Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,295
- 6,342
Bahati nzuri waislamu wanajiongoza ga hawahitiji mpuuzi kama huyu, Magufuri kafanya dhuluma kwa watu mchana kweupe kapora hela za watu kauua watu unakuja kusifia upumbavu kama huo uislamu hauko kihivyo magafuri alikua Iblisi.
Punguza hasira utapata kitukizuri chakuandika, ukirudia rudia kusoma hiyo posti yako mara tano utajigundua wewe ni mjinga kiasi gani.