Muda ni kitu gani?

Mimi sijui muda ni nini ila nasemaje.
If time is money, lets spend it together.
 
Inamaana bila muda tungekua tunafanya vitu bila mwelekeo wala nidhamu si ndio ?
maana moja ya kazi ya muda ni kufanya vitu kwa nidhamu

Muda ni njia ya mabeberu kutuondolea furaha ki vp kwani na wao si wanautumia.
Maisha ya mwanadamu baada ya kupimwa kwa muda yamekua ya taabu sana. mahangaiko na hofu. Binadamu aliyeishi bila kujali muda, alikua ni mwenye furaha sana, asiye na hofu wala malengo mahususi yapimwayo na muda.
🤔🤔🤔 mambo ya kuhofia kesho🙌
Ukiondoa dhana ya muda, raia wangekua na maisha bora sana
Hii inajumuisha na ukweli kwamba, peponi au mbinguni ni timeless au eternal. Watu wa huko wanafuraha zaidi kwakuwa hawakimbizani na muda.

Tuko mwaka 1448
Leo ndiyo mwaka wetu mpya
Tuko 1448 na sio 2026
Hii ni calender ipi mkuu?

Natanguliza shukran
 
Wow hapa nimepatia code Muhimu sana.

Muda ni maisha!! So tukifa mda nao huishia(kwetu)... So sisi ni muda?

Kuhusu kunyimwa mda na umpendae? Acha yapite tu.

Ila ukweli ni kuwa mwili na akili lazima zigusane na muda ili zi exist. So hakuna ujanja ni Maumivu tuu
 
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Tatizo sio muda, tatizo ni sisi.
Au tuseme hakuna tatizo lolote
 

Mkuu unavyosema ukiondoa dhana ya muda? Kuondoa kwenye we tu Tyr Umeshaingia ndani ya muda
 
Binadamu ni Maada
Ana ujazo na uzito
Kwenye uzito, anaendeshwa na kanuni za tatu za newtons
Mojawapo ni kanuni ya pili ya Mchapuko inategemeana na nguvu ya mvuto(Gravity)
F= ma
Kwenye ujazo, anaendeshwa na kanuni ya Uhusianifu Maalum(Special Relativity)
s² = c² t² - x² - y² - z²

Kwa kutumia hizi nadharia mbili, anaingia kwenye Nafasi-Wakati (SpaceTime)
Endapo binadamu ataweza kwenda mbio zaidi, Muda huenda polepole.
Kwa hiyo kama maisha yako utakuwa mzembe mzembe huchachariki na kukimbizana na maisha , maana yake kwako muda utaenda haraka na utajikuta umeezeka haraka kuliko wachakarikaji ambao muda wote wako mbio mbio na maisha wameyapatia.
Tafuta hela kijana anza sasa kukimbia
 

I need to re-watch the flash[movie]
Kuna namna hii theory iko poa sana
 
Na ndiyo maana tunasema
Muda ni mali, lakini zaidi ya mali, muda ni maisha
Nimependa hitimisho lako la muda ni maisha.
Naam zimekuwepo dhana nyingi kuhusu muda, dhana za kiimani kisayansi na hata kimaumbile.
Unaweza kutafsiri na kujenga hoja kuhusu muda kupitia engo uliyo egemea.

Mjadala uliopo hapa ni kuhusu muda lakini pia hamna utengano kati ya muda na wakati, kwa hio wakati hutangulia kisha muda, na zote hizo zilianzia pale ulimwengu ulipo anza kwa ile dhana ya bing bang.

Baada ya hio bing bang ndio kulizaliwa wakati , nafasi na umbali.

So kwenye wakati ndipo kuna muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…