Muda wa watoto kurudi nyumbani umewadia

DMmasi

JF-Expert Member
Nov 28, 2020
421
648
Salaam wanajamii forums

Ninawaona watoto wetu wameanza kukunja nguo wanarudi kijijini kwa wazazi kutusalimu

Hawaji kwa sababu wanatupenda wanakuja tuwatemee mate na kuwapa baraka za kimila warudi mjini wakatanue maisha yao

Kama kawaida hawaji kwasababu wametukumbuka sana hapana uko mjini muda wa kuandaa mashamba umekaribia sasa wanakuja kuchukua pembejeo ila wao hawawaletei ata makapi ya mavuno yao ila ahadi za kuwaletea makapi

Ni wakati wa kutoka katika usingizi huu wazazi amkeni usimwonee huruma kisa ni mwanao tumia pembejeo yako panapostahili

Huruma na njaa vimetuponza tumetapanya sana pembejeo zetu
Iwe mwisho tusitapanye ila zitumike ipasavyo kutumika

AMKENI AMKENI
 
Hivi ni makabila yote yana utaratibu wa kutemewa mate kama ishara ya baraka au ni sisi Wachagga pekee?

Ila umenichekesha,wazee wa kichagga wanavyopenda hela wakipewa hawatausikiliza huu ushauri wako.
 
Hivi ni makabila yote yana utaratibu wa kutemewa mate kama ishara ya baraka au ni sisi Wachagga pekee?

Ila umenichekesha,wazee wa kichagga wanavyopenda hela wakipewa hawatausikiliza huu ushauri wako.
Kila kabila nadhani lina utaratibu wake wakutoa baraka, ila natamani usome tena ujue watoto nilowaongelea apa wanarudigi baada ya miaka mitano hawa watoto
Ila saivi wameanza kukunja nguo mapema sijui shida nini uko mjini inaonekana wanashindana sana kulima
 
Kila kabila nadhani lina utaratibu wake wakutoa baraka, ila natamani usome tena ujue watoto nilowaongelea apa wanarudigi baada ya miaka mitano hawa watoto
Ila saivi wameanza kukunja nguo mapema sijui shida nini uko mjini inaonekana wanashindana sana kulima
Oooh nilidhani huu mwisho wa mwaka unawaongelea watoto wa kichagga kumbe wenye majimbo yao wameanza kuhaha.
Okays
 
"Hawaji kwa sababu wanatupenda"

Huna sifa wala credibility ya kutushauri wazazi kama unafikiri watoto wetu hawaji kwa sababu pia wanatupenda.
 
Oooh nilidhani huu mwisho wa mwaka unawaongelea watoto wa kichagga kumbe wenye majimbo yao wameanza kuhaha.
Okays
Sindiyo sasa
Niwanange watoto wawatu na familia zao hapana bhana Acha tukachukue baraka kwa wazee disemba
Ata mimi nitashuka home
Nikukumbushe usisahau mkate na machungwa😃😃
Tukirudi uko kwa watia nia dawa nikuwanyima mate labda watunyonge wayachukue kwa nguvu
 
"Hawaji kwa sababu wanatupenda"

Huna sifa wala credibility ya kutushauri wazazi kama unafikiri watoto wetu hawaji kwa sababu pia wanatupenda.
Nimeandika code ila nimeweka jukwaa la siasa
Sijaongelea maisha ya kifamilia mkuu uttoh siwezi eneza iyo chuki kamwe
Ila kunamaali na waamsha wabongo
 
Nimeandika code ila nimeweka jukwaa la siasa
Sijaongelea maisha ya kifamilia mkuu uttoh siwezi eneza iyo chuki kamwe
Ila kunamaali na waamsha wabongo

Kumradhi, samahan maana hata si kusoma yote baadi ta kuona sasa unatutusi wazazi.
 

Attachments

  • 20230728_130708.jpg
    20230728_130708.jpg
    22.1 KB · Views: 3
Huyu wa hapa kwetu tumedhamiria kesho kutwa raaazima tumnyoe nyweree akatafte Shamba la kulima
 
Mada ya kisiasa hii, wakija hatuwataki.
Muhimu sana kuna uzi umefanya nikaandika huu uzi kuna jamaa ameongelea huduma zinazotolewa muhimbili
Nilichozidi kujifunza ni kwamba wakija wanasiasa/serikali inauweleza umma kwamba huduma/jambo fulani limerahisishwa umma utashangilia na kufurahia
Ila kwenye lilelile jambo anapokuja kusimama mtanzania mmoja kwa wakati wake na shida zake ndo maji yanakuwa shingoni
 
Back
Top Bottom