Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,599
- 4,295
- Thread starter
- #21
Usiingilie fani za watu (flight) ambayo huna Elimu nayo wala usifananishe mada ya MABASI na Ndege;Saa 12 kamili ni kama sheria, hata Flight nyingi zinaruka muda huo
Flight zinaruka 06h00 kwa sababu
1. viwanja vyetu vingi havina miundo mbinu ya kusupport ndege kuruka /kutua usiku au niseme havina taa kwenye run way.
2. Vindege vingi vidogo vilivyopo nchini vina engine moja ambayo sio salama kuruka usiku hivyo haviruhusiwi