sivyo ilivyo...?

Kwani viogozi wetu wanatuogoza kuelekea UHURU gani baada ya kupata uhuru?

Wasomi wetu wamechangia nini katika kuujenga na kuukomaza uhuru wa fikra hisia na kimatendo?

Bunge..hasa la Tz..Linatupeleka wapi? Kwenye uhuru ? uhuru gani?????

Mawaziri wapi..wana dhana sahihi ya uhuru na kuitekeleza..ili kuwakwamua wananchi kwenye utumwa wa Umasikini, ujinga , magonjwa, kutumikishwa nk.

Nitajie kiongozi wa Africa..Ambaye Ni mfano Bora wa Kuwa ana JITAWALA yeye binafsi kifkra, Kihisia na kiamtendo.

Rais wetu Kikwete anaamini kwenye Dhana Nzima ya Taifa kuwa HURU Kisiasa..Kiuchumi...Kielimu..Kiafya...Kama ilivyokwenye katiba ya nchi?

Anaamini Tanzania Iatakaa iwe Huru na kutoendeshwa na wawekezaji...??

Lete ushahidi.

Ukweli ni huu:

Bora Mtumwa anaye jua kuwa ni Mtumwa..Kwani Kama ikatokea dawa ya kumtibu ..atajitokeza na kusogea mbele ili anywe na apone.

Tatizo?

Waafrika Tunafikiri tuko huru...Na Tumeshijikomboa.
mara nyingi huwa nalia na .......INFERIORITY COMPLEX..........!
THE ONE IS THE EXAMPLE....!
 
Unaweza kutumia jina lolote but the fact is... Tulizaliwa na KIPAJI CHA KUWA WATUMWA..wa kutumikishwa na kutawaliwa ..kuanzia zamani , sasa mpaka sikuzijazo. Na kipaji chetu tumekuwa na kitumia vizuri so far!!!

TULI na nani? ladba we ndo ulizaliwa na hicho kipaji cha kuwa mtumwa. i jus can't believe tht yu can tell such a thing to your family especially ur kids. kweli ignorance is bliss..!
 
mara nyingi huwa nalia na .......INFERIORITY COMPLEX..........!
THE ONE IS THE EXAMPLE....!

Mahesabu.

Nchi imepata kinachoitwa uhuru wa bendera kkwa mika mingapi iliyopita?

Nini Kipya cha kuonyesha kujitawala kwetu ?

Leo wanarudi walio tupa uhuru na wanakabidhiwa kila kitu nchini...kwa jina la UWEKEZAJI etc, mikataba ya aiubu inawekwa na viogozi na wasomi wetu nk Na bado unaita hiyo ni infiriotity complex na sio utumwa. Nafikiri wewe sio mmjoa wao.

That is not infirioty c. but its stypicaly mental slavary better you wake up and see the this fact and you might get the way foward.

Kama hakuna mabadiliko ya kina Kwa viongozi na upuuzi wa kitumwa wanao ufanya sasa hivi we will reaman salves for long time to come ..hata ukibadilisha jina na kuuutaa i. complex. hakuna ushahidi wowotekuwa Tunajiweza. Ubinafsi amabo ni functional ya emotional slavary unatumaliza.

Kuibia nchi na kuwapa wawekezaji..that is not infirioty complex..ni utumwa uliokidhiri na hasa ukifanywa na wasomi na viogozi tuliowapa nafasi hizo kuutetea uhuru wetu..Kamwe kuona hivyosio IComplex.

Kupewa vijipesa na kuweka mikataba kwa ajili ya tumbo lako na kuumiza umma na wanachi wote wa Tanzania ...bila kujali kisomo chako na cheo chako that is not infirioity coplex..Ni Utumwa wa mawazo, utumwa wa hisia na utumwa kwa nyanaj aza kijamii.

Kuona kusa hilo si kosa....! kuonyesha kosa hilo kwenye jamii si kosa. Ni werevu na ukomavu wa kiutu.

Kuliona na kulkubali hata kama linauma..sio kosa ..Ni dhihirisho la Uhuru wa fikra na ukomavu wa kiutu. Na hatimaye Utatuzi unawezakupatikana kuazia hapo.
 
TULI na nani? ladba we ndo ulizaliwa na hicho kipaji cha kuwa mtumwa. i jus can't believe tht yu can tell such a thing to your family especially ur kids. kweli ignorance is bliss..!

Ether.

Great you have reacted to the Provacation. .... !!!

Sasa tuandikeje? with swetness and chear!!? Kama vile nchi yetu iko salama na huru kutoka kwa mafisadi watumwa na vibaraka wa fikra mfu?

No! Haiwezekani kabisa.

Lazima ku_provoke na kufanya direct confrontation na hata ikibidi kwa viongozi wetu wa juu kabisa. That is no a sin. Lazima jambo hili lionyeshe na ikibidilizungumzwe.

Ni sahihi kumuambia mtoto wangu bluntly kuwa Fisadi kama kiongozi ni mtumwa. Na imekuwa hivyo kwa muda mrefu. Ni mtumwa wa kufikiri na ni mtumwa emotionaly na ndio maana anagangana na uchawi hata kwenye nyumba ya bunge.

Mtoto wangu hatafichwa kitu kuhusu historia ya nchi yangu..kuazia kupigania uhuru..kuuupewa kwa bendera na sasa kuwarudishia uhuru huo wale waliotupa...miaka 47 iliyopita. Huu ni utumwa.

Ni utumwa wa fikra kwa kuwa most wa hao wanaurudusha kwa kupewa vijisenti na kuviweka nchi za nje walikuwepo wakati tunakabidhiwa na sasa wanaurudisha kwa njia zaaibu. Huu sio uhuru na kujitawala wala kujitegemea. Sio sifa ya mwanadamu mwenye kujiheshimu na anaye heshimum utu wake na wa wengine. Hata kama mtu huyu kasoma mpaka kutobozea ni mtumwa.

Afrika yote walipewa uhuru lakini hatuoni hata nchimoja ikijiweza kiuchumi nk....lazima mwanagu ajue hilo fika na iwe changamoto kwake kutafuta namna ya kujikwamua kama anayo au atakuwa nayo...na kama ataikosa atakuwa huru....? sawa, sasa tumuite nani? Au kwa kuwa ni mwanagu akishindwa kuutumuia utu na heshima yake kutafuta kujitegemea na kudhihirisha Uhuru wa utu wake na uzalendo wa nchi yake asiittwe Mtumwa ?

Hateepuka hilo, kwani ni mtumwa bila kujali kasomea wapi na mzazi wake ni nani.

Nitampa hii kama changamoto ni kitumaini kuwa It will be a motivation and Provocation to aweken him.

And possibly to overcome what his Grag Pa went through.
 
TULI na nani? ladba we ndo ulizaliwa na hicho kipaji cha kuwa mtumwa. i jus can't believe tht yu can tell such a thing to your family especially ur kids. kweli ignorance is bliss..!

Ahsante.

Tena sio yeye peke yake. Ni pamoja na yeyote yule hapa jamvini ambae anatumia nadharia za 'Ndivyo Tulivyo.'

Wangejua maana yake wasingeitumia. I venture to say that hata Nyani Ngabu mwenyewe sijui kama anaelewa maana yake.

Dr. Watson alikuwa anamaanisha kwamba Weusi, Kibaiolojia, tumeumbwa na nati luzi kichwani. Wanaompinga Dr. Watson sio Waafrika peke yao, ila pamoja na Wazungu wenzie, Wanasayansi, wakimwambia Genetics haisemi hivyo. Hakuna wenye akili kuliko wengine, as a racial or geographic group. Na wanao msapoti DR. Watson na Nyani Ngabu ni wale wasiojua Genetics.

Siongei kwa sababu nina utashi wa mtu Mweusi au sina open mind. La hasha. Kama Weusi tumeumbwa wapumbavu kuliko wenzetu, ningependa sana kujua. Nisingetaka kukimbia ukweli. Ila nasema, ni Sayansi ndio inakataa nadharia ya kujidhalilisha na kukubaliana na DR. Watson, ambayo imeitwa ignorant and racist, mnapo jiambia ndivyo mlivyo. I reject this Nyani Ngabu's Complex.

Gentlemen, include me out!
 
Ahsante.

Tena sio yeye peka yake. Ni pamoja na yeyote yule hapa jamvini ambae anaetumia nadharia za 'Ndivyo Tulivyo.'

Wangejua maana yake wasingeitumia. I venture to say that hata Nyani Ngabu mwenyewe sijui kama anaelewa maana yake.

Dr. Watson alikuwa anamaanisha kwamba Weusi, Kibailojia, tumeumbwa na nati luzi kichwani. Wanaompinga Dr. Watson sio Waafrika peke yao, ila pamoja na Wazungu wenzie, Wanasayansi, wakimwambia Genetics haisemi hivyo. Hakuna wenye akili kuliko wengine, as a racial or geographic group. Na wanao msapoti DR. Watson na Nyani Ngabu ni wale wasiojua Genetics.

Siongei kwa sababu nina utashi wa mtu Mweusi au sina open mind. La hasha. Kama Weusi tumeumbwa wapumbavu kuliko wenzetu, ningependa sana kujua. Nisingetaka kukimbia ukweli. Ila nasema, ni Sayansi ndio inakataa nadharia ya kujidhalilisha na kukubaliana na DR. Watson, ambayo imeitwa ignorant and racist, mnapo jiambia ndivyo mlivyo. I reject this Nyani Ngabu's Complex.

Gentlemen, include me out!

So what is your explanation or reason of Africa's misfortune?
 
Mtasema sana tu ,yaani anawaona kama mnaempigia mbuzi gitaa ,halafu anawashangaa malafiki zake ,ni kitu gani kimewasibu hata wakamgeukia na kumwona hafuati sheria na kulinda haki za binadamu wakati na wao walinyanyapaa kulinda madaraka na kuiba kura pamoja na kuzalilisha wananchi wao , sasa leo wanamwona yeye ni mbaya,asema haondoki mtu wakimtambua wasimtambue ,mradi yake yanamuendea na anajua mwisho mtamtambua japo atakuwa amebakiza masaa machache ya uhai wake. Ila ameahidi kama akiwa hai na kuona chaguzi za malafiki zake basi na wao watakiona atakavyopakazia ,halafu nyie mmetishia kupeleka jeshi kuweka amani yeye sio atatishia bali ataleta majeshi bila ya kualikwa ili kulinda masanduku ya kura na vituo vya uchaguzi halafu aone kama mnashinda kihalali.
 
Ahsante.

Tena sio yeye peke yake. Ni pamoja na yeyote yule hapa jamvini ambae anatumia nadharia za 'Ndivyo Tulivyo.'

Wangejua maana yake wasingeitumia. I venture to say that hata Nyani Ngabu mwenyewe sijui kama anaelewa maana yake.

Dr. Watson alikuwa anamaanisha kwamba Weusi, Kibaiolojia, tumeumbwa na nati luzi kichwani. Wanaompinga Dr. Watson sio Waafrika peke yao, ila pamoja na Wazungu wenzie, Wanasayansi, wakimwambia Genetics haisemi hivyo. Hakuna wenye akili kuliko wengine, as a racial or geographic group. Na wanao msapoti DR. Watson na Nyani Ngabu ni wale wasiojua Genetics.

Siongei kwa sababu nina utashi wa mtu Mweusi au sina open mind. La hasha. Kama Weusi tumeumbwa wapumbavu kuliko wenzetu, ningependa sana kujua. Nisingetaka kukimbia ukweli. Ila nasema, ni Sayansi ndio inakataa nadharia ya kujidhalilisha na kukubaliana na DR. Watson, ambayo imeitwa ignorant and racist, mnapo jiambia ndivyo mlivyo. I reject this Nyani Ngabu's Complex.

Gentlemen, include me out!

Wewe hata ukataeje, bado, kama Mwafrika, Ndivyo Ulivyo!! Ni wazi sitegemei mtu juha kama wewe kuelewa na kutambua ukweli huu. Badala ya kutoa maelezo mbadala ya kwa nini maisha ya Waafrika yako duni unaishia kukataa kataa tu. Toa sababu mbadala ya kwa nini watu Afrika wanaishi kwenye nyumba za udongo zilizoezekwa na nyasi. Toa sababu ya kwa nini Waafrika wanaiga mambo mengi kutoka Ulaya-kuanzia lugha, mifumo ya kiutawala, mavazi, n.k. Toa sababu ya kwa nini Waafrika walitawaliwa na wazungu ambao walituletea dini mpya na kuanza kusomesha Waafrika. Toa sababu ya kwa nini kila siku tunaomba misaada kutoka kwa Wazungu lakini wazungu hawaombi misaada kutoka Afrika. Toa sababu ya kwa nini Waafrika wanapenda kulowea kwenye nchi za ulaya na Marekani. Toa sababu ya kwa nini Wazimbabwe milioni kumi na kitu wanatawaliwa na mtu mmoja kama apendavyo yeye na wao hawafanyi lolote lile. Toa sababu ya kwa nini Kibaki wa Kenya na hakukubali kushindwa uchaguzi na watu wakaanza kuuana. Toa sababu ya kwa nini Somalia hadi hivi leo wanapigana wao kwa wao. Toa sababu ya kwa nini Afrika Kusini imeendelea kuliko nchi ingine yoyote ya Afrika wakati kwa miaka mingi ilikuwa chini ya utawala dhalimu wa makaburu. We umeona wapi walio wachache kuwatawala walio wengi nchini mwao. Tafadhali toa sababu mbadala ya kwa nini unakataa kuwa Waafrika Ndivyo Tulivyo. Mpaka utakaponishawishi kuwa Sivyo Tulivyo, msimamo wangu na imani yangu kuwa Ndivyo Tulivyo inabaki pale pale.
 
So what is your explanation or reason of Africa's misfortune?

Moot question.

Waafrika hawana natural genetic make-up ya upunguani kuliko Watu wa mabara mengine. Matatizo ya Kiafrika sio kielelezo cha kutangua hiyo fact ya Kisayansi.

The scientific method, au mfumo wa Kisayansi wa kutatufa ukweli, unakataa hitimosho kwamba matatizo ya Afrika ni kielelezo cha ufupi wa akili.

Kwa scientific method inavyofanya kazi, ili uweze ku propose kwamba Waafrika wana akili finyu kuliko Weupe kwa sababu Waafrika wana matatizo kuliko Wazungu, inabidi ufananishe hayo matatizo ya Waafrika dhidi ya yale ya Wazungu wakati natural factors nyingine zote ziko constant. Hizo factors zingine hakifanani. Kwa hiyo haiwezi kufanyika utafiti dhibiti, hakuna controlled experiment.

Hilo hitimisho lingekuwa valid iwapo toka zama za kale za Mawe, vitu vyote ambavyo haviamuliwi na akili vingekuwa sawa. Mazingira yao wote wawili yangekuwa sawa, na hakuna aliye mhodhi mwenzie, vijidudu vilivyoua Mimea, Watu na Wanyama vingekuwa sawa Ulaya na Afrika, Aina ya Ardhi kati yao ingekuwa sawa, mahitaji yao yangekuwa sawa na hali ya hewa ingekuwa sawa. Haya, na mengi mengine ya asili hayakuwa sawa. Kwa hiyo huwezi kusema lolote kuhusu mlinganyo wa akili kati yao kwa kutumia matatizo ya Afrika. Litakuwa hitimisho lililopungukiwa fikra za Kisayansi.

Bahati nzuri, hata hivyo, hatuna haja ya kufikiria yote hayo yasiyofikirika, ya kama ingekuwa kote kuna ardhi ya aina ile ile, au jua la utosi kali ingekuwaje. Ila tunajua Waafrika hawaku evolve kuwa mbumbumbu kwa sababu Sayansi imeenda moja kwa moja kwenye kidhibiti. Tumeuchana na kuuanika Ubongo wa binadamu, tukachambua molecular make up yao wote kama makundi. Takuta katika ngazi ya DNA, hakuna kundi la watu la rangi au Kijiografia, ambao wanafana akili. Nadharia za Dr. Watson ni watu wasiojua genetics au wabaguzi.

Mwafrika akisema hivyo mara nyingi sio mbaguzi, bali ni uninformed tu. Lakini the uninformed who ignores knowledge and reasoned science is an ignorant.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom