Mudathir ana nyota ya lala salama

Mudathir ana nyota ya lala salama

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,667
Reaction score
37,834
Nawaasa tu ndugu zangu kwenye ligi ya NBC huyu bwana ni pacha na lala salama.

Sasa kama ukiona Yanga haijafunga na anaingizwa huyu ujue mtazaa nae mapacha tu.

Huyu kaiokoa sana Yanga hasa pale tunapokuwa tumekata tamaa.

Huyu ni mwona maono wa Yanga pale maelfu ya wana Yanga wanasema tumelala huuu bwana anatuamsha.

Shikamooo mwamba mzee wa simu aka katelephone
 
We jamaa si uliga juzi kati kwamba hatutakuona tena humu au?? 😡
 
Muda bado anachukuliwa kama supplement pale Yanga ila kiukweli ni mchezaji muhimu sana. Yanga wasije fanya makosa kama waliyofanya kwa Fei.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom