ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Hali ya hewa ya ukame inashawishi kuwa kufika mwezi June kutakuwa na upungufu wa chakula
Wakulima wenye nafaka tutakula kuku Kwa mrija😄
Vijana mawinga na wengine wanaojifanya wa mjini njaa zitawauma na chakula mtanunua tu,
Nilileta Uzi hapa nikitafuta wateja wa mahindi Nina zaidi ya Tani 10 nilitangaza bei ya 800 kg ila sikupata mteja ila Sasa PM wamejaa wadau hapa jamii forums wakitaka kunipa 1000 kg ila Bado nimeweka ngumu,nawambiwa SIUZI MAHINDi
Wakenya wanazunguka vijijini kusaka mahindi wakulima tumeweka ngumu
Mwezi May nafungua store zangu nauZa kuanzia Tshs 1500 Kwa kg hutaki usikanyage Ngara
Wakulima wenye nafaka tutakula kuku Kwa mrija😄
Vijana mawinga na wengine wanaojifanya wa mjini njaa zitawauma na chakula mtanunua tu,
Nilileta Uzi hapa nikitafuta wateja wa mahindi Nina zaidi ya Tani 10 nilitangaza bei ya 800 kg ila sikupata mteja ila Sasa PM wamejaa wadau hapa jamii forums wakitaka kunipa 1000 kg ila Bado nimeweka ngumu,nawambiwa SIUZI MAHINDi
Wakenya wanazunguka vijijini kusaka mahindi wakulima tumeweka ngumu
Mwezi May nafungua store zangu nauZa kuanzia Tshs 1500 Kwa kg hutaki usikanyage Ngara